Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Nmekusikia dada angu[emoji26]
 
Dah nimecheka Sana maana ukitaka kujua tabia ya mpenzi wako muudhi
 
Dah li thread lireeeeefu ila content pumba nyingi.In short ujinga ni mwingi sana kwenye huu uhusiano wenu
 
Dah Mimi siwezani na mdomo wa choo kabisa, sipendi mwanamke asiestaarabika hata akiwa na hasira inatakiwa ajielewe
Uyu ndo alivyo,
Nikiwaambia mamaJ sio wife material huwa mnaniona nakosea Sana.

Umeyaona mwnyw mkuu[emoji4]
 
nimegundua mama j alikuwa anakuuzia kidimbwi

kule kuhangaika kote na kumuita sexy machine kumbe alikuwa yupo kazini
😂😂 leo ukweli umejulikanaa

rudisha mahaba kwa mkeo atakupa gem poa kuliko huko ulikokuwa unanunua
 
Duuh!!Kwhyo mkuu wewe daily ni show show tena kwa wanawake zaidi ya mmoja?
Sio kila siku, ila haiwez pita siku mbili sijapiga show. Labda iwepo dharura.

Ninao watatu TU,
Wife, mamaJ na rose
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…