Kanda ya ziwa mabinti wanaolewa na miaka 15, hii si sawa

Kanda ya ziwa mabinti wanaolewa na miaka 15, hii si sawa

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Nimeishi Musoma na sasa niko Geita, nilichokiona huku serikali na wazazi tuamke. Ukienda clinic ya wajawazito utashangaa kwenye foleni kuna vibinti vya muaka 15 vina ujauzito.

Nilishangaa kata ya Mganza jirani kabisa na Chato binti ana miaka 20 anawatoto wawili, alishaolewa na kuachika. Unajua maana ya msimbe? Msimbe ni mwanamke aliyeolewa akaachka.

Sasa huku si ajabu kukuta binti wa miaka 18 ni msimbe akiwa na watoto wawili. Huku swala la kufunga ndoa lilishasahulika.
Katika wazazi 100 wenye mabinti, kukuta aliyekula mahari kabisa ya binti yake hawazidi wawili. Watoto wanaoana kirahisi na wazazi hawana hiana.

Mtoto akifeli la saba tu mwaka unaofuata anaolewa. Utafiti huu ni kwa mkoa wa Mara na Geita, nasikia na mikoa ya kusini huu ujinga upo. Yaani mtoto wa kike hafaidi ile hali ya kuwa binti au dada, yaani anatoka utoto mpaka kuwa mama.

Mimi nina miaka
Itaendelea.....
 
WEWE NDIO UNA MATATIZO? KUNA TATIZO WAMEKULALAMIKIA? WAMEKULILIA SHIDA YOYOTE...?

KWANI WAKIOLEWA WAKIWA NA UMRI HUO WANAPATA MADHARA GANI? KWANI MIAKA 15, 20 HAWAJABALEGHE NA KUKOMAA KIVIUNGO?

WEWE WATAKA WALE UJANA GANI? WAZINI ZINI TU BILA UTARATIBU ILI WAJAE MASINGO MAZA MITAANI...?
 
Nimeishi Musoma na sasa niko Geita, nilichokiona huku serikali na wazazi tuamke. Ukienda clinic ya wajawazito utashangaa kwenye foleni kuna vibinti vya muaka 15 vina ujauzito.

Nilishangaa kata ya Mganza jirani kabisa na Chato binti ana miaka 20 anawatoto wawili, alishaolewa na kuachika. Unajua maana ya msimbe? Msimbe ni mwanamke aliyeolewa akaachka.

Sasa huku si ajabu kukuta binti wa miaka 18 ni msimbe akiwa na watoto wawili. Huku swala la kufunga ndoa lilishasahulika.
Katika wazazi 100 wenye mabinti, kukuta aliyekula mahari kabisa ya binti yake hawazidi wawili. Watoto wanaoana kirahisi na wazazi hawana hiana.

Mtoto akifeli la saba tu mwaka unaofuata anaolewa. Utafiti huu ni kwa mkoa wa Mara na Geita, nasikia na mikoa ya kusini huu ujinga upo. Yaani mtoto wa kike hafaidi ile hali ya kuwa binti au dada, yaani anatoka utoto mpaka kuwa mama.

Mimi nina miaka 38 ila nilijaribu kwenda familia fulani kuomba nimuoe binti yao wa miaka 16
Itaendelea.....
Nimeishi Musoma na sasa niko Geita, nilichokiona huku serikali na wazazi tuamke. Ukienda clinic ya wajawazito utashangaa kwenye foleni kuna vibinti vya muaka 15 vina ujauzito.

Nilishangaa kata ya Mganza jirani kabisa na Chato binti ana miaka 20 anawatoto wawili, alishaolewa na kuachika. Unajua maana ya msimbe? Msimbe ni mwanamke aliyeolewa akaachka.

Sasa huku si ajabu kukuta binti wa miaka 18 ni msimbe akiwa na watoto wawili. Huku swala la kufunga ndoa lilishasahulika.
Katika wazazi 100 wenye mabinti, kukuta aliyekula mahari kabisa ya binti yake hawazidi wawili. Watoto wanaoana kirahisi na wazazi hawana hiana.

Mtoto akifeli la saba tu mwaka unaofuata anaolewa. Utafiti huu ni kwa mkoa wa Mara na Geita, nasikia na mikoa ya kusini huu ujinga upo. Yaani mtoto wa kike hafaidi ile hali ya kuwa binti au dada, yaani anatoka utoto mpaka kuwa mama.

Mimi nina miaka 38 ila nilijaribu kwenda familia fulani kuomba nimuoe binti yao wa miaka 16
Itaendelea.....
..."Hii si sawa"!
Hii si sawa unavyotaka wewe au sheria inavyotaka?

Sheria ya ndoa ya 71' inayotumika mpaka leo inasemaje kuhusu umri wa chini kabisa wa binti kuolewa?

Thamani ya mwanamke siyo sura ama tabia ni umri.

Huo umri unaousema wewe sisi tunasema ni "binti mbichi" maana yake thamani yake ni kubwa(kula na mifupa).

Shule, sijui kuolewa kwa kuchukuliwa bure hayo ni mambo "yatokanayo" ambayo hufanywa na jamii nzima bila kujali umri.

Ila kuoa binti mdogo ukajikuzia mwenyewe kuna raha yake nyie!
 
We unashangaa hao? Mimi last week nmekutana na mmoja 25yrs na ana watoto 6. Hao ndo wako hai, usisahau miscarriage mbili hapo kati. Na bado binti mbichi kbsa ukijichanganya unazama mazima.
Wale watu hasa wasukuma hawana haraka na mambo ya shuke, kwanza unakuta shule ya sekondari ni km 15 kutoka kijiji kilipo, binti asakanye kwa miguu nenda rudi, au apewe injini kiuno (baiskeli) atoboe nayo, do u think atakua motivated? Na hapo usisahau akichelewa skuli anakula stiki za kutosha.
Akirud nyumbani mshua anamwambia akachunge, bado kusanya kuni, bado kufata maji na kupika juu. Akilala n kama maiti.
After hayo yote ujue jamii za wafugaji wanathamini mifugo, so hapo mwamba atatoa ng'ombe 25 chap anachukua pisi
 
WEWE NDIO UNA MATATIZO? KUNA TATIZO WAMEKULALAMIKIA? WAMEKULILIA SHIDA YOYOTE...?

KWANI WAKIOLEWA WAKIWA NA UMRI HUO WANAPATA MADHARA GANI? KWANI MIAKA 15, 20 HAWAJABALEGHE NA KUKOMAA KIVIUNGO?

WEWE WATAKA WALE UJANA GANI? WAZINI ZINI TU BILA UTARATIBU ILI WAJAE MASINGO MAZA MITAANI...?
Kuna tatizo kubwa sana kwa ma binti kuolewa au kuuza katika umri mdogo. Kwanza hajaandaliwa kimakuzi kuweza kulea mimba, hana elimu ya kutosha ya uzazi, hawajajiandaa kiuchumi nk matokeo yake ni kuzaa watoto wenye utapia mlo ambayo inapelekea udumavu wa akili. Udumavu wa akili ni tatizo kubwa kitaifa kwa sasa kwa sababu unapelekea kuwa na jamii mzigo. Jamii inakuwa mzigo kwa sababu haina uwezo mkubwa wa kiakili wa kufikiri na kutatua changamoto nyingi za maisha. Jamii mzigo inategemea eti viongozi ndiyo watawaletea maendeleo mpaka kwenye kaya zao. Sasa hivi kwa mfano kuna ukame na maji hakuna, sasa jamii mzigo badala ya kufikiria waitane wawili watatu majirani wauze mfugo mmoja mmoja au miwili, ili wachimbe walau kisima cha kawaida wapate maji, au kipindi cha mvua waitane kitongojini kwao wachimbe lambo lao dogo la maji liwasaidie wakati wa kiangazi, wao pesa wabaenda kunywea na kuongea wake (vibinti vya miaka 15) huku wanasubiri serikali. Jamii mzigo mama mjazimzito haendi clinic mapema mpaka mimba inafika miezi 5 au zaidi. Na akienda akipewa vile vidonge vya wajawazito hawamezi wanatupa kwa kukosa elimu. Mtoto akizaliwa na matatizo kama vichwa vikubwa au mgongo wazi wao wanakimbilia kusema kalogwa. Kwa ujumla hii jamii mzigo ndiyo inayoburuzwa sana na wanasiasa kwa kupewa ahadi hewa na kulishwa propaganda za hovyo mpaka wakati mwingine wanauwana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya tofauti za kisiasa. Jamii mzigo uwezo wa kufikiri na kuleta mabadiliko ni mdogo sana.
 
Kuna tatizo kubwa sana kwa ma binti kuolewa au kuuza katika umri mdogo. Kwanza hajaandaliwa kimakuzi kuweza kulea mimba, hana elimu ya kutosha ya uzazi, hawajajiandaa kiuchumi nk matokeo yake ni kuzaa watoto wenye utapia mlo ambayo inapelekea udumavu wa akili. Udumavu wa akili ni tatizo kubwa kitaifa kwa sasa kwa sababu unapelekea kuwa na jamii mzigo. Jamii inakuwa mzigo kwa sababu haina uwezo mkubwa wa kiakili wa kufikiri na kutatua changamoto nyingi za maisha. Jamii mzigo inategemea eti viongozi ndiyo watawaletea maendeleo mpaka kwenye kaya zao. Sasa hivi kwa mfano kuna ukame na maji hakuna, sasa jamii mzigo badala ya kufikiria waitane wawili watatu majirani wauze mfugo mmoja mmoja au miwili, ili wachimbe walau kisima cha kawaida wapate maji, au kipindi cha mvua waitane kitongojini kwao wachimbe lambo lao dogo la maji liwasaidie wakati wa kiangazi, wao pesa wabaenda kunywea na kuongea wake (vibinti vya miaka 15) huku wanasubiri serikali. Jamii mzigo mama mjazimzito haendi clinic mapema mpaka mimba inafika miezi 5 au zaidi. Na akienda akipewa vile vidonge vya wajawazito hawamezi wanatupa kwa kukosa elimu. Mtoto akizaliwa na matatizo kama vichwa vikubwa au mgongo wazi wao wanakimbilia kusema kalogwa. Kwa ujumla hii jamii mzigo ndiyo inayoburuzwa sana na wanasiasa kwa kupewa ahadi hewa na kulishwa propaganda za hovyo mpaka wakati mwingine wanauwana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya tofauti za kisiasa. Jamii mzigo uwezo wa kufikiri na kuleta mabadiliko ni mdogo sana.
Uko sahihi kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom