Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Wenye kujua kuhusu Elisha Jairo Kavana.?

..pia mnadhimu mkuu wa kwanza wa Jwtz alikuwa ni Elisha Jairo Kavana ambaye alikuwa Luteni ktk Tanganyika Rifles lakini akapandishwa cheo na kuwa Major ktk Jwtz/Tpdf.

..kuna kitu ambacho kimenishangaza kwamba website ya Jwtz haimtaji Elisha Jairo Kavana miongoni mwa wanadhimu wakuu. Badala yake wametajwa wakina Brigadier.Nkwera, Tumainieli Kiwelu, Imran Kombe, Martin Mwakalindile, Geofrey Sayore, Iddi Gahu, na wengine.

..Alexander Gwebe Nyirenda aliondoka jeshini akiwa na cheo cha Lt Col. Raisi Mwinyi kwa kutambua mchango wa Alexander Nyirenda alimpandisha cheo na kuwa Brigadier General akiwa tayari ameshastaafu.

.[/QUOTE]
 
HhahahahH

Na anaestaafu katika cheo cha kepteni kwa kweli CV yake mbovu

Ila kustaafu kanali au luteni kanali iko poa ni vyeo vya juu unakuwa unajivunia kabisa
Na ni ngumu wote kustaafu wakiwa ma kanali, luteni kanali au meja.. lazima wengine wakiwa ma captain tu hakuna namanaaaa
 
..basi ndiye huyo unayemuona hapo kwenye video.

..unafahamu aliondoka jeshini mwaka gani, kwasababu alikuwa GM wa viwanda vya mbao kwa muda mrefu.
Mwanzoni mwa miaka ya tisini niliwahi kuwa na uhusiano na binti yake mmoja pale Arusha; ila watu wenye magesti wakawa wanamzuia kuingia gesti kwa kumwogopa Captain Mushi!!. Ikabidi mikutano yote iwe ni usiku tu, tena kabla ya saa mbili kusudi arudi nyumbani mapema.
 
Huyu naye ni mhaya?
au ndo ule msemo wa kuku na bata,au ndege na bundi?😂😂😂
 
Na kweli bana
Hii ya kulipwa mshahara na Jeshi, Shule na Vyuo ni kweli.
Alikuwa seminar Leader wa DS

Hahahahahhahaha Mkisi alikuwa anariiiiiinga bana.
But ni kweli yote alivokuwa anaringia.
Kuna muda bragging muhimu.
 
Namkumbuka san huyu mwamba pale jitegemeee daaaa kwanxa pindi lake tu ni shoo ya kibabe yaani, motivation za kutosha maana Lila baada ya maelekezo lazima atupie background ya stori fulan
 
Hivi cheo cha mwisho ni Major General au Field Marshal.
Sielewi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah. Naibu waziri wa Nishati ana just 35
 
Mkuu, Mkisi so aliacha kazi au alirudi Jeshini? Ahsante
 
Meja Jenerali ni technically cheap cha mwisho
Vyeo vilivyo juu yake ni vikubwa mno halafu kwa leo formation/nguvu ya vyeo hivyo ni kama haihitajiki(Ltgen na Gen) vinakuwa
Hivi cheo cha mwisho ni Major General au Field Marshal.
Sielewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…