Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Mbona hakuo gelea dini yoyote? Yesu siyo wa dini tu, ni wa wanadamu wote hata Lugola mwenyewe. Hivyo hivyo alivyo Rais Magufuli - siyo Rais wa WANACCM tu ni Rais wa waTanzania wote pamoja na wewe na wanaCHADEMA! Msikasilike.
huna akili
 
Ukiona mtu mzima anaongea maneno kama hayo tena yupo kwenye jumba la kutunga sheria basi jua kuwa huyo mtu ni mficha makosa na ni fisadi mkubwa.
1. Bunge lenyewe wanaliita tukufu hivyo na wabunge nao niwatukufu. Note, Rais naye ni mbunge.
2. Alichokosea Lugola ni matumizi ya maneno ya kiswahili ya kiibada katika hadhira ya kisiasa.
3. Yesu ni mwingi wa rehema na hahitaji kutetewa na wafuasi wake bali anajua namna atakavyolishughulikia jambo hilo.
4. J.K. Yerere alishasemwa ni mwenye heri na pengine alishatangazwa mtakatifu, huenda na huyu aliyeko madarakani sasa yuko kwenye mchakato wa kutunukiwa daraja hilo la kiimani.
 
Maneno ya Kangi Lugora baada ya kumfananisha Rais Magufuli na Yesu ambapo anasema:

Rais Magufuli ni kama Yesu na hata aliponitengua uwaziri nilimshukuru kwa kumwambia "Ulinipa uwaziri, sasa umeutwaa na jina lako lihimidiwe"

Sisi kama nchi kwa sasa jina la Magufuli linatufanya tunamkufuru Mungu. Hili halikubaliki hata kidogo.
Yesu wao anakuja kesho

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ni ndoto huyo kupata hiyo sifa na haitatokea kamwe, wacha kumlinganisha Nyerere na watu wengine
1. Bunge lenyewe wanaliita tukufu hivyo na wabunge nao niwatukufu. Note, Rais naye ni mbunge.
2. Alichokosea Lugola ni matumizi ya maneno ya kiswahili ya kiibada katika hadhira ya kisiasa.
3. Yesu ni mwingi wa rehema na hahitaji kutetewa na wafuasi wake bali anajua namna atakavyolishughulikia jambo hilo.
4. J.K. Yerere alishasemwa ni mwenye heri na pengine alishatangazwa mtakatifu, huenda na huyu aliyeko madarakani sasa yuko kwenye mchakato wa kutunukiwa daraja hilo la kiimani.
 


Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!


ISAYA 42:8 MIMI NI Bwana ndiyo jina langu, na utukufu wangu sitampa mtu mwengine [MAGUFULI] wala sitawapa sanamu sifa zangu!

Ninamtaka Mungu aonyeshe wivu huo aliousema dhidi ya wanaomchukulia sifa zake, please please
 
,[emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji849][emoji849][emoji849]
Screenshot_20200614_135645_com.twitter.android.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Bunge lenyewe wanaliita tukufu hivyo na wabunge nao niwatukufu. Note, Rais naye ni mbunge.
2. Alichokosea Lugola ni matumizi ya maneno ya kiswahili ya kiibada katika hadhira ya kisiasa.
3. Yesu ni mwingi wa rehema na hahitaji kutetewa na wafuasi wake bali anajua namna atakavyolishughulikia jambo hilo.
4. J.K. Yerere alishasemwa ni mwenye heri na pengine alishatangazwa mtakatifu, huenda na huyu aliyeko madarakani sasa yuko kwenye mchakato wa kutunukiwa daraja hilo la kiimani.
Of all the comments.[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] Yes siyo fala bana.
 
Amekosea angemwita mungu kabisa,ushauri kwa ccm waanze kumwita mungu au mtukufu mbona Kenya walikuwa wanamwita mtukufu rais Daniel Arap Moi na wenyewe waanze hawajachelewa chama Cha kijani.
 
Wanabodi,
Saalam!
Kwakuwa kangi lugola alitamka, mbele ya camera na kusikiwa na watanzania waliowengi.

Ilitakiwa aliyefananishwa na Yesu kristo, leo ktk kulivunja bunge akane au kumkemea lugola hadharani.
Tofaauti na mategemeo ya wengi imekuwa kimya.

Hivyo kitendo hicho kinatuonesha lugola amekubali na muhusika kama siyo kutumwa.

My take,
Viongozi wa dini watu hao watengwe kanisani kanisani, msipofanya hivyo mtakuwa mmeshiriki dhambi ya kumweka mwanaadam kwenye nafasi ya mungu.
 
Back
Top Bottom