Kangi Lugola akubali kung’olewa Uwaziri asema Rais ndiye aliyemteua na sasa ameona ampumzishe

Kangi Lugola akubali kung’olewa Uwaziri asema Rais ndiye aliyemteua na sasa ameona ampumzishe

Hakustahili kabisa kuwa Waziri,ilikuwa upendeleo tu. Bungeni kwenyewe alipwaya.
 
Wajuzi wa itifaki za uongozi naomba maoni yenu kama mh Kangi amejiuzulu au ametumbuliwa.

Mpaka sasa bado tuna kitendawili cha mh Lowassa kama ni Waziri mkuu mstaafu au Waziri mkuu aliyejiuzulu hivyo naomba hili la Kangi tueleweshane mapema maana katika utumishi wa Umma kuna tofauti kubwa kati ya kujiuzulu na kutumbuliwa.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Pascal Mayalla, Tindo
 
Tunachojua hayupo kazini tena suala la kutumbuliwa na kujiuzuru ni siri yao wenyewe.
 
Hahaha eti ana mawazo ya kuingia tena. Kuweweseka kubaya sana...
Wewe ndiye unaweweseka. Mtazame Simbachawene... alipiga jalamba benchi,kiwango kilipopanda amerudi tena barazani.

Hizi ni sinema tu kama zilivyonyingine. Msome vizuri Kangi,mtu anayetumbuliwa kwa dhati hawezi kuwa so positive hivyo hasa na future.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajuzi wa itifaki za uongozi naomba maoni yenu kama mh Kangi amejiuzulu au ametumbuliwa.

Mpaka sasa bado tuna kitendawili cha mh Lowassa kama ni Waziri mkuu mstaafu au Waziri mkuu aliyejiuzulu hivyo naomba hili la Kangi tueleweshane mapema maana katika utumishi wa Umma kuna tofauti kubwa kati ya kujiuzulu na kutumbuliwa.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Pascal Mayalla, Tindo
Lowassa sio waziri mkuu mstaafu kwani hakukamilisha kipindi chake cha uwaziri mkuu Kustaafu ni kukamilisha kipindi chako cha utumishi tena bila kosa utaitwa mstaafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajuzi wa itifaki za uongozi naomba maoni yenu kama mh Kangi amejiuzulu au ametumbuliwa.

Mpaka sasa bado tuna kitendawili cha mh Lowassa kama ni Waziri mkuu mstaafu au Waziri mkuu aliyejiuzulu hivyo naomba hili la Kangi tueleweshane mapema maana katika utumishi wa Umma kuna tofauti kubwa kati ya kujiuzulu na kutumbuliwa.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Pascal Mayalla, Tindo
Kesha rudisha gari na nyumba na walinzi wetu mengine mtajua wenyewe
 
Yaani hii nchi kuna,
Wajuzi wa itifaki za uongozi naomba maoni yenu kama mh Kangi amejiuzulu au ametumbuliwa.

Mpaka sasa bado tuna kitendawili cha mh Lowassa kama ni Waziri mkuu mstaafu au Waziri mkuu aliyejiuzulu hivyo naomba hili la Kangi tueleweshane mapema maana katika utumishi wa Umma kuna tofauti kubwa kati ya kujiuzulu na kutumbuliwa.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Pascal Mayalla, Tindo
Bongo Waziri aachie ngazi kwa hiari!! Thubutu, humuoni Kigwa anavyobabaika mitandaoni kupuyanga as if bila uwaziri anapomteza mama yake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najaribu kulitafakari hili jambo la kina Lugola naona sarakasi tu. Mungu anisamehe kuna kitu kimebanwa ndani ya "sayansi ya siasa" kuondoa midomo kama ile ya 1.5T. Nahisi lugola katumika kama bangusilo mambo yaende.

Hivi vibali vya kutoka nje kwa waheshimiwa nani anavitoa? Na ukitoka si lazima ueleze sababu ya kutoka nje?
 
Masauni anapandishwa hapo

Sent using Jamii Forums mobile app

BREAKING NEWS: NAIBU WAZIRI MAMBO YA NDANI HAMAD MASAUNI AJIUZULU
Posted by Khadija Mussa | Jan 23, 2020
Breaking News: Naibu waziri Mambo ya Ndani Hamad Masauni ajiuzulu

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni tayari ameshajiuzulu na hata kwenye uzinduzi wa nyumba mpya za askari magereza zilizopo Ukonga jijini Dar es Salaam hakufika.
Rais Magufuli katika kuonesha kusikitishwa na miradi ya hovyo ndani ya Wizara hiyo ukiwemo huo wa zaidi ya Sh.trilioni moja ambao umeingiwa na baadhi ya maofisa wa Wizara hiyo, Kamishna Jenereli wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye naye ametakiwa kuachia ngazi nafasi yake hiyo huku pia maofisa kadhaa wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu nao wametakiwa kujitathimini.

More info:

Kutoka maktaba:
December 19, 2019

Masauni awachachafya vigogo wa Polisi Pemba


Masauni - " Polisi mnaogopa nini kumdhibiti Maalim Seif ! Mnanipa mashaka kama mtaweza kusimamia uchaguzi" mwisho wa kunukuu.

 
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amekubali uamuzi wa Rais Magufuli kumuondoa katika nafasi hiyo akisema kuwa Rais ndiye aliyemteua na sasa ameona ampumzishe

Amesema, “Kwangu mimi hili ni jambo la faraja. Ninyi Waandishi wa Habari na Watanzania mmemsikia Rais hatua alizozichukua. Ni hatua nzuri zinalenga kujenga vizuri safu ya Serikali ya Awamu ya Tano.”

Aidha, ameongeza “Mawaziri waliopo, wanaoendelea waendelee kuchapa kazi. Likiundwa Baraza la Mawaziri na wachache kutoka CCM sisi wengine tuliopo benchi tunaendelea kuchapa jaramba unaweza kuingia muda wowote.”

Jamaa anatakiwa kushikwa kwa Uhujumu uchumi... Yeye anatamba amepumzishwa....!!
 
Huyu kenge lugola alianza uwaziri kwa mikwara sana kumbe mchovu,ona anavyo jifariji kipumbavu,sasa umefarijika nini kutumbuliwa,
 
Back
Top Bottom