econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hivi umoja party bado ipo maana siisikii kabisa sasa!
Ilikufa zamani Sana. Walidhani upinzani ni kunywa juisi hotelini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi umoja party bado ipo maana siisikii kabisa sasa!
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Acheni ujinga nyie, eti ndio kuna wanaume, kwahiyo Kanda zingine Kuna kina nani?
Acheni ujinga wa ukabila nyingi, hamna lolote la kuzidi labda ushamba tu ndo mnawazidi Kanda zingine.
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Wewe nguruwe pori Ben Sanane ni nani kila leo unamzungumzia? Watanzania wangapi wanauliwa na kuuana kila leo iwe wao kwa wao au majambazi? Uchagadema ndo tatizo lako huwezi kuyaona wengine unaropoka daily kuhusu Ben!Bora nyie mna kaburi la dictator sisi familia ya ben saanane hata kaburi halipo leteni usng qm nyie
Achana na alie kufa maisha yana endeleaLabda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Ulitumie jina la Kanda ya ziwa vibaya sema tu nyie wanufaika na machawa wa awamu ya tanoLabda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Ni wajane.Kweli kanda ya ziwa walipata msiba mkubwa
Mkuu Carlos The Jackal, sio kweli, sisi watu wa Kanda ya Ziwa halisi, hatuna ukabila wala ubaguzi WA ukanda, tunamkubali sana tuu huyu dogo, This Guy is good and can make a very good president January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President Ila usiwe na wasiwasi, sio kwa 2025!.Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Stupid assKweli wasukuma ni wa hovyo. Kanda ya ziwa mna nini nchi hii. Labda uchawi na kuua zeruzeru. Kinda ya watu wajinga zaidi Tanzania. Hebu nyamazeni vaeni tunguri zenu na hirizi. Hovyo kabisa
Mimi natoka kanda ya ziwa mkuu, JPM aliondoka mwenyewe kwa matatizo ya moyo ya zaidi ya miaka kumi (hofu ni covid 19).Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Tureteeeni Gwajmaaaaaaaa.Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Amen AmenMimi natoka kanda ya ziwa mkuu, JPM aliondoka mwenyewe kwa matatizo ya moyo ya zaidi ya miaka kumi (hofu ni covid 19).
Sio kila msiba ni mkono wa mtu, wengi tu wanakufa vifo vya kawaida. Tena tumshukuru Mungu tupunguze hizi kufuru aliweza kuishi na matatizo ya moyo kwa muda mrefu na kama asingejipa mawazo mengi kichwani mwake pengine mpaka leo tungekuwa nae.
Alipenda sana kuyachukua matatizo mengi ya wananchi na kuyafanya ya kwake binafsi. Mungu amrehemu.
Jumapili njema kaka.Amen Amen
P