Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.

Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.

Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.

Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.

NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.


Sema Dar es salaam una maeneo mengi ya kupata msaada na kupiga mizinga, ila Mahali ni pagumu na parahisi kwa kutegemeana na mtu.
 
Sema Dar es salaam una maeneo mengi ya kupata msaada na kupiga mizinga, ila Mahali ni pagumu na parahisi kwa kutegemeana na mtu.
mkuu hapa ni njiapanda unajiamulia mwenyewe uende wapi. legal or black market
 
mkuu kwa hiyo unani karibisha bariadi nije niliwe na fisi ?
HAPANA,ENDELEA KUKAA DAR MKUU.NA NAWATAKIA KILA LA HERI KTK KUPAKANA MAFUTA YA NAZI..SI NDO MICHEZO YENU MKIISHIWA MIPANGO MNATUMIA VIJAMBIO VYENU KUISHI MJINI?HUKU BUSH TUNAFUGA,TUNALIMA HALAFU TUNAWAUZIA MADALALI WENU WANAWALETEA DAR MLE MSHIBE THEN MKAFIRA#? MPAKA MAVI YAWATOKE.
 
HAPANA,ENDELEA KUKAA DAR MKUU.NA NAWATAKIA KILA LA HERI KTK KUPAKANA MAFUTA YA NAZI..SI NDO MICHEZO YENU MKIISHIWA MIPANGO MNATUMIA VIJAMBIO VYENU KUISHI MJINI?HUKU BUSH TUNAFUGA,TUNALIMA HALAFU TUNAWAUZIA MADALALI WENU WANAWALETEA DAR MLE MSHIBE THEN MKAFIRA#? MPAKA MAVI YAWATOKE.
unarudi pale pale ukiondoa matusi.
Dsm ni hub ya kilakitu(market) kumbuka kilimo sio pembejeo coz
kabla hujalima unangalia kwanza market trend ya zao husika. hapa ndio kitovu cha uchumi nchini
 
Mikoani kutoboa ni ngumu Sana , Dar ndo sehemu pekee unayoweza toboa bila kuroga , mikoani ukiwa na kiduka tuu tayar upo aleterd , wivu , kijicho na majungu vinaanza , na unatakiwa uwe na mtaji mkubwa Sana kutengeneza pesa mingi , Dar unaweza kuwa na mtaji wa million 500 Ila hamna anayejua wala kuwa na time na ww..na hii ndo Siri ya mafanikio
 
Back
Top Bottom