Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #121
noted champWanapeana support
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
noted champWanapeana support
Utasikia ndugu yangu nibebee ata unga ndoo alaf mgeni akifika tu swali la kwanza ni unakaa kwa siku ngapi na siku ya kuondoka humpi ata mkate wa buku kama sio umasikini huo ni nini..shukrani mkuu ,karibu sana dsm
wape salamu gamboshi!
nasie tukija kwenu ,siku ya kuondoka hatuagi kizembe tunaogopa kurushiwa vimbola kwenye safari zetu za kuja dsmUtasikia ndugu yangu nibebee ata unga ndoo alaf mgeni akifika tu swali la kwanza ni unakaa kwa siku ngapi na siku ya kuondoka humpi ata mkate wa buku kama sio umasikini huo ni nini..
nasie tukija kwenu ,siku ya kuondoka hatuagi kizembe tunaogopa kurushiwa vimbola kwenye safari zetu za kuja dsm
we bwegeumenifurahisha boya wewe
vp lakini ,za kiteto mkuu !
Mtwara karibu tuvune koroshosahihi chief
kwa sasa upo dar ama uko katavi?
acha kudanganya wenzio basi...Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.
Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.
Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.
Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.
NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
wasalimie kigoma ujijiwe bwege
Mimi ni " mkali wa donta" kitambo Sinza ndio maskani Ila napinga akili Kama zako za kuona kuishi keko magurumbasi,kwa mfuga mbwa,kwa bonge,ulongoni ni bora kuliko Sakina,Raskazone,shanty town, Forest,Capripoint
kuishi ulongoni au mbagala kichemchem ni bora nisiishi Dar !
nimekuelewa mkuu wasalimu sikonge taboraacha kudanganya wenzio basi...
Maisha ni popote
aendelee kuishi hukohuko simanjiro mkuuSaniniu Laizer aje kuishi Dar??
hie sana kijiweni kigogo mburahati mwishonimekuelewa mkuu wasalimu sikonge tabora
Broooh, sawa tu. Nimekubali naishi mkoani... ila sisi wa mikoani ndio tutakuzika ujue?Tunaoishi Dar tunaishi Obey, Msasani, Masaki, Upanga, Mikocheni, Mbezi Beach, Bahari Beach, Kunduchi na Mbweni. Nye wengine wa sijui Gongolamboto, Tabata, Ubungo, Kiwalani, Mbagala, Temeke na kwingineko kote ni aheri uishi mkoani kuliko hizo sehemu..
hatuwezi kuwa sawa kifikra mkuu .Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Halafu huko mkoani hakuna mademu wazuri wazuri kama Dar, yaani huko mkoani ngono ni adimu sana.
ana 85% possibility ya kutoboa hapa mkuu
Mtu wa Dar hawezi kutafuta maisha mikoani,maana wamezowea kula mihongoBora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.
Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.
Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.
Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.
NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
amekosa creativity and flexibility mkuu. jiji limejaa fursa hiliKama angekuwa na 85% za kutoboa asingefika 11 years
Ukikua utajua hujui😀Dar sio ya mtu mmoja, yeyote anatusua hapa kikubwa ubunifu wako
huko kwenu Namtumbo hamnipati kamwe