Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

[emoji23] hapo kwenye kutokomeza corona ndo ishaanza kusemwa hivyo.
 
Baada ya kusikia Andengenye kasamehewa yeye kaamua kuja na gia ya kumuita Magufuli Yesu.
Na usishangae akawin maana pengine aliko anapeana tano na mama J huku akimwambia "si unaona, sasa sio ya malaika mkuu tena sasa ni Yesu. Mimi ndio bosi wa Papa, makadnali na maaskofu wote"
 
😀😆😀
 
Natamani hili bunge livunjwa leo usiku,ni bunge la ajabu haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania.
 
[emoji848][emoji16][emoji1][emoji38][emoji4][emoji848]
 
Yesu hana aliye mmiliki Na wakristo sio wamiliki wa YESU.

ILA KANG LUGOLA ccm ni ile ile.
 

[emoji848]
 
Flava huwa zinatofautiana! Mwingine mlevi, mwingine mzizi, mwingine mgomvi, mwingine mwongo, mwinhine Katili kumshinda hata shetani. Zote ni dhambi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…