Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa mbele.
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?