Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Bomu la nyuklia halitengenezewi msituni au kwenye pagale. Bomu la nyuklia process za kuliunda ni lazima uhusishe nuclear reactors, coolers na mitambo mingine mikubwa iliyo kwenye installations. Na lazima uwe na facilities kubwa kabisa ambazo zote za Iran zinajulikana zilipo.

Kitendo cha Iran kwenda vitani na Pakistan bila kuwa na nukes eti tutatengeneza vita ikiendelea ni kosa kubwa, haitakiwi Pakistan kutumia hata akili za kuvukia barabara kuzuia Iran kuwa na warhead walau moja. Ni kitendo cha kutuma Shaheen III moja yenye nuclear yield ndogo kama 15 TNT kwenye nuclear facilities. Sababu mitambo ya nuclear ya Iran iko nje ya makazi ya watu jangwani uko, unawachapa yield ndogo wanabomokewa hizo reactors zote. Mnabaki kufanya exchange ya cruise na ballistic missiles na hapo Pakistan atakutumia hizi na nyinginezo haziko hapaView attachment 2875915

Asitokee mtu kusema sijui Iran ina air defense system, Shaheen III ni ICBM. Ni Marekani anao uwezo wa kupiga ICBM kwa kutumia Aegis System mfumo wa kwenye meli, mfumo ambao Ulaya wanaweza pewa, na Russia ndio ataweza baadae kwa S-500 (kwa madai yao, which I take it with a grain of salt).

Mnakaa mnajifikirisha as if Pakistan ni mafala.
Iran wana vinu vipo chini ya milima na vipo site tofauti, Pakistan na nuclear yake haina uwezo kupambana na Iran, unapoanzisha utumiaji wa nuclear ina maana ni silaha za mass destruction, wakiingia level hio kuna silaha deadly za mass destruction nuclear inafuatia.

Iran ime enrich uranium to 60%, Iran sio wajinga, wana projects zao wanadai kutumia uranium kwa matumizi ya kiraia lakini ipo wazi kwa nini kila siku Israel inapiga kelele na kuua wataalamu wake. Vitu vingine tutumie akili ndogo.
 
Pakistani imejibu baada ya kushambuliwa na Iran?
Israeli inahusika Vp?
Huu wote ni mwendelezo wa Vita vilivyoanzishwa na Israel kwa kuikalia na kupiga pamoja na kuua wapalestina hasa Gaza.
Katika hii vita Israel inaona inapambana na Iran inayomuona anawafadhili Hizbolla na Houth kuongeza uzito kwao.
Hivyo Israel inafadhili na kuingiza vikundi vya kupambana na Iran kwa kuua watu mfano kwenye mikutano ndani ya Iran.Vikundi hivyo vya kigaidi vya Israel vinakuwa na ofisi ndani ya nchi hizo kama Pakistan na Syria.
Iran kwa kujua hilo ndio inaamua kupiga japo uamuzi huo si mzuri.
 
Iran wana vinu vipo chini ya milima na vipo site tofauti, Pakistan na nuclear yake haina uwezo kupambana na Iran, unapoanzisha utumiaji wa nuclear ina maana ni silaha za mass destruction, wakiingia level hio kuna silaha deadly za mass destruction nuclear inafuatia.

Iran ime enrich uranium to 60%, Iran sio wajinga, wana projects zao wanadai kutumia uranium kwa matumizi ya kiraia lakini ipo wazi kwa nini kila siku Israel inapiga kelele na kuua wataalamu wake. Vitu vingine tutumie akili ndogo.
Unasemaje vitu vingine tutumie akili wakati upo unalinganisha Pakistan yenye warheads zaidi ya 150 dhidi ya Iran yenye nuclear warheads sifuri.

Ubao wa nuclear warheads unasoma:
PAK 150 - 0 IRN

Iran haijawahi fanya nuclear test hivyo haina nuke acha kujidanganya. Na test haifanyiki mafichoni lazima ionekane na blast waione hata ukifanya kama Israel waliofanyia kwenye maji mbali karibu na South Africa bado walionekana, North Korea si huwa unawaona hadi wanawekewa sanctions. Iran haina nuclear weapons.

Kama ni silaha nyingine za kemikali hizo ndio sasa ni rahisi kutengeneza ingawa Pakistan haina, ila inaweza. Silaha aziweze Assad wa Syria ndio ziishinde Pakistan, hana kwa sababu ni signatory wa convention ya kukataa chemical weapons ila ukitumia dhidi yake anajiondoa kwenye mkataba. Chemical industry Pakistan wanayo nzuri.

Na kuhusu hivyo vinu kuwa chini ya milima, zikipigwa entrance Wairan wanatokaje? Kwanza Iran haina silos. Movements za kinyuklia zinaonekana kwenye satellite, utaona malori ya kubebea supplies kama fuel na materials vinaenda.

Then unaweza tutajia silaha deadly za Iran zinazozidi nuclear za Pakistan.
 
Kama marekani inaiogopa Iran Pakistan anaweza kufanya nini?

Hivi ukitoa hayo mabomu ya nuclear Pakistan ana silaha gani ya kumtisha Iran?
Hivi huu usemi kuwa Marekani inaiogopa Iran unautoa wapi? Prove!

Sasa unayatoaje mabomu ya nuclear wakati anayo? Anyway, kwa kukusaidia, angalia hapa chini uwezo wa Pakistan vs Iran. Kwa kifupi, Pakistan yupo vizuri karibu kwenye nyanja zote za kijeshi kuliko iran (anga, majini na ardhini)
 
Bomu la nyuklia halitengenezewi msituni au kwenye pagale. Bomu la nyuklia process za kuliunda ni lazima uhusishe nuclear reactors, coolers na mitambo mingine mikubwa iliyo kwenye installations. Na lazima uwe na facilities kubwa kabisa ambazo zote za Iran zinajulikana zilipo.

Kitendo cha Iran kwenda vitani na Pakistan bila kuwa na nukes eti tutatengeneza vita ikiendelea ni kosa kubwa, haitakiwi Pakistan kutumia hata akili za kuvukia barabara kuzuia Iran kuwa na warhead walau moja. Ni kitendo cha kutuma Shaheen III moja yenye nuclear yield ndogo kama 15 TNT kwenye nuclear facilities. Sababu mitambo ya nuclear ya Iran iko nje ya makazi ya watu jangwani uko, unawachapa yield ndogo wanabomokewa hizo reactors zote. Mnabaki kufanya exchange ya cruise na ballistic missiles na hapo Pakistan atakutumia hizi na nyinginezo haziko hapaView attachment 2875915

Asitokee mtu kusema sijui Iran ina air defense system, Shaheen III ni ICBM. Ni Marekani anao uwezo wa kupiga ICBM kwa kutumia Aegis System mfumo wa kwenye meli, mfumo ambao Ulaya wanaweza pewa, na Russia ndio ataweza baadae kwa S-500 (kwa madai yao, which I take it with a grain of salt).

Mnakaa mnajifikirisha as if Pakistan ni mafala.
Yaani ICBM ni marekani tu anaweza kudungua! be serious
 
Unasemaje vitu vingine tutumie akili wakati upo unalinganisha Pakistan yenye warheads zaidi ya 150 dhidi ya Iran yenye nuclear warheads sifuri.

Ubao wa nuclear warheads unasoma:
PAK 150 - 0 IRN

Iran haijawahi fanya nuclear test hivyo haina nuke acha kujidanganya. Na test haifanyiki mafichoni lazima ionekane na blast waione hata ukifanya kama Israel waliofanyia kwenye maji mbali karibu na South Africa bado walionekana, North Korea si huwa unawaona hadi wanawekewa sanctions. Iran haina nuclear weapons.

Kama ni silaha nyingine za kemikali hizo ndio sasa ni rahisi kutengeneza ingawa Pakistan haina, ila inaweza. Silaha aziweze Assad wa Syria ndio ziishinde Pakistan, hana kwa sababu ni signatory wa convention ya kukataa chemical weapons ila ukitumia dhidi yake anajiondoa kwenye mkataba. Chemical industry Pakistan wanayo nzuri.

Na kuhusu hivyo vinu kuwa chini ya milima, zikipigwa entrance Wairan wanatokaje? Kwanza Iran haina silos. Movements za kinyuklia zinaonekana kwenye satellite, utaona malori ya kubebea supplies kama fuel na materials vinaenda.

Then unaweza tutajia silaha deadly za Iran zinazozidi nuclear za Pakistan.
2010 pekee North Korea ilifanya tests za nuclear kwa ajili ya Iran, zilifanyika tests mbili, hapo ni mwaka 2010 pekee, sasa waweza jifikiria hadi leo 2024 Iran imefanya tests ngapi kushirikiana na NK.

Jaribu kufuatilia vitu deeply, si kila siku BBC na VoA. Jaribu kuingia wikiLeaks n.k

Jana pia North Korea ime test nuclear chini ya maji,

Endelea kujifariji mkuu, Iran sio wapumbavu, we unafikiri hawafahamu wanakabiliana na adui wa aina gani?
 
Wavaae vipedo na kobazi wanauana , shida nini?
Tofauti zinatokea ni kama North Korea na S Korea wale ni kitu kimoja baba mmoja na mama mmoja, Russia na Ukraine, China na Taiwan n.k, tofauti zinatokea hata Europe walitwangana wao kwa wao ww2, it happens.
 
India imewapiga Pakistan mara mbili, na India imefanya Bangladesh ijitenge kutoka Pakistan

Pakistan hawajawahi kufurukuta mbele ya India.
India ipi kwenye vita walopigana mara sita india kapigwa mara nne pakistan kapigwa mara sita hapa nani kapigwa sana
Chanzo bbc
 
Itakua raha sana hawa wavaa makobazi wakapigana wenyewe kwa wenyewe wakasubiri mabikra 72
 
Salim.. ukibaki ktk ukiristo ukifa utapata tabu huko kaburini
Mavumbi yanapata taabu?. Wewe bikira 72 unawaanzia kaburini?. Mkue kiakili jipunguziieni ujinga. Kuna mwaka tuliamisha makaburi sababu ya njia. Tukakuta mifupa tu. Alafu mnadanganyana utapata taabu kaburini. Ipo siku ya hukumu ambayo MUNGU atawahukumu wazima na wafu.
 
Back
Top Bottom