Kanda ya Kaskazini si Moshi kwa wachaga tu

Kanda ya Kaskazini si Moshi kwa wachaga tu

Hapo nilipoomba nirekebishwe kama nimekosea na hayo niliyokosea hujayarekebisha.

Sina tatizo na wachaga, nina tatizo na upotoshaji kuwa ukizungumzia kaskazini umezungumzia moshi/wachaga. Wachaga ni sehemu tu ya kaskazini.
Nan kasema kuwa Kaskazini n ya wachaga ...kama sio mawazo yako ya Hofu juu ya ukubwa wa wachaga ...ndo yamepelekea uone watu wanawaza kama ww Kua Kaskazini n ya wachaga tuu

Punguza ofu + chuki relax kafanye research tena uje ukiwa na full info

Muda wa kurekebisha sina coz hujakaa kujifunza umeleta mada kwa mfumo wa kupinga pinga huku ukiwa hujui hata unachokipinga kama uko sahihi nacho
 
Sema ipo wapi hutapoteza lolote...
Serengeti iko katkati ya Arusha na mara But sehemu kubwa ya Serengeti iko mkoa wa Mara ambayo n Lake zone ....
 
Nan kasema kuwa Kaskazini n ya wachaga ...kama sio mawazo yako ya Hofu juu ya ukubwa wa wachaga ...ndo yamepelekea uone watu wanawaza kama ww Kua Kaskazini n ya wachaga tuu

Punguza ofu + chuki relax kafanye research tena uje ukiwa na full info

Muda wa kurekebisha sina coz hujakaa kujifunza umeleta mada kwa mfumo wa kupinga pinga huku ukiwa hujui hata unachokipinga kama uko sahihi nacho
Nimeandika ninalofahamu kuhusu kaskazini kama ww unafahamu tofauti au ziada kosoa rekebisha, kama huna muda basi hata kusoma na kuchangia unapoteza muda boss.

HAKUNA CHUKI YOYOTE NILIYO NAYO KWA WACHAGA.
 
Serengeti iko katkati ya Arusha na mara But sehemu kubwa ya Serengeti iko mkoa wa Mara ambayo n Lake zone ....
Ookey. Asante kwa kurekebisha. Arusha ipo kaskazini lakini si ndio?
 
Tatizo tunasoma kichwa cha habari tu na kuanza kuchambua hoja ya mtu.

Mtanzania ni mvivu sana wa kusoma.
 
Ipo Mkoa wa Mara

Kila kanda inabebwa na kabila moja

Kanda ya ziwa wasukuma
Kusini Wamakonde
Nyanda za juu kusini Wanyakyusa

Acha wivu
Kaskazini inabebwa na wachaga?

Sawa, Tunajua kanda ya ziwa wasukuma ni wengi, same to makabila mengi kila kanda ndo maana sasa population ya wachaga kanda ya kaskazini ina idadi kubwa kiasi gani kugemeralise kuwa wachaga waiwakilishe kaskazini na wamasai woote wa Arusha?

Kilimanjaro sawa ila si Kaskazini.

SINA WIVU NA WACHAGA.
 
Kaskazini inabebwa na wachaga?
Sawa...
Tunajua kanda ya ziwa wasukuma ni wengi, same to makabila mengi kila kanda ndo maana sasa population ya wachaga kanda ya kaskazini ina idadi kubwa kiasi gani kugemeralise kuwa wachaga waiwakilishe kaskazini na wamasai woote wa Arusha? Kilimanjaro sawa ila si Kaskazini.
SINA WIVU NA WACHAGA.

Kaskazini inabebwa na wachaga ndio

Ukisema Kaskazini watu watachora picha ya Wachagga

Kumbuka wachagga sio kabila ukishajua hilo inatosha kuelewa

Bila Wachaga Kaskazini imepoa kama uji wa dundi
 
Hawa wa aina hii sijawahi kutana nao. Yaani mpare afurahie kuitwa mchaga? Au laiser afurahie kuitwa mangi?
Wapo sana kakaa nao utaona. Mimi rafiki zangu wa Masai huniambia bibi zao walitoka uchaggani so na wao yafaa waitwe wachagga
 
Imagine wewe ni laiser/Msuya/Mchome/Sumaye halafu unasikia mtu analeta mada ya Nothern zone huku akifikiri ukiongelea Nothern zone unaongelea Moshi/Wachaga.

Kuna baadhi ya watu mnawakuza sana wachaga kila zinapoletwa mada za Nothern zone ilihali ni sehemu tu ya watu wa kaskazini.

Ukiongelea kaskazini unaanzia Tanga kama sikosei(Nirekebishwe kama sipo sahihi) mpaka babati kwenye mbuga za wanyama huko. Umasaini kwa kina laiser, Endasaki kwa kina sumaye, upareni kwa kina Mndeme, n.k

A blessed region.

Kuna watu mnawafanya watu wa maeneo mengine wafikiri Kaskazini ni uchagani. Wachaga ni sehemu tu ya ardhi ya Kaskazini na wamejikita zaidi kwenye biashara ndogondogo,za kati na wengine biashara kubwa.

Wapo pia omba omba, walevi, wezi, vibaka na matapeli kutoka moshi kilimanjaro.

Ukiongelea matajiri wa kaskazini watu watapeleka mawazo yao kwa wachaga lakini ukienda umasaini utakutana na matajiri wakubwa sana wenye ranch za ng'ombe na tenda za kulisha jeshi miaka na miaka hutawasikia,

Hanang kuna watu wana mashamba ya Alizeti ekari za kutosha, mahrvest combiner na matrekta makubwa na magodown makubwa ila hutawasikia.

Ukienda mererani kuna mabilionea wa kimasai, walikuwepo kina msuya(RIP), n.k n.k

Sasa mchaga mwenye duka la kileo, guest house, nyumba ya kupangisha na prado mchaga hapo Arusha mjini ndo atatolewa mfano wa matajiri wa kaskazini.

Wachaga kama walivyo makabila wengine wapo watu safi sikatai, wachapa kazi na wengi wao wanapenda biashara. Ila kufikiri nothern zone ni Moshi kwa wachaga ni kupotoshwa, Uchagani ni sehemu tu ya Nothern zone.

KANDA YENYE MCHANGO MKUBWA SANA KWENYE UCHUMI WA TANZANIA.
Hii Inakata moto imagine wewe ni mmbulu harafu wanasema we mchagga
 
Ookey. Asante kwa kurekebisha. Arusha ipo kaskazini lakini si ndio?
Kaskazini
Arusha- Wamasai ,wameru
Manyara - wambulu
Kilimanjaro wachaga +wapare
Tanga- Wasambaa, wazigua ,wabondei,

Hii ndo mikoa inayowakilisha Kanda ya Kaskazini ...
 
Kaskazini inabebwa na wachaga ndio

Ukisema Kaskazini watu watachora picha ya Wachagga

Kumbuka wachagga sio kabila ukishajua hilo inatosha kuelewa

Bila Wachaga Kaskazini imepoa kama uji wa dundi
Najua wachaga si kabila kama wambulu.
Wewe ni mchaga?

Well kama ndio basi si kila sifa ya kuifurahia unajua kwann hii notion ya kaskazini ni wachaga ni mbaya?

Mtu unahukumiwa just sababu ya notion isiyo na uhalisia.....

Baada ya ufisadi kwenye interview panel ya kujaza nafasi member alipendekeza wa kumwajiri ila ni mkazi wa Arusha, then akatokea board member akasema watu wa kaskazini hao ni wachaga tupu na wezi tu Halafu mwenye tuhuma za wizi na kusimamishwa ni mpare si mchaga ila wote wakazi wa Arusha.


HII SI SAWA. UTAJIKUTA MAMBO YA WIZI YOTE YANAHUSISHWA NA WACHAGA HATA KAMA SI MCHAGA ALIYEFANYA, HII INACHANGIWA NA NOTION KUWA KASKAZINI NI WACHAGA.
 
Wachagga kwa sehemu kubwa ni watu (si kabila) wenye asili na/au wanaoishi kandokando au pembezoni mwa kingo za mlima Kilimanjaro, na wana makabila tofauti na hata lugha tofauti.
Kaskazini inabebwa na wachaga ndio

Ukisema Kaskazini watu watachora picha ya Wachagga

Kumbuka wachagga sio kabila ukishajua hilo inatosha kuelewa

Bila Wachaga Kaskazini imepoa kama uji wa dundi
 
Hamna kabila la wambulu,,, kuna wairaqw jomba,, naomba kuwakililisha
Kuna watu hawajui Kuna tofauti kubwa sana kati ya watu wa huku hawajui Kuna wachaga ,wasambaa,wambulu,wapare ( tena mwanga na usangi)wambunghu,waarusha ,wameru,nk wao huona kila MTU ni mchaga
 
Kaskazini
Arusha- Wamasai ,wameru
Manyara - wambulu
Kilimanjaro wachaga +wapare
Tanga- Wasambaa, wazigua ,wabondei,

Hii ndo mikoa inayowakilisha Kanda ya Kaskazini ...
Ok mkuu, ila Kilimanjaro ni sawa kuwakilishwa na wachaga ila si kaskani yote.
 
Back
Top Bottom