Kanda ya ziwa mabinti wanaolewa na miaka 15, hii si sawa

Kanda ya ziwa mabinti wanaolewa na miaka 15, hii si sawa

WEWE NDIO UNA MATATIZO? KUNA TATIZO WAMEKULALAMIKIA? WAMEKULILIA SHIDA YOYOTE...?

KWANI WAKIOLEWA WAKIWA NA UMRI HUO WANAPATA MADHARA GANI? KWANI MIAKA 15, 20 HAWAJABALEGHE NA KUKOMAA KIVIUNGO?

WEWE WATAKA WALE UJANA GANI? WAZINI ZINI TU BILA UTARATIBU ILI WAJAE MASINGO MAZA MITAANI...?
Yeye alitaka wasiolewe ila waende mjini kuwa wafanyakazi wa ndani au kuuza bar na kuwa machangudo sasa mtoto hataki shule plani B ni kuolewa, kipi bora kukaa nyumba au kwenda kujiuza na kuzalishwa ovyo na kupata ukimwi, bora wanavyo olewa kuliko wangekuwa Dar kujiuza na kufanyishwa kazi za ajabu. wewe fanya utafiti wako jamii yakifugaji huwezi kukuta wasichana wa jamii hiyo wakijiuza na wakifanya kazi hatarishi mfano kuuza bar.
 
Ndio maana tunasisitiza watu wazae uzazi wa mpango ili waweze kuwahudumia watoto wao ipasavyo. Ukiwa maskini halafu unaendelea kuzaa watoto wengi wapo watakaokundisha kutunza.
Yeye alitaka wasiolewe ila waende mjini kuwa wafanyakazi wa ndani au kuuza bar na kuwa machangudo sasa mtoto hataki shule plani B ni kuolewa, kipi bora kukaa nyumba au kwenda kujiuza na kuzalishwa ovyo na kupata ukimwi, bora wanavyo olewa kuliko wangekuwa Dar kujiuza na kufanyishwa kazi za ajabu. wewe fanya utafiti wako jamii yakifugaji huwezi kukuta wasichana wa jamii hiyo wakijiuza na wakifanya kazi hatarishi mfano kuuza bar.
 
Hii ipo tangu jadi hata mtume alioa mwanamke wa miaka 9 sasa unataka wakae nyumbani wanafanya nini?
Huyu alitaka wakafanye umalaya dar kama jamii nyingine ambayo siyo jamii yakifugaji , Wasicha kuolewa mapema ni vizuru, wewe fanya utafiti kwenye madanguro na sehemu wanaopatikana madada poa % 99 ni wanatoka jamii ambazo siyo za wafugaji ni ngumu kumkuta msichana waki Masai akijiuza ata awe amesoma na kukulia mjini.
 
Wasukuma hawana Akili

Nchi yetu inazidi kuzalisha wapumbavu wengi kwa uzizi

Binti was miaka 14- 20 hawezi kuwa na akili kichwani za kuweza kumlea mtoto .


Uzinzi , tu
Kwani wewe Mama yako aliolewa na Baba yako akiwa na miaka mingapi? Kama hujui kamuulize au wewe ni mtoto wa nje ya ndoa?
 
Mtoto wa mjomba wangu alimliza tu form four akakomaa kuolewa tena mtu mzima aliyemzidi miaka 23 hivi tukamweleza yy bado kuhimili misusuko ya ndoa akakoma akatishia kunywa sumu tukamwambia mwambie aje akatoa mahari tukamkabidhi akaenda kuleta utoto kwa mume akifikiri yule ni baba yake, yaan hapiki mume anamwambia alikuwa hajisikii kupika, au anaondoka anaenda kwa marafiki zke haagi mumewe. Alichezea kichapo alirudi mwenyewe mpaka leo sijawahi msikia akiongelea habari hizo za kuolewa tena.
 
Ni bora waolewe kuliko kuja kuletwa Dar kuwa wafanyakazi wa ndani na kuanza kuliwa na baba mwenye nyumba na watoto wake.
Ni bora waolewe kuliko kuja kuwa ma bar maids muanze kuwavizia mkilewa.
 
Hii nchi itakabaliwa na tatizo kubwa sana litokanalo na overpopulation kwa uzaaji wa aina hiyo.Watoto wa miaka 20 wanatakiwa wawe shule wanasoma sio mtaani au vijijini wanazaa
UKIHOFIA WANAOZALIWA WATAPELEKEA POPULATION... ANZA KUFA WEWE...

LAITI MIMI NINGEKUWA RAIS... YEYOTE ATAKAYELETA HOJA YA OVERPOPULATION NAANZA KWA KUMPUNGUZA YEYE... NAMUUA.
 
Ingawa umewatukana wasukuma, lakini tazama wapumbavu zaidi: binti akishakuwa na akili kichwani kama unavyodai anageuka kahaba asiyefaa kuwa mke wa ndoa. Huyo kawa mpumbavu zaidi. Hizo taasisi za elimu zimegeuka madanguro ya kila aina ya uchafu. Sababu ni kwamba HAKUNA MWANAMKE ALIYEKUWA DESIGNED KUISHI MBALI NA WAZAZI WAKATI WA UJANA WAKE. Huo ndio ukweli.
SHULE NDIO KITUO CHA KUHARIBIA WATOTO WETU...
 
Ila uhalisia unasema bint akisha pevuka si mtoto tena na ndio uhalisia , dunia mbona inaweza kusema bint wa miaka 35 aitwe mtoro na ikawa je uhalisia unasemaje u anamwitaje binti aliye pevuka mtoto?
HII DUNIA INA WATU WAPUMBAVU... NYIE ACHENI... SIJUI NI MPUMBAVU GANI ALIYEKUJA NA RESEARCH KUHUSU MIAKA 18 NDIO MTU MZIMA...

NA HIVI KARIBUNI WATAIPANDISHA... IWE MIAKA 20...LENGO LAO NI MABINT ZETU WAHARIBIKIWE...
 
Pĺaàà
Kuna tatizo kubwa sana kwa ma binti kuolewa au kuuza katika umri mdogo. Kwanza hajaandaliwa kimakuzi kuweza kulea mimba, hana elimu ya kutosha ya uzazi, hawajajiandaa kiuchumi nk matokeo yake ni kuzaa watoto wenye utapia mlo ambayo inapelekea udumavu wa akili. Udumavu wa akili ni tatizo kubwa kitaifa kwa sasa kwa sababu unapelekea kuwa na jamii mzigo. Jamii inakuwa mzigo kwa sababu haina uwezo mkubwa wa kiakili wa kufikiri na kutatua changamoto nyingi za maisha. Jamii mzigo inategemea eti viongozi ndiyo watawaletea maendeleo mpaka kwenye kaya zao. Sasa hivi kwa mfano kuna ukame na maji hakuna, sasa jamii mzigo badala ya kufikiria waitane wawili watatu majirani wauze mfugo mmoja mmoja au miwili, ili wachimbe walau kisima cha kawaida wapate maji, au kipindi cha mvua waitane kitongojini kwao wachimbe lambo lao dogo la maji liwasaidie wakati wa kiangazi, wao pesa wabaenda kunywea na kuongea wake (vibinti vya miaka 15) huku wanasubiri serikali. Jamii mzigo mama mjazimzito haendi clinic mapema mpaka mimba inafika miezi 5 au zaidi. Na akienda akipewa vile vidonge vya wajawazito hawamezi wanatupa kwa kukosa elimu. Mtoto akizaliwa na matatizo kama vichwa vikubwa au mgongo wazi wao wanakimbilia kusema kalogwa. Kwa ujumla hii jamii mzigo ndiyo inayoburuzwa sana na wanasiasa kwa kupewa ahadi hewa na kulishwa propaganda za hovyo mpaka wakati mwingine wanauwana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya tofauti za kisiasa. Jamii mzigo uwezo wa kufikiri na kuleta mabadiliko ni mdogo sana.
Hii ni formula au ni fikra zako binafsi?

Mambo karibia yote uliyoyaongelea, yanahusu umasikini wa jamii kuwa mbali na huduma za hospitali na sehemu za kujifungulia kina mama!

Jambo moja tu linalowahusu "underage" kujifungua kwa njia ya upasuaji, napo siyo wote, wengine wanajifungua salama bila shida.

Hayo mambo ya utapia mlo na mengine uliyoyaeleza ni ya kijamii( elimu na umasikini) hayachagui umri.

Nimejaribu ku urgue hayo siyo kwa ubishi ama ujuaji hapana, ni kwa uzoefu wangu wa kutosha, kwa sababu jamii yetu imekuwa na kanuni ya kukaririshwa mambo na kuyasadiki bila kufanya utafiti wa kujitosheleza.
 
WEWE NDIO UNA MATATIZO? KUNA TATIZO WAMEKULALAMIKIA? WAMEKULILIA SHIDA YOYOTE...?

KWANI WAKIOLEWA WAKIWA NA UMRI HUO WANAPATA MADHARA GANI? KWANI MIAKA 15, 20 HAWAJABALEGHE NA KUKOMAA KIVIUNGO?

WEWE WATAKA WALE UJANA GANI? WAZINI ZINI TU BILA UTARATIBU ILI WAJAE MASINGO MAZA MITAANI...?
Anataka Binti aolewe akiwa mama mtu mzima anayeweza kubadili wanaume akiwa kwenye ndoa na kujifanya kuwa ana haki ya kurirthi na kulelelewa watoto na Haizi gelo.

Mtoto wa kike akishafikia miaka 15 kuendelea kama hasomi na hataki shule ni jambo jema kama atapata mume akaolewa kuliko kubadili wanaume na kuzalia nyumbani . Saa nyingine wengi wanazaa na waume wa watu halafu wanagoma kuwataja baba halali wa watoto. Kiujumla mifumo yetu haijakaa sawa kuhusu mambo ya kijamii hasa ndoa.

Mapapapanga wanaziita ndoa za utotoni lakini kiuhalisia Hawa mabinti wakiolewa na mwanaume mchamumgu anayejua kuwajibika wanadumu sana kwenye ndoa kuliko makurumbembe yanayotolewa na miaka 30. Ambayo ndiyo yanyoongoza Kwa kuuana na kuua wanaume zao na kuachana kila siku.

Mama zetu waliolewa wakiwa na umri wa miaka 15 mpaka 18 waliza watoto wengi Tena kwenye mazingira magumu yasiyo na Hospitali karibu Wala magari na bodaboda za haraka lakini walizaa watoto mpaka 10 . Leo Hawa wanaoolewa wakiwa wameshatoa mimba 5 hawawezi hata kuzaa watoto wanne. Huku wakiwa na bed rest miezi nane.
Shenzi sana.
Acheni mabinti waolewe kama hawasomi sio kuwaacha wapige umalaya wakati Aliyewaumba ameshawapevusha na kuvunja ungo. Sisi ni nani kuzuia uumbaji wa Mungu .
Nani ambaye anaweza kuzia ng'ombe au mbuzi,au Kondoo au Kuku au nguruwe wake asianze kuzaa anapofikia umri wa kukomaa mayai na kuhitaji Dume eti mpaka awe na umri Fulani wa kupanga TU kibinadam na sio kiuumbaji?
 
Kama muhanga wa ndoa za utotoni, sishauri kabisa hiki kwa binti yoyote ni mbaya sana hasa kisaikolojia, mbaya mnooo waepusheni mabinti zenu, wadogo zenu na ndoa za aina hii
Kila kitu ni jinsi jamii inavyotumia muda Mwingi kujitangaza.
Miaka ya nyuma mtoto akimaliza darasa la Saba Kisha akapata mwanaume akamuoa akionekana ana bahati sana.Na alikua anaheshimika sana na kujisikia furaha na fahari kwa wazazi.

Wanawake hawana jema. Akisoma sana anaona ndoa ni kama utumwa kwani hapendi kuwa chini ya mwanaume aliyemzidi Elimu na kipato. Anapeleka ubosi wa ofisini mpaka nyumbani.
Asiposoma anakosa ujasiri na kuwaona walioaoma kuwa labda Wana ndoa nzuri zisizo na changamoto na pia anawaza kuwa anakosa uhuru kutokana na kukosa kipato chake Mwenyewe Cha uhakika.

Na pia wanaume waliosoma siku hizi wanawanyanyasa wake zao wasiosoma huku wakiendekeza zinaa na Wanawake wafanyakazi wenzao ambao pia ni wake wa wanaume wasio na ajira za maofisini.

Makelele yote ni sababu ya jamii kuondokana na maadili. Serikali imeweka uhuru sana wa watu kufanya zinaa badala ya uadilifu .

Pangekua na uadilifu hata kijana na Binti wangeweza kuoana na wazazi wakaendelea kuwasomesha huku wakiwa ni wanandoa na wakapata ajira. Hasa zile zisizo za Kijeshi japo hata hizo watoto wa wakubwa hua wanapata .

Leo hii wanafunzi mfano wa vyuo wanaishi maisha ya kikahaba na ndio maana hatupati Wataalamu wa maana zaidi ya wanaharakati.
 
Pĺaàà

Hii ni formula au ni fikra zako binafsi?

Mambo karibia yote uliyoyaongelea, yanahusu umasikini wa jamii kuwa mbali na huduma za hospitali na sehemu za kujifungulia kina mama!

Jambo moja tu linalowahusu "underage" kujifungua kwa njia ya upasuaji, napo siyo wote, wengine wanajifungua salama bila shida.

Hayo mambo ya utapia mlo na mengine uliyoyaeleza ni ya kijamii( elimu na umasikini) hayachagui umri.

Nimejaribu ku urgue hayo siyo kwa ubishi ama ujuaji hapana, ni kwa uzoefu wangu wa kutosha, kwa sababu jamii yetu imekuwa na kanuni ya kukaririshwa mambo na kuyasadiki bila kufanya utafiti wa kujitosheleza.
Pĺaàà

Hii ni formula au ni fikra zako binafsi?

Mambo karibia yote uliyoyaongelea, yanahusu umasikini wa jamii kuwa mbali na huduma za hospitali na sehemu za kujifungulia kina mama!

Jambo moja tu linalowahusu "underage" kujifungua kwa njia ya upasuaji, napo siyo wote, wengine wanajifungua salama bila shida.

Hayo mambo ya utapia mlo na mengine uliyoyaeleza ni ya kijamii( elimu na umasikini) hayachagui umri.

Nimejaribu ku urgue hayo siyo kwa ubishi ama ujuaji hapana, ni kwa uzoefu wangu wa kutosha, kwa sababu jamii yetu imekuwa na kanuni ya kukaririshwa mambo na kuyasadiki bila kufanya utafiti wa kujitosheleza.
Underage wengi huachika mapema maana umri wao hauwaruhusu kumudu mikiki mikiki ya ndoa,hiyo mikoa ina single mothers wengi kuliko mjini
 
Underage wengi huachika mapema maana umri wao hauwaruhusu kumudu mikiki mikiki ya ndoa,hiyo mikoa ina single mothers wengi kuliko mjini
Hilo ni kweli, isipokuwa sasa suala la kudumu ama kukimbia ndoa mapema ni "mtambuka" ndg.

Waweza eleza ni kwa nini pia vijana wa mjini hawataki kuoa ama wakioa ndoa zao pia nyingi hazidumu?
 
Back
Top Bottom