Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Tunaoishi Dar tunaishi Obey, Msasani, Masaki, Upanga, Mikocheni, Mbezi Beach, Bahari Beach, Kunduchi na Mbweni. Nye wengine wa sijui Gongolamboto, Tabata, Ubungo, Kiwalani, Mbagala, Temeke na kwingineko kote ni aheri uishi mkoani kuliko hizo sehemu..
Umefika .mtoni kijichi temeke wewe au kigamboni
Geita nawasihi , punguzeni matukio ya kikatili . though na nyie mgeni kutoboa kwenu ni 0.0001 .

otherwise awe na hirizi kiunoni

wasalimu chato mkuu
Mbona wachaga kibao wametoboa Geita

Wana kampuni za utalii,mahoteli makubwa na maduka makubwa mengi tu
 
Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.

Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.

Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.

Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.

NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
Hujaongea uongo hata kwenye koma na nukta mkuu...!!!
 
hao wachache ni outlier tu
Magorofa yote yaliyoko mikoani,daladala zote mikoani,vituo vya mafuta vyote mikoani,hoteli kubwa zote mikoani ,maduka yote ya jumla mikoani ,Mashule makubwa ya Private nk yote wamiliki watu wa Dar es salaam?
 
Magorofa yote yaliyoko mikoani,daladala zote mikoani,vituo vya mafuta vyote mikoani,hoteli kubwa zote mikoani ,maduka yote ya jumla mikoani ,Mashule makubwa ya Private nk yote wamiliki watu wa Dar es salaam?
magorofa tandahimba?
vituo vya mafuta maswa?
mashule makubwa isongole rungwe?

kubali kataa , mkoani amkeni sasa mko nyuma sana hasa kwenye kupokea mabadiliko
 
Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.

Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.

Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.

Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.

NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
Wadanganye nyumbu wenzio 😁😁
 
magorofa tandahimba?
vituo vya mafuta maswa?
mashule makubwa isongole rungwe?

kubali kataa , mkoani amkeni sasa mko nyuma sana hasa kwenye kupokea mabadiliko
Sidhani mikoani sehemu nyingi wana maisha mazuri kuliko Dar na wengi afya zai nzuri kuliko wakazi wa Dar

Dar kiafya wengi wachovu huwezi linganisha na wa mikoani
 
Sidhani mikoani sehemu nyingi wana maisha mazuri kuliko Dar na wengi afya zai nzuri kuliko wakazi wa Dar

Dar kiafya wengi wachovu huwezi linganisha na wa mikoani
uwe na fact mkuu. unafahamu ukanda wa ziwa ndio unaongoza kwa mambukizi ya kansa?

na treatmeant mnakuja huku dar. ushauri epukeni kutumia mercury contaminated water ni sumu mkuu
 
Back
Top Bottom