Kanda ya Ziwa Tulishawakataa wote walokataliwa na Hayati Magufuli

Kanda ya Ziwa Tulishawakataa wote walokataliwa na Hayati Magufuli

Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!

Acheni uongo. Kanda ya Ziwa ndio Nini?. Ukiondoa Mara na kagera, mikoa ya Kanda ya Ziwa ndio inaongoza kwa kuipigia kura CCM . Na sioni likibadilika hili.
 
Acheni ujinga nyie, eti ndio kuna wanaume, kwahiyo Kanda zingine Kuna kina nani?

Acheni ujinga wa ukabila nyingi, hamna lolote la kuzidi labda ushamba tu ndo mnawazidi Kanda zingine.

Yani anadharau Sana. Uchaguzi ukifika atakuwa wa kwanza kumpigia kampeni January.
 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!

Tofautisha chato na Kanda ya Ziwa. Kanda ya Ziwa haina ukabila Wala utengano. Nyie ndio mnataka mlete ujinga usiokuwepo.
 
Huo ndio ukweli halisi ila wanatuona watanzania kama majuha wao.

Lakini muda utawadia na wataelewa kumbe walikuwa haelewi.
IMG-20220331-WA0020.jpg
 
Bora nyie mna kaburi la dictator sisi familia ya ben saanane hata kaburi halipo leteni usng qm nyie
Wewe nguruwe pori Ben Sanane ni nani kila leo unamzungumzia? Watanzania wangapi wanauliwa na kuuana kila leo iwe wao kwa wao au majambazi? Uchagadema ndo tatizo lako huwezi kuyaona wengine unaropoka daily kuhusu Ben!
 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Achana na alie kufa maisha yana endelea
 
Amesema muuweni km mnataka yaani mawaziri wote mmemuona Makamba tu kila kitu Makamba khaaa
 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Ulitumie jina la Kanda ya ziwa vibaya sema tu nyie wanufaika na machawa wa awamu ya tano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!

 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Mkuu Carlos The Jackal, sio kweli, sisi watu wa Kanda ya Ziwa halisi, hatuna ukabila wala ubaguzi WA ukanda, tunamkubali sana tuu huyu dogo, This Guy is good and can make a very good president January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President Ila usiwe na wasiwasi, sio kwa 2025!.

Kwa 2025, despite hii sauti, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke! Watanzania tumeisha amua Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

P
 
Kweli wasukuma ni wa hovyo. Kanda ya ziwa mna nini nchi hii. Labda uchawi na kuua zeruzeru. Kinda ya watu wajinga zaidi Tanzania. Hebu nyamazeni vaeni tunguri zenu na hirizi. Hovyo kabisa
Stupid ass
 
Umetumia lugha mbaya sana, jaribu kusoma tena kichwa cha habari yako na habari yenyewe utaelewa.

Magufuri alikuwa binadamu tu kama binadamu wengine, ana mapungufu na mazuri yake, ila hana sifa za KiMungu ambayr ndiye alpha na omega.
 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Mimi natoka kanda ya ziwa mkuu, JPM aliondoka mwenyewe kwa matatizo ya moyo ya zaidi ya miaka kumi (hofu ni covid 19).

Sio kila msiba ni mkono wa mtu, wengi tu wanakufa vifo vya kawaida. Tena tumshukuru Mungu tupunguze hizi kufuru aliweza kuishi na matatizo ya moyo kwa muda mrefu na kama asingejipa mawazo mengi kichwani mwake pengine mpaka leo tungekuwa nae.

Alipenda sana kuyachukua matatizo mengi ya wananchi na kuyafanya ya kwake binafsi. Mungu amrehemu.
 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Tureteeeni Gwajmaaaaaaaa.
 
Mimi natoka kanda ya ziwa mkuu, JPM aliondoka mwenyewe kwa matatizo ya moyo ya zaidi ya miaka kumi (hofu ni covid 19).

Sio kila msiba ni mkono wa mtu, wengi tu wanakufa vifo vya kawaida. Tena tumshukuru Mungu tupunguze hizi kufuru aliweza kuishi na matatizo ya moyo kwa muda mrefu na kama asingejipa mawazo mengi kichwani mwake pengine mpaka leo tungekuwa nae.

Alipenda sana kuyachukua matatizo mengi ya wananchi na kuyafanya ya kwake binafsi. Mungu amrehemu.
Amen Amen
P
 
Back
Top Bottom