Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Nilienda iringa nilikaa kwa muda wa wiki moja, ile narudi zangu Dar nashangaa naambiwa mbona umefubaa umekuwa mweusi
Nikasema je ningekaa mwaka si ningechakaa au wangenisahau.
 
Kweli mkuu, nimwkuja kigoma nina wiki ya tatu lakini naona kabisa nimechakaa[emoji28]
 
Mikoani hivi dar hampo mikoani ni jiji nilisahau aisee kama nao ni mkoa,,kwamba wasije mikoani[emoji1787][emoji16]
 
Broooh, sawa tu. Nimekubali naishi mkoani... ila sisi wa mikoani ndio tutakuzika ujue?
Huko kwenu yamejaa majambazi acha niendelee kuishi hukuhuku.
ahahahahaha Sis, I miss you so much!! Dar pakichovu sana, pachafuuu bora Mkoani kwakweli
 
Dar kuna vijana wengi kazi zao kusifia mali za watu huku wao hela yao ikishia kwenye nauli na kula na kodi ya nyumba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…