Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule wa mwisho ndo alikua mzuri. Chuo walipelekwa nje kuondokana na makandokando.Yule mkubwa au yule wa mwisho?
Pumzika kwa amani Mzee wetu
NB: huyu mbona hatukanwi na kuombewa mabaya na BAVICHA?
Ahahahah kanafunzi auAlikuwaga na ka binti kazuri kazuri.
Tujifunze kuwa na Ustaarabu kwa Marehemu.Nawajua wawili.
Si kweli.Ametumikia utumishi wake vizuri. Kila mtu anamuombea mema huko aendako. Sio hawa waliojaa viburi, dhihaka kwa wananchi, majivuno.. wanaishia tu kuombewa mabaya.
Si kweli hakuna mtu alikua hana shida na mtu kama Kijazi ila mlishangilia sana kifo chake,Hakuwa na roho mbaya kama Jiwe.
P.I.P my former Head Master.
We mmojawapo wa wabaya au?Si kweli.
Utakavyowaza.We mmojawapo wa wabaya au?