Mbona Kuna misikiti katikati ya makazi ya watu na wameenda mbali zaidi, wanafunga vipaza sauti juu kabisa,Kwenye makazi ya watu kanisa limefuata nini..!
Utasikia, swalaaa,swalaaaa,swalaaa,swalaaa!!
Tuvumiliane kwakweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Kuna misikiti katikati ya makazi ya watu na wameenda mbali zaidi, wanafunga vipaza sauti juu kabisa,Kwenye makazi ya watu kanisa limefuata nini..!
Ndo walivyo ukimshauri anahisi we una pepo na anaweza hata kukuchukia kabisaHizi imani zikikulevya zinatengeneza uraibu, kuna dada mmoja ni fundi nguo, mara nyingi analalamika kupoteza wateja na wateja kumjia juu kwa kuchelewesha kazi zao za nguo, muda mwingi yeye yupo kwenye haya makanisa ya mabati akikaa sana ofisini kwake hayazidi masaa mawili na akishaondoka unaweza kumuona tena baada ya wiki au zaidi. Kuna kipindi nilimpa kazi nilijuta, nguo zilikaa kwake zaidi ya wiki mbili. Ukimuuliza jibu nilikuwa kanisani na mchungaji wangu.
Kuna siku nikamwambia jaribu kubalansi mzani wa imani na kazi, unalalamika wateja wanakukimbia na hupati wateja wapya licha ya kuwa unasali sana(kulingana na malalamiko yake) kwa sababu muda mwingi unautumia zaidi huko kanisani kuliko kazini akanijibu kuwa nna ushetani ndani yangu nataka kumtenganisha na Mungu wake hata mchungaji wake alishamwambia watakuja watu wenye maneno kama mimi kumtenganisha na kanisa kwa kigezo cha kufanya kazi na kutafuta pesa ila asikubali. Nikajisemea moyoni wajinga ndio waliwao.
Inashangaza sana mtu siku nzima anaipotezea kanisani, bora hata iwe ni jpili basi, wiki nzima kila siku kanisani alafu bado atalalamika umasikini. Na huko kanisani wanahitaji hela sio vinginevyo.Ndo walivyo ukimshauri anahisi we una pepo na anaweza hata kukuchukia kabisa
Kama umepanga hapo hama na kama kwako, wauzie hlo eneo, baadhi ya makanisa Tz ni mtaji wa kisiasa ndugu.Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa mbele.
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Na badoKuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa mbele.
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Ndio njia ya kurudi ya kukera wengine?Na bado
Hadi Yesu arudi
Na utakereka sana hadi uokoke.Ndio njia ya kurudi ya kukera wengine?
mungu wa wakristo ni kiziwi,bila mikelele hasikii abadaniKuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu. Usiku na mchana, linapiga kwaya kwa kutumia mabomba katika ibada zao. Wao hawajali kama watu wanalala au wako macho; wanashikilia ibada yao kuwa mbele.
Mara nyingine, ibada yao huendelea hadi saa 8 usiku huku wakitumia mabomba.
Nifanyeje?
Mkuu adhana ni dakika 2 kwa 5. Na ni asbhi saa 11 alfajiri Maombi ya walokole ni usiku wa manane hadi masaa 5 kwa 8, mbona haviendani acha chuki mkuu utazeeka kabla ya wakati wakoVumilia tu kama unavyovumilia adhana
Hamna adhana ya saa 10 acha uongo ilio jaa na chuki.zile kelele za sakumi mbona tunavumilia tuvumiliane tu tufike.mbinguni salama
Hatuna mjumbe wa shina. Mamlaka ya serikali yanaanzia ama serikali za mitaa kwa mijini na kwa vijijini yanaanzia serikali za vitongoji halafu serkali za vijiji ndo mambo mengine yanaendelea huko juuAnzia kwa mjumbe wa shina, nenda serikali ya mtaaa watakupa utaratibu wa kufata kisheria..
Mjumbe wa shina anakutambulisha serikali za mitaaHatuna mjumbe wa shina. Mamlaka ya serikali yanaanzia ama serikali za mitaa kwa mijini na kwa vijijini yanaanzia serikali za vitongoji halafu serkali za vijiji ndo mambo mengine yanaendelea huko juu
Mjumbe wa shina anachaguliwa na nani na uchaguzi wake hufanyika kila baada ya muda gani?Mjumbe wa shina anakutambulisha serikali za mitaa
Sijui namna wanavyochaguliwa, ila wapoMjumbe wa shina anachaguliwa na nani na uchaguzi wake hufanyika kila baada ya muda gani?
Hakuna watu pumbafu kama walokole, jitu zina mnapiga makalele kwa mna mapepo bile....huyo Mungu wenu sijui kiziwiPumbafuuu wewe