Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Utasikia ndugu yangu nibebee ata unga ndoo alaf mgeni akifika tu swali la kwanza ni unakaa kwa siku ngapi na siku ya kuondoka humpi ata mkate wa buku kama sio umasikini huo ni nini..
nasie tukija kwenu ,siku ya kuondoka hatuagi kizembe tunaogopa kurushiwa vimbola kwenye safari zetu za kuja dsm
 
Nyie mkija mikoani mnatutia hasara maana siku ya kuondoka mnafungasha hadi kuku, mihogo,mpunga hadi mahindi ya mbegu mnaacha ndugu zenu masikini wakati siku ya kuja ulibeba mkate ambao asubuhi ulinywea chai ww mwenyw tu.
nasie tukija kwenu ,siku ya kuondoka hatuagi kizembe tunaogopa kurushiwa vimbola kwenye safari zetu za kuja dsm
 
umenifurahisha boya wewe

vp lakini ,za kiteto mkuu !
we bwege
Mimi ni " mkali wa donta" kitambo Sinza ndio maskani Ila napinga akili Kama zako za kuona kuishi keko magurumbasi,kwa mfuga mbwa,kwa bonge,ulongoni ni bora kuliko Sakina,Raskazone,shanty town, Forest,Capripoint
kuishi ulongoni au mbagala kichemchem ni bora nisiishi Dar !
 
Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.

Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.

Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.

Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.

NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
acha kudanganya wenzio basi...
Maisha ni popote
 
we bwege
Mimi ni " mkali wa donta" kitambo Sinza ndio maskani Ila napinga akili Kama zako za kuona kuishi keko magurumbasi,kwa mfuga mbwa,kwa bonge,ulongoni ni bora kuliko Sakina,Raskazone,shanty town, Forest,Capripoint
kuishi ulongoni au mbagala kichemchem ni bora nisiishi Dar !
wasalimie kigoma ujiji
 
Tunaoishi Dar tunaishi Obey, Msasani, Masaki, Upanga, Mikocheni, Mbezi Beach, Bahari Beach, Kunduchi na Mbweni. Nye wengine wa sijui Gongolamboto, Tabata, Ubungo, Kiwalani, Mbagala, Temeke na kwingineko kote ni aheri uishi mkoani kuliko hizo sehemu..
Broooh, sawa tu. Nimekubali naishi mkoani... ila sisi wa mikoani ndio tutakuzika ujue?
Huko kwenu yamejaa majambazi acha niendelee kuishi hukuhuku.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.

Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.

Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.

Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.

NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
Mtu wa Dar hawezi kutafuta maisha mikoani,maana wamezowea kula mihongo
 
Back
Top Bottom