Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha hufurukuti hata… nachekaaaaHata kama ni kweli unanimudu unakausha tu... Hahahaha
Nmekusikia dada angu[emoji26]Kaka Angu,nakusihi kwa Jina la Bwana Wetu Yesu Kristo! Naomba utulie na Familia YAKO.
Unapoona Haukamatwi kwa Yale unayoyafanya,ujue Mungu anakupa muda wa Kuacha na kujirekebisha. Naomba ubadilike,usiichezee Neema aliyokupa Mungu.
Yale unayoyafanya c sahihi kabisa!! Unawachanganya mtu na dada ake,halafu haujisikii Hatia??
Wakati Mwingine unaona Sifa unavyosimulia na wengine wanakusapoti,lakini jua unacreate Laana na mikosi juu Ya Uzao wako pasipo kujua! Athari zinaweza zisikutokee wewe,lakini zikatokea Ndani ya Kizazi chako kilichopo au kijacho. Nakusihi Ubadilike Mkuu,Roho Mtakatifu aachilie nguvu ya Mabadiliko Ndani yako
Dah!! Hatari sana...Hahahahaha hufurukuti hata… nachekaaaa
Ahsante na inapendeza sana sweetheart...Hahhahaha Sawa sweetheart ngoja nikaushe… hahahah
Nimeacha...Acha kuomba picha sasa…
Hakika my loveAhsante na inapendeza sana sweetheart...
Haya zama piemu sasaNimeacha...
Kuku wako usikamate manati kiza kikiingia atarejea bandani Mwenyewe.Karibu Sana baharia,
mtu mzima nmenyimwa unyumba ujue[emoji28]
Dah Mimi siwezani na mdomo wa choo kabisa, sipendi mwanamke asiestaarabika hata akiwa na hasira inatakiwa ajieleweKabisa,
uyu ndo alivyo, matusi mdomoni Ni dkk sifuri[emoji4]