Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.

Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.

Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.

Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.

NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
Upo sahihi 100% Ila wapo vichwapazi watakaokupinga truth be told huo ndio ukweli, watu wengi unaowajua waliotoboa wametobolea Dar sio mikoani
 
Mikoani kutoboa ni ngumu Sana , Dar ndo sehemu pekee unayoweza toboa bila kuroga , mikoani ukiwa na kiduka tuu tayar upo aleterd , wivu , kijicho na majungu vinaanza , na unatakiwa uwe na mtaji mkubwa Sana kutengeneza pesa mingi , Dar unaweza kuwa na mtaji wa million 500 Ila hamna anayejua wala kuwa na time na ww..na hii ndo Siri ya mafanikio
100% ukweli ni huo Ila wasiojua hilo hawajui,
 
Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.

Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.

Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.

Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.

NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
kwahiyo wale woote wanao chimba madini Kahama, Chunya Makongorosi, Nzega, Katavi na kwingineko ..wote ni wapumbavu na makenge, kama wewe?
 
Mtoa mada inaonekana hujawahi kufika hata kwa, matias
Ebwana nna ndugu yangu alitaka kwenda kuanza Maisha hapo ilimchukua Mwaka tu kurudisha mpira kwa kipa sasa yupo Dar kapata kazi nzuri Maisha si haba,
 
kwahiyo wale woote wanao chimba madini Kahama, Chunya Makongorosi, Nzega, Katavi na kwingineko ..wote ni wapumbavu na makenge, kama wewe?
Wamejenga Dar na wakishavuna Pesa huko Bata zao ni Dar, kawaulize watakwambia
 
Karibu Sana MBEYA hapo kwenu uyaKHEE niliukimbia ni miaka 21 nilikuwa hapo.

Vipi tuwaletee nin breakfast yenu mihogo,mahind,maharage,ndizi au chakula chenu cha CHAMTUME😀😀😀🤣?
ahsante bro Mwaikambo,puguzeni kubebana kimajinq
 
Ebwana nna ndugu yangu alitaka kwenda kuanza Maisha hapo ilimchukua Mwaka tu kurudisha mpira kwa kipa sasa yupo Dar kapata kazi nzuri Maisha si haba,
hongera kwake huyo dogo, na hii ndio dar ya watanzania wote. haina ukanda ama unaitwa nani,yeyote anatusua
 
Wamejenga Dar na wakishavuna Pesa huko Bata zao ni Dar, kawaulize watakwambia
Wee uzi wako umesema kutafuta maisha mkoani au kuishi mkoani? tuanzie hapo kwanza kubishana.
 
Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.

Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.

Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.

Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.

NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
Bilionea Laizer katajirikia kijijini Simanjiro

Watu wanakimbia kijijini wanakufa malofa mjini

Yeye kijijini kaibuka bilionea

Ukiwa na pepo la umaskini hata uende ulaya au Marekani utakufa lofa tu
 
Back
Top Bottom