Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Sio kanda yote ni wafuasi wachache wa RIP JPM.Mimi kilichonishangaza waziri kuipigia promo kampuni ya Rostam(TAIFA) huku akizitenga kampuni zingine shindani.
NB:Kanda ya ziwa acheni ukabila hauna afya kwa taifa letu.
BebiKumekuchaaaaa!!
What the truth?Untrue
NEC hii ya CCM hakuna namna mtakubali tuLabda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Tutengeneze mifumo imara na siyo mtu imaraTatizo la kutegemea majina badala ya sera. Watanzania wanaheshimu misimamo sisi tunawaheshimu wale kama kule kaskazini au hata Mara ambao waliwachagua wapinzani kwa sera badala ya kufuata watu. Tatizo watu wanaweza kufa halafu mnabaki bila misimamo kama hivi fuateni sera sio watu
Ilikufa kabla ya usajili, zilikuwa juhudi za NdugaiHivi umoja party bado ipo maana siisikii kabisa sasa!
Sorry kukwambia mkuu wa familia anatoka kwenye jamii yoyote, si huko tu. Na huyu mhe JPM ( Mungu amrehemu) aliondoka kwa matatizo ya kibinadamu tu.Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Hawana meno? Are you a really serious chap or you are just making a burst of laughter to extend your life span?Kanda ya ziwa hamna meno. Mpo kama hampo
Fita ni fita mraaKumekuchaaaaa!!
Itakua imetulia inasubiri uchaguzi uanze ndio ifufukeHivi umoja party bado ipo maana siisikii kabisa sasa!
Wewe nguruwe pori Ben Sanane ni nani kila leo unamzungumzia? Watanzania wangapi wanauliwa na kuuana kila leo iwe wao kwa wao au majambazi? Uchagadema ndo tatizo lako huwezi kuyaona wengine unaropoka daily kuhusu Ben!
Duh ! Hatar snLabda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Ukanda ulijizasha wenyewe kwa sababu ya wanasiasa kudai Wasukuma, Wanyakyusa, Wachagga na Wahaya wasipewe nafasi ya urais hata uwaziri mkuu kitu ambacho kilitengeneza hasira isiyo na mfano na haitaisha mpaka wale wanaojidai wana hati miliki ya kuongoza nchi ya Tanzania kwamba ni wao tu na familia zao au marafiki zao hilo halipo. This politicizing propaganda should immediately stop; msiwabague jamii zingine, mbona wahadzabe wako kimya hamuwashambulii kisa kuna mtu alijitolea kuwasaidia watu waliokandamizwa na kunyimwa haki zao kwa miaka kadhaaUkanda.. Ukanda...... Ukanda...., Awamu ya tano imezalisha ukabila na ukanda kuliko awamu zote zilizotawala Tanzania. Na ingetokea hii awamu ikamaliza muda wa miaka kumi, basi hali ingekuwa mbaya kuliko! Kuna mazuri yaliyofanyika lakn ukanda, ukabila na selfishness vilizidi
Utalinganisha na wanaume wa Dar wakata mauno.?Kanda ya ziwa hamna meno. Mpo kama hampo