mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Wapo lakini ni wa CCM na siyo wa serikali, kwa serikali huanzia mtaa na kitongojiSijui namna wanavyochaguliwa, ila wapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo lakini ni wa CCM na siyo wa serikali, kwa serikali huanzia mtaa na kitongojiSijui namna wanavyochaguliwa, ila wapo
Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa mbele.
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Ooh! Mie sijui hata, ila naona watu hutambulisbwa na hao wajumbe wa shina kwenye serikali zao za mitaa.. Kuna siku nilikuwa nakipengele kwenda kwa mwenyekiti akanirudisha kwa mjumbeWapo lakini ni wa CCM na siyo wa serikali, kwa serikali huanzia mtaa na kitongoji
Mwenyekiti alikukosea, inawezekana hajui mifumo ya serikali inapoanzia. Si ndo wale Wenyeviti waliopita bila kupingwa 2019?Ooh! Mie sijui hata, ila naona watu hutambulisbwa na hao wajumbe wa shina kwenye serikali zao za mitaa.. Kuna siku nilikuwa nakipengele kwenda kwa mwenyekiti akanirudisha kwa mjumbe
Hakuna adhana inayokesha, jielimishe!Vumilia tu kama unavyovumilia adhana
Inawezekana ukawa hivyoMwenyekiti alikukosea, inawezekana hajui mifumo ya serikali inapoanzia. Si ndo wale Wenyeviti waliopita bila kupingwa 2019?
Mipango miji wamelala usingizi mzito, vilabu vya pombe, nyumba za ibada vipo kwenye makazi, ni kelele na fujo tu...Kwenye makazi ya watu kanisa limefuata nini..!
Wanazingua mno, na serikali inawechekea tu!Walolokole ni kero kwa jamii
Naona Lugha imetofautiana kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Nadhani jamaa alimaanisha wanatumia Vipaza sauti, mic na speaker kubwaUjajibu wanatumiajd hayo mabomba
Nenda wizara ya ardhi waje waangalie matumizi ya hicho kiwanja wanachotumia kama si kwa ajili ya nyumba ya ibada itabidi wachague mawili. Kuhama au waache shughuli zenye usumbufu kwa wengine.Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa mbele.
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Haya yanayoota bila maono ya mbali ndio shida. Kiwanja cha makazi mtu unajenga nyumba ya ibada kwangu mimi ni kukosa maono na hiyo taasisi ni mtu.Nadhan tatizo ni huu mbanano wa mjini..makanisa hayana nafasi kabisa ukitoka nje ya kanisa tu tayar uko mtaani....ukikuta kanisa lina eneo la kutosha (plot I mean) kama baadhi ya makanisa ya Roman Catholic & KKKT kwanza sauti inakua contained ndani kwa kiasi kikubwa na hata inayotoka inaishia njee tu eneo husika sauti inayofika kwa raia jirani at least inakua na unafuu..
Hio inaboa sana lo