Watu mnaofanya comparison ya Pakistan na Iran hsmko vizuri kichwani , mko na serious issue
Yaani Iran mwenye arms industry iliyokomaa mpaka kuna heavy machines na vifaa vya kijeshi ana design na kutengeneza nyingi tu mwenyewe
Na hapo ni chini ya vikwazo vikali kwa muda mrefu sana , Iran ni moja ya nchi ambayo imekuwa katika sanctions na embargo Kwa muda mrefu sana na bado anafanya wonders Sana
Iran ni namba nyingine kabisa
Yaani Iran mwenye arms industry iliyokomaa mpaka kuna heavy machines na vifaa vya kijeshi ana design na kutengeneza nyingi tu mwenyewe
Na hapo ni chini ya vikwazo vikali kwa muda mrefu sana , Iran ni moja ya nchi ambayo imekuwa katika sanctions na embargo Kwa muda mrefu sana na bado anafanya wonders Sana
Iran ni namba nyingine kabisa