Kangi Lugola akubali kung’olewa Uwaziri asema Rais ndiye aliyemteua na sasa ameona ampumzishe

Kangi Lugola akubali kung’olewa Uwaziri asema Rais ndiye aliyemteua na sasa ameona ampumzishe

Huu unafiki haupimiki aisee eti ni jambo la faraja kutolewa uwaziri halafu tena anapiga jaramba kurudi tena🙂🙂
 
MWIZI KAMUIBIA LIJIZI WOTE MIJIZI = MaCCM
Huyu ni mwizi tangu akiwa polisi. Lakini alipopata ubunge akajifanya mtakatifu lakini baada ya muda wakakamatwa Bahi wakiomba rushwa, kesi ikapigwa figisu. Baadaye kutokana na kupayuka akapewa uwaziri akaanza kufyatuka na kufukuza watumishi kwa kisingizio cha utumbuaji kumbe ni style ya kujifanya mkali huku unaiba kimya kimya. Ikazuka kashfa maarufu ya kuchangiwa hela na wafanyabiashara Arusha ili amwondoe RTO na DTO, Mteuzi akaisikia lakini akaziba masikio. Hili la Leo ni kuthibitisha tu LUGOLA si mwaminifu, hajawahi kuwa mwaminifu na haitatokea awe mwaminifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni mwizi tangu akiwa polisi. Lakini alipopata ubunge akajifanya mtakatifu lakini baada ya muda wakakamatwa Bahi wakiomba rushwa, kesi ikapigwa figisu. Baadaye kutokana na kupayuka akapewa uwaziri akaanza kufyatuka na kufukuza watumishi kwa kisingizio cha utumbuaji kumbe ni style ya kujifanya mkali huku unaiba kimya kimya. Ikazuka kashfa maarufu ya kuchangiwa hela na wafanyabiashara Arusha ili amwondoe RTO na DTO, Mteuzi akaisikia lakini akaziba masikio. Hili la Leo ni kuthibitisha tu LUGOLA si mwaminifu, hajawahi kuwa mwaminifu na haitatokea awe mwaminifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alisha kuwa pale magomeni
Cv yke watu wanaijua

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoka maktaba:

31 Mar 2016
WABUNGE Wafikishwa Mahakamani Kwa tuhuma za Rushwa
Wabunge Kangi Lugola mbunge wa jimbo la Mwibara Musoma , Sadiq Murad na Victor Mwambalaswa wafikishwa mahakamani na Takukuru kwa tuhuma za kuomba rushwa ya milioni 30 kutoka kwa mkurugenzi wa Halmashauri

 
Hivi kuna tofauti gani kati ya mtenguliwa na mtenguaji? Binafsi naona wote ni Zero!
 
Nauliza tu hivi nani anafaa kurithi mikoba ya Lugola?

Wengine wanasema
1.Ni zamu ya mwanamke
2.Wengine wanasema Kigwangalla japo credibility yake imeshuka Sana
3.Wengine wanasema atateuliwa apewe
4.Wengine Diodorus Kamala
5.Wengine eti Bashe au Waitara anafaa
Mi nasubiri tu.

Tuangalie pia
Mawaziri wa mambo ya ndani tangu tupate Uhuru!:
1- Sir George Kahama-1961-1962
2-Oscar Kambona- 1962-63
3-Lawi Sijaona-1963-65
4-Jobu Lusinde-1965-67
5-Said Mawanya-1967-73
6-Omary Muhaji- 1973-74
7-Ally H.Mwinyi-1975-76
8-Hassan N.Moyo-1977-78
9-Salmin Omary-1979-80
10-Abdala Natepe- 1980-83
11-Muhidini Kimario-1983-88
12-Nalaira Kihura-1988-90
13-Agustino L.Mrema- 1990-94
14- Ernest Nyanda- 1994-94
15-Ally Mohamed-1994-99
16-Mohamed Khatibu- 2000-02
17-Omary R. Mapuri-2003-05
18-Jonh Chiligati-2006-08
19-Lawarenc Masha- 2008-10
20- Shams V.Nahodha- 2010-12
21-Emanuel Nchimbi- 2012-13
22- Mathias Chikawe- 2014-15
23- Charles Kitwangwa- 2015-16
24- Mwigulu Chemba- 2016- 18
25- Kangi Lugola- 2018-2020.
Next??
 
"Huyu jamaa wa NEEDER nikutanenae LEYND kesho,"bira"kukosa"alisikika Kenge akijimwambai baada ya kumeza mayai.
 
Kutoka Maktaba

Kangi Lugola aomba kuvaa kininja kuwaumbua Prof. Muhongo na Charles Kitwanga

28 Nov 2014
MBUNGE wa Mwibara (CCM), Alphaxard Kangi Lugola wakati akichangia katika Ripoti ya PAC kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow bungeni leo, ameomba kuchangia huku akiwa amevaa 'Kininja' ili kutowaangalia usoni wahusika wa sakata hilo. Mbali na kuvaa hivyo, Lugola pia aliomba kama kanuni zinaruhusu achangie tena akiwa amevaa nguo za chama chake cha CCM ili kuonyesha kuwa CCM haiungi mkono vitendo viovu japo alikataliwa na Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Zungu.

 
Back
Top Bottom