Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #21
karibuni dar, hatuna fitna na vimbola kama huko kwenu newala mkuuPole sana kijana ila ukiwa hapo DAR wape tano watu wa mikoani.
Alafu pia Grow Up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibuni dar, hatuna fitna na vimbola kama huko kwenu newala mkuuPole sana kijana ila ukiwa hapo DAR wape tano watu wa mikoani.
Alafu pia Grow Up
Endelea kupambana chief una 85% ya kutusua.We unazungumzia miaka 11 wakati wajuba tuko hpa since day one na bado hatuelewi kumi na moja hyo mtu bdo anayo nafasi ya kutoboa
mkuu kwa hiyo unani karibisha bariadi nije niliwe na fisi ?Tatizo vijana wa daslamu mnapenda bata,mkoani hamzipati!Endelea kua na mawazo ya kibata bata.
Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.
Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.
Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.
Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.
NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
hakika maana mungu ni mwemaEndelea kupambana chief una 85% ya kutusua.
mkuu hapa ni njiapanda unajiamulia mwenyewe uende wapi. legal or black marketSema Dar es salaam una maeneo mengi ya kupata msaada na kupiga mizinga, ila Mahali ni pagumu na parahisi kwa kutegemeana na mtu.
mkuu hapa ni njiapanda unajiamulia mwenyewe uende wapi. legal or black market
pamoja chief , wambie watu wa mikoani wapunguze fitnaMimi naishi kokote Tanzania, as long as pana internet, hata Tandahimba.
Mwaka wa 15 na hana loloteWewe nasema wewe! Kila mtu anaupepo wake kuna mtu yupo hapo dar mwaka wa 11 hana mbele wala nyuma.
HAPANA,ENDELEA KUKAA DAR MKUU.NA NAWATAKIA KILA LA HERI KTK KUPAKANA MAFUTA YA NAZI..SI NDO MICHEZO YENU MKIISHIWA MIPANGO MNATUMIA VIJAMBIO VYENU KUISHI MJINI?HUKU BUSH TUNAFUGA,TUNALIMA HALAFU TUNAWAUZIA MADALALI WENU WANAWALETEA DAR MLE MSHIBE THEN MKAFIRA#? MPAKA MAVI YAWATOKE.mkuu kwa hiyo unani karibisha bariadi nije niliwe na fisi ?
vp anaishi kwa shemeji yake?Mwaka wa 15 na hana lolote
Karibu Sana MBEYA hapo kwenu uyaKHEE niliukimbia ni miaka 21 nilikuwa hapo.karibuni dar, hatuna fitna na vimbola kama huko kwenu newala mkuu
Kwa MTU tu kamfadhilivp anaishi kwa shemeji yake?
unarudi pale pale ukiondoa matusi.HAPANA,ENDELEA KUKAA DAR MKUU.NA NAWATAKIA KILA LA HERI KTK KUPAKANA MAFUTA YA NAZI..SI NDO MICHEZO YENU MKIISHIWA MIPANGO MNATUMIA VIJAMBIO VYENU KUISHI MJINI?HUKU BUSH TUNAFUGA,TUNALIMA HALAFU TUNAWAUZIA MADALALI WENU WANAWALETEA DAR MLE MSHIBE THEN MKAFIRA#? MPAKA MAVI YAWATOKE.
pamoja chief , wambie watu wa mikoani wapunguze fitna
Nikipata mke naoa kiukweli, mpaka Sasa sijapata Binti sahii wa kuoa.MUNGU Hapendezewi na tabia hizo. oa tulia