Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Yupo sahihi kabisa! hukumbuki Mh.Simbachawene alirudi? hata yeye huenda akarejea.Hahaha eti ana mawazo ya kuingia tena. Kuweweseka kubaya sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo sahihi kabisa! hukumbuki Mh.Simbachawene alirudi? hata yeye huenda akarejea.Hahaha eti ana mawazo ya kuingia tena. Kuweweseka kubaya sana...
Ametolewa kwa kukosa maadili lakini bado anawaza kuingia tena, sijui utaratibu ukoje labda tu ni kuchanganyikiwa kwa namna alivyotolewa kwa uwaziri
Simbachawene alikuwa na kashfa au alishindwa tu kasi ya mzee lakini baadaye akaonekana anaafadhali kuliko wengine?
Hahaha eti ana mawazo ya kuingia tena. Kuweweseka kubaya sana...
Keishajiuzulu!
Chadema Digital mnahangaika sana.MWIZI KAMUIBIA LIJIZI WOTE MIJIZI = MaCCM
Simbachawene alikuwa na kashfa au alishindwa tu kasi ya mzee lakini baadaye akaonekana anaafadhali kuliko wengine?
Haise, Maswala ya uongozi yamekuwa yaajabu sana nchi hii kwa sasa! Ndo maana hata Lugola leo hii katumbuliwa na bado anajichukulia kama mchezaji wa akibaAlikuwa na kashifa ya kusaini mkataba wa madini wakati kamishina wa madini na katibu mkuu wa wizara walishasema mkataba hauna tija. Aliapishwa tarehe 27 na tarehe 30 akasaini document. Ishu ilivofumuka akaandika barua haraka kujiuzulu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hapa,ila mwanamke hapo sijaona atakaeweza stress za Home affairs. Hapo inatakiwa mtu kama.....Hata sioni kwa kweli.