Wanatumiaje mabombaKuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu, usiku mchana linapiga kwaya
Wanatumia mabomba katika ibada zao. hawajui watu wamelala au wako macho wao ibada kwenda mbele
Wakati mwengine hufika saa 8 usiku wakiwa katika ibada kwa kutumia mabomba.
Nifanyeje?
hawa ni walokole
Kwenye makazi ya watu kanisa limefuata nini..!Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu, usiku mchana linapiga kwaya
Wanatumia mabomba katika ibada zao. hawajui watu wamelala au wako macho wao ibada kwenda mbele
Wakati mwengine hufika saa 8 usiku wakiwa katika ibada kwa kutumia mabomba.
Nifanyeje?
hawa ni walokole
katika ibada zaoWanatumiaje mabomba
tofauti. hii ni dakika 2 au 3. hili kanisa usiku wa kucha, saa 2:00 mpka saa 8:00 mchana wanaenda kupunmzika. saa 2:00 suki mpaka saa 8:00 siku ibada tena kwa kutumia spika za nje. USIWE MWEHUHujuagi kama lile domo la bata la swalaaaaaa pia ni KERO kubwa sana..... ?? Kuwaambia kitanda chako ni kaburi hiyo shaka ni sanda sio uchawi huooo?? Kaa kwa kutulia upigwe pambio kwa jina la YESU wa nazareth
Adhana hata dk 5 huwa haitumii, ila hao ibada inaweza Kuta masaa na masaa.. kuna mahela hekima na akili vitumike.. unapokuwa na huduma au kanisa kwenye makazi ya watu tumia vitu maalumu kuzuia noise kwa majiraniVumilia tu kama unavyovumilia adhana
Hujuagi kama lile domo la bata la swalaaaaaa pia ni KERO kubwa sana..... ?? Kuwaambia kitanda chako ni kaburi hiyo shuka ni sanda sio uchawi huooo?? Kaa kwa kutulia upigwe pambio kwa jina la YESU wa nazareth
Adhana dakika 2 nyingi, wakati mwengine upo karibu ya msikiti huisikii . lkn hii kutwa nzima na usiku mzimaAdhana hata dk 5 huwa haitumii, ila hao ibada inaweza Kuta masaa na masaa.. kuna mahela hekima na akili vitumike.. unapokuwa na huduma au kanisa kwenye makazi ya watu tumia vitu maalumu kuzuia noise kwa majirani
Hao wote ni wachafuzi wa mazingira. Huwezi kuwapigia kelele watu wamelala kwa kisingizio cha kuwapa mawaidha au injili.Hujuagi kama lile domo la bata la swalaaaaaa pia ni KERO kubwa sana..... ?? Kuwaambia kitanda chako ni kaburi hiyo shuka ni sanda sio uchawi huooo?? Kaa kwa kutulia upigwe pambio kwa jina la YESU wa nazareth
Asubuhi huwa wanaendelea kutoa mawaidha katika vipaza sauti.Adhana hata dk 5 huwa haitumii, ila hao ibada inaweza Kuta masaa na masaa.. kuna mahela hekima na akili vitumike.. unapokuwa na huduma au kanisa kwenye makazi ya watu tumia vitu maalumu kuzuia noise kwa majirani
Magazi yasiokuwa ya watu ni wapiKwenye makazi ya watu kanisa limefuata nini..!
asubuhi? hapo kuchakucha. hii ni usiku kucha tena kwa maspika ya njeAsubuhi huwa wanaendelea kutoa mawaidha katika vipaza sauti.
Upo sahihi mkuu. Kuna wachungaji anawasha sabufa saa 8 usiku kisha yeye anarudi kwake kulala na kuwaachia majirani na kanisa kelele mpaka alfajiriAdhana dakika 2 nyingi, wakati mwengine upo karibu ya msikiti huisikii . lkn hii kutwa nzima na usiku mzima