KERO Kanisa hili linanikera; nifanyeje?

KERO Kanisa hili linanikera; nifanyeje?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu, usiku mchana linapiga kwaya

Wanatumia mabomba katika ibada zao. hawajui watu wamelala au wako macho wao ibada kwenda mbele

Wakati mwengine hufika saa 8 usiku wakiwa katika ibada kwa kutumia mabomba.
Nifanyeje?

hawa ni walokole
Mabomba ndo nini?
Lakini bado kwa mujibu wa sheria waweza kuwashitaki.
 
Na walivyokua hawana akili hawafanyi kazi ila utaskia kuna nyimbo yao moja wanaimba " Haloo mbinguni nataka gari, Halloo mbinguni nataka Ist"
Yani gari ya maana kwao ni Ist
 
Nani anapima hicho kiasi na hekima?
Kiasi kwa mwingine ni masaa matatu na kwa mwingine ni dakika 10 n.k
Kuna maeneo ya ibada na kuna maeneo ya makazi. Unapokuwa kwenye makazi lazima uendane na ustaarabu wa hilo eneo
 
Leo wapo dirishan kwako kesho wataingia Hadi chumbani mkuu ,kuwa nao makini hao
 
Back
Top Bottom