KANDA YA PWANI: Mwenyekiti mstaafu wa Kanda hiyo Baraka Mwago amewataka wajumbe wote wa mkutano mkuu wamchague Tundu Lissu ili chama kisife

KANDA YA PWANI: Mwenyekiti mstaafu wa Kanda hiyo Baraka Mwago amewataka wajumbe wote wa mkutano mkuu wamchague Tundu Lissu ili chama kisife

Rula ya Mafisadi

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
404
Reaction score
852
IMG-20241229-WA0110.jpg


Allahmdulillah!

Nilipata heshima ya kuhudumu kwenye nafasi mbalimbali za chama chetu kuanzia nyumbani Mkuranga, kisha Uenyekiti wa Mkoa wa Pwani. Niliiongoza Kanda ya Pwani kwa miaka mitano wakati wa mawimbi makali ya mwendazake, na nikahudumu katika Kamati Kuu ya Chama kwa miaka 5.

Kwa uzoefu huo, nafikiri nimejifunza kwa kiasi kikubwa kuwajua vyema viongozi wetu, kuelewa changamoto zetu, na kushuhudia fursa zilizopo kwa ajili ya maendeleo ya chama chetu.

Ili chama chetu kiendelee kuwa na nafasi ya kuaminika na kuleta tija kwa jamii tunayoihudumia, na ili kufanikisha kiu yetu ya mabadiliko tunayoyapigania kwa zaidi ya miaka 30, *_naamini sasa ni wakati muafaka wa kufanya MABADILIKO YA UONGOZI. Tunapaswa kuishi kile tunachohubiri na kuonyesha mfano wa utendaji wenye dira na ufanisi

Kwa dhati kabisa, naamini Tundu Antipas Lissu ndiye anayestahili kuwa nahodha wetu mkuu katika kipindi hiki.

Ze Mwenyekitiz,
Baraka Mwago
Mwenyekiti Mstaafu wa Mkoa wa Pwani na Kanda ya Pwani.
Jumapili December 29, 2024
Mfurumwambao, Mkuranga.
 
View attachment 3188513

Allahmdulillah!

Nilipata heshima ya kuhudumu kwenye nafasi mbalimbali za chama chetu kuanzia nyumbani Mkuranga, kisha Uenyekiti wa Mkoa wa Pwani. Niliiongoza Kanda ya Pwani kwa miaka mitano wakati wa mawimbi makali ya mwendazake, na nikahudumu katika Kamati Kuu ya Chama kwa miaka 5.

Kwa uzoefu huo, nafikiri nimejifunza kwa kiasi kikubwa kuwajua vyema viongozi wetu, kuelewa changamoto zetu, na kushuhudia fursa zilizopo kwa ajili ya maendeleo ya chama chetu.

Ili chama chetu kiendelee kuwa na nafasi ya kuaminika na kuleta tija kwa jamii tunayoihudumia, na ili kufanikisha kiu yetu ya mabadiliko tunayoyapigania kwa zaidi ya miaka 30, *_naamini sasa ni wakati muafaka wa kufanya MABADILIKO YA UONGOZI. Tunapaswa kuishi kile tunachohubiri na kuonyesha mfano wa utendaji wenye dira na ufanisi

Kwa dhati kabisa, naamini Tundu Antipas Lissu ndiye anayestahili kuwa nahodha wetu mkuu katika kipindi hiki.

Ze Mwenyekitiz,
Baraka Mwago
Mwenyekiti Mstaafu wa Mkoa wa Pwani na Kanda ya Pwani.
Jumapili December 29, 2024
Mfurumwambao, Mkuranga.
Mwenyekiti Baraka aongezewe ulinzi
 
View attachment 3188513

Allahmdulillah!

Nilipata heshima ya kuhudumu kwenye nafasi mbalimbali za chama chetu kuanzia nyumbani Mkuranga, kisha Uenyekiti wa Mkoa wa Pwani. Niliiongoza Kanda ya Pwani kwa miaka mitano wakati wa mawimbi makali ya mwendazake, na nikahudumu katika Kamati Kuu ya Chama kwa miaka 5.

Kwa uzoefu huo, nafikiri nimejifunza kwa kiasi kikubwa kuwajua vyema viongozi wetu, kuelewa changamoto zetu, na kushuhudia fursa zilizopo kwa ajili ya maendeleo ya chama chetu.

Ili chama chetu kiendelee kuwa na nafasi ya kuaminika na kuleta tija kwa jamii tunayoihudumia, na ili kufanikisha kiu yetu ya mabadiliko tunayoyapigania kwa zaidi ya miaka 30, *_naamini sasa ni wakati muafaka wa kufanya MABADILIKO YA UONGOZI. Tunapaswa kuishi kile tunachohubiri na kuonyesha mfano wa utendaji wenye dira na ufanisi

Kwa dhati kabisa, naamini Tundu Antipas Lissu ndiye anayestahili kuwa nahodha wetu mkuu katika kipindi hiki.

Ze Mwenyekitiz,
Baraka Mwago
Mwenyekiti Mstaafu wa Mkoa wa Pwani na Kanda ya Pwani.
Jumapili December 29, 2024
Mfurumwambao, Mkuranga.
wenyeviti wa kanda zote 10 za kiutawala za Chadema hawataki na wamekataa kuongozwa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anaishi nje ya nchi.

na wamewaelekeza wenyeviti wa mikoa, wilaya na kata, kuhakikisha kwamba siku ya uchaguzi wajumbe wote wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wanamchagua Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa Chadema Taifa,

Na kumkataa katu katu dalali wa ukoloni mambo leo, kibaraka na omba omba wa kimataifa anaelazimisha kula chakula kwa chairman wa Chadema Taifa kila siku 🐒
 
wenyeviti wa kanda zote 10 za kiutawala za Chadema hawataki na wamekataa kuongozwa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anaishi nje ya nchi.

na wamewaelekeza wenyeviti wa mikoa, wilaya na kata, kuhakikisha kwamba siku ya uchaguzi wajumbe wote wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wanamchagua Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa Chadema Taifa,

Na kumkataa katu katu dalali wa ukoloni mambo leo, kibaraka na omba omba wa kimataifa anaelazimisha kula chakula kwa chairman wa Chadema Taifa kila siku 🐒
Tarehe 22 Urudi tena kuandika hapa tafadhali
 
wenyeviti wa kanda zote 10 za kiutawala za Chadema hawataki na wamekataa kuongozwa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anaishi nje ya nchi.

na wamewaelekeza wenyeviti wa mikoa, wilaya na kata, kuhakikisha kwamba siku ya uchaguzi wajumbe wote wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wanamchagua Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa Chadema Taifa,

Na kumkataa katu katu dalali wa ukoloni mambo leo, kibaraka na omba omba wa kimataifa anaelazimisha kula chakula kwa chairman wa Chadema Taifa kila siku 🐒
Sema nini Mkuu unaonekana kama dishi limeyumba vile, hao wenyeviti umewasikia wapi na umepata Vipi hizo taarifa?

Wakati ni kada mtiifu wa CCM, Bahati mbaya tu fagio la Mama limekuondoa serikalini. Hebu jaribu kupunguza basi mchecheto
 
Sema nini Mkuu unaonekana kama dishi limeyumba vile, hao wenyeviti umewasikia wapi na umepata Vipi hizo taarifa?

Wakati ni kada mtiifu wa CCM, Bahati mbaya tu fagio la Mama limekuondoa serikalini. Hebu jaribu kupunguza basi mchecheto
Hahaha
 
Mtoa mada umenena vyema tena kwa ustaarabu wa kiwango cha juu, kweli ulistaili kuwa kiongozi, Mbowe kuendelea kubaki kama mgombea ajue kwamba anakwenda kukipasua chama. Na wote wanaomuunga mkono kwa mtazamo wangu wanamaslahi binafsi na sio kwa maslahi ya chama.
 
Sema nini Mkuu unaonekana kama dishi limeyumba vile, hao wenyeviti umewasikia wapi na umepata Vipi hizo taarifa?

Wakati ni kada mtiifu wa CCM, Bahati mbaya tu fagio la Mama limekuondoa serikalini. Hebu jaribu kupunguza basi mchecheto
gentleman,
siasa ni sayansi na uchaguzi ni numbers,

halafu kwa udogo wa Tanzania, kweli unaweza kubabaika au kushindwa kufahamu au kujua, maoni, mtazamo na uelekeo wa wenyeviti wa kanda za kiutawala za Chadema kuelekea uchaguzi wa chadema Taifa Jan 22,2025.? unless una connections finyu mno nchini,

sure hata kujua tu,
mathalani uelekeo wa,
mwenyekiti wa kanda ya Pwani, Kanda ya kati, kanda ya Serengeti, Victoria, Nyasa, kanda ya kaskazini, Kusini, unguja au pemba n.k ni kazi?

ukiachana na wenyeviti wa kanda,
ugumu uko wapi kujua uelekeo wa wenyeviti wa mikoa mathalani ya Iringa, Dodoma, Kinondoni au Mwanza?

kibaraka atachomokea wapi kwa mfano kama hakuna kanda hata moja inayomuunga mkono?🐒
 
gentleman,
siasa ni sayansi na uchaguzi ni numbers,

halafu kwa udogo wa Tanzania, kweli unaweza kubabaika au kushindwa kufahamu au kujua, maoni, mtazamo na uelekeo wa wenyeviti wa kanda za kiutawala za Chadema kuelekea uchaguzi wa chadema Taifa Jan 22,2025.? unless una connections finyu mno nchini,

sure hata kujua tu,
mathalani uelekeo wa,
mwenyekiti wa kanda ya Pwani, Kanda ya kati, kanda ya Serengeti, Victoria, Nyasa, kanda ya kaskazini, Kusini, unguja au pemba n.k ni kazi?

ukiachana na wenyeviti wa kanda,
ugumu uko wapi kujua uelekeo wa wenyeviti wa mikoa mathalani ya Iringa, Dodoma, Kinondoni au Mwanza?

kibaraka atachomokea wapi kwa mfano kama hakuna kanda hata moja inayomuunga mkono?🐒
Kitakachotokea kwenye uchaguzi hutaamini mkuu, watu wamechoka, Mapesa ya rushwa yaendelee kusambazwa lakini kula ni machame, kura ni ikungi
 
Lissu hawezi mshinda Mbowe hata kama mbowe hatafanya kampemi kabisa. Tushatabiri Lissu akipata kura 100 kati za 1200 basi yeye ni kidume kweli kweli.
 
Mwenyekiti Baraka aongezewe ulinzi
Huyo ni mstaafu na hataingia kwenye uchaguzi. Wajumbe wa Mkoa wa Pwani mwenyekiti wao wa sasa ni miongoni mwa wenyeviti wa mikoa 20 walioenda nyumbani kwa Mbowe kumuomba agombee tena
 
Back
Top Bottom