Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #81
hapo ulipo lindiMikoani ndiyo wapi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo ulipo lindiMikoani ndiyo wapi mkuu?
Umefika .mtoni kijichi temeke wewe au kigamboniTunaoishi Dar tunaishi Obey, Msasani, Masaki, Upanga, Mikocheni, Mbezi Beach, Bahari Beach, Kunduchi na Mbweni. Nye wengine wa sijui Gongolamboto, Tabata, Ubungo, Kiwalani, Mbagala, Temeke na kwingineko kote ni aheri uishi mkoani kuliko hizo sehemu..
Mbona wachaga kibao wametoboa GeitaGeita nawasihi , punguzeni matukio ya kikatili . though na nyie mgeni kutoboa kwenu ni 0.0001 .
otherwise awe na hirizi kiunoni
wasalimu chato mkuu
ndele na vimbola juu sio mchezoKwaiyo mkuu unataka kusemaje??? Utajiri wa watu wa mikoa niwa ndele?[emoji23][emoji23][emoji23]
hao wachache ni outlier tuUmefika .mtoni kijichi temeke wewe au kigamboni
Mbona wachaga kibao wametoboa Geita
Wana kampuni za utalii,mahoteli makubwa na maduka makubwa mengi tu
Hujaongea uongo hata kwenye koma na nukta mkuu...!!!Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.
Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.
Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.
Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.
NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
na ni walevi wa kutupwa wa pombe za bei nafuuWaache wabishe waendelee kuuza mitumba soko la memorial moshi
ngoja watu wa kishapu waje kupinga hapaHujaongea uongo hata kwenye koma na nukta mkuu...!!!
Magorofa yote yaliyoko mikoani,daladala zote mikoani,vituo vya mafuta vyote mikoani,hoteli kubwa zote mikoani ,maduka yote ya jumla mikoani ,Mashule makubwa ya Private nk yote wamiliki watu wa Dar es salaam?hao wachache ni outlier tu
magorofa tandahimba?Magorofa yote yaliyoko mikoani,daladala zote mikoani,vituo vya mafuta vyote mikoani,hoteli kubwa zote mikoani ,maduka yote ya jumla mikoani ,Mashule makubwa ya Private nk yote wamiliki watu wa Dar es salaam?
Wadanganye nyumbu wenzio 😁😁Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.
Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.
Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.
Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.
NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
Ingekuwa hivyo Dar isingekuwa inaongoza Kwa idadi ya maskini Tanzania🤣🤣ana 85% possibility ya kutoboa hapa mkuu
Sidhani mikoani sehemu nyingi wana maisha mazuri kuliko Dar na wengi afya zai nzuri kuliko wakazi wa Darmagorofa tandahimba?
vituo vya mafuta maswa?
mashule makubwa isongole rungwe?
kubali kataa , mkoani amkeni sasa mko nyuma sana hasa kwenye kupokea mabadiliko
dar inaongoza kwa umasikini?Ingekuwa hivyo Dar isingekuwa inaongoza Kwa umaskini 🤣🤣
uwe na fact mkuu. unafahamu ukanda wa ziwa ndio unaongoza kwa mambukizi ya kansa?Sidhani mikoani sehemu nyingi wana maisha mazuri kuliko Dar na wengi afya zai nzuri kuliko wakazi wa Dar
Dar kiafya wengi wachovu huwezi linganisha na wa mikoani
umeonaa eeh . vp hukukosa nauli chief?Naunga mkono hoja. Nilifanyiwa vibaya sana na mhehe mmoja tena ndugu yangu wakati nilipokuwa najitafuta kwenye biashara ya mbao. Mapanda shkamoni!!!
Usikariri Mzee,Matajiri kibao wanaishi Mkoani.Wamejenga Dar na wakishavuna Pesa huko Bata zao ni Dar, kawaulize watakwambia