Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwani amekuambia yeye anakereka kama Mkristo??Mimi ni mkristo ila ninakataa hiyo hoja yako ya kipumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani amekuambia yeye anakereka kama Mkristo??Mimi ni mkristo ila ninakataa hiyo hoja yako ya kipumbavu
Hao mashetani wadhutaki nemc, kuna sheria ya uchafuzi wa mazingira kwa kelele.Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa mbele.
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Utazoweya tu mpaka utazikariri kwa moyo .Bado hujajua tu kama church ni business.Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa mbele.
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Kaa kimya.Kwani amekuambia yeye anakereka kama Mkristo??
Hiyo sheria inahusu watu wa dini na imani zote?Hao mashetani wadhutaki nemc, kuna sheria ya uchafuzi wa mazingira kwa kelele.
Wala Si kelele,Hao mashetani wadhutaki nemc, kuna sheria ya uchafuzi wa mazingira kwa kelele.
Huyo ni Islam mwenye majini, hayapendi kusikia watu wakiomba na kumsifu, huwakaba hatari.Cha msingi kama na wewe ni mkristo nenda ukasali nao na siku za mkesha nenda ukakeshe ktk maombi utabarikiwa sana, nenda kwa iman sio kwenda kuzuga
hatua zngne ukichukua utapoteza muda na utakuwa unapingana na watu na MUNGU
au fanya jitihada uhame kama nyumba ni yako weka wapangaji wewe kakae kwingne maana kukosa usingizi utazidisha msongo wa mawazo
kwa hiyo likajengwe katikati ya mbuga za wanyama sio?Kwenye makazi ya watu kanisa limefuata nini..!
Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa mbele.
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Andamana mpaka Ikulu ukiwe umebeba Bango lenye nukuu ya vifungu vya Qur'an vinavyopinga Makelele hata ya azana kwa yale masipika au kutoa mawaidha Msikitini na spika lipo on kiasi kwamba hata wasiohusika na Ibada ya Msikitini wanawasikiliza full mikelele ya kutishana kuhusu MotoniMara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Nonsense.Hujuagi kama lile domo la bata la swalaaaaaa pia ni KERO kubwa sana..... ?? Kuwaambia kitanda chako ni kaburi hiyo shuka ni sanda sio uchawi huooo?? Kaa kwa kutulia upigwe pambio kwa jina la YESU wa nazareth
mimi kwangu nina redio ndogo,24hrs ni gosple tu,hata tusipokuwepo home yenyewe iko on muda wote..Ndugu zetu changamoto sana hawa.
Kun mmona aliniweka kwaya kuanzia saa 3 usiku mpaka asubuhi. Yaani kila nikilala nikiamka kwayaa.nikasema leo nimepatikana
Nenda Serikali ya mtaani kwako ukawaripoti. Watawachukulia hatuaKuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa mbele.
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Hizi imani zikikulevya zinatengeneza uraibu, kuna dada mmoja ni fundi nguo, mara nyingi analalamika kupoteza wateja na wateja kumjia juu kwa kuchelewesha kazi zao za nguo, muda mwingi yeye yupo kwenye haya makanisa ya mabati akikaa sana ofisini kwake hayazidi masaa mawili na akishaondoka unaweza kumuona tena baada ya wiki au zaidi. Kuna kipindi nilimpa kazi nilijuta, nguo zilikaa kwake zaidi ya wiki mbili. Ukimuuliza jibu nilikuwa kanisani na mchungaji wangu.Na walivyokua hawana akili hawafanyi kazi ila utaskia kuna nyimbo yao moja wanaimba " Haloo mbinguni nataka gari, Halloo mbinguni nataka Ist"
Yani gari ya maana kwao ni Ist
Asubihi Asubihi kutishana na kupigiana makelele.Vumilia tu kama unavyovumilia adhana
Mnatesa wenzenumimi kwangu nina redio ndogo,24hrs ni gosple tu,hata tusipokuwepo home yenyewe iko on muda wote..
Jirani yangu ni mchungaji na hii ndo tabia yake🤣Upo sahihi mkuu. Kuna wachungaji anawasha sabufa saa 8 usiku kisha yeye anarudi kwake kulala na kuwaachia majirani na kanisa kelele mpaka alfajiri
Niliwahi kupanda gari dereva amefungulia mawaidha tu muda wote, safari ya Dar es Salaam kwenda Morogoro ilikuwa ndefu sana.mimi kwangu nina redio ndogo,24hrs ni gosple tu,hata tusipokuwepo home yenyewe iko on muda wote..