Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mabomba ndo nini?Kuna kanisa limejengwa chini ya dirisha langu, usiku mchana linapiga kwaya
Wanatumia mabomba katika ibada zao. hawajui watu wamelala au wako macho wao ibada kwenda mbele
Wakati mwengine hufika saa 8 usiku wakiwa katika ibada kwa kutumia mabomba.
Nifanyeje?
hawa ni walokole
Ujajibu wanatumiajd hayo mabombakatika ibada zao
Misikiti iko kwenye making ya watu unaonaje hapo. Hata mimi sipendi makelele lakini tufanyeje! Muislamu kumkataza adhana utasababisha maandamano.Kwenye makazi ya watu kanisa limefuata nini..!
Tofauti na makanisa. Kila kitu lazima kiwe na kiasi na hekima piaAsubuhi huwa wanaendelea kutoa mawaidha katika vipaza sauti.
Saa kumi na moja watu wengine bado wamelala usingizi fofofo, kila mtu ana muda wake tofauti wa kuamka kulingana na shughuli anayofanya.asubuhi? hapo kuchakucha. hii ni usiku kucha tena kwa maspika ya nje
Adhana dakika 2 nyingi, wakati mwengine upo karibu ya msikiti huisikii . lkn hii kutwa nzima na usiku mzima
Nani anapima hicho kiasi na hekima?Tofauti na makanisa. Kila kitu lazima kiwe na kiasi na hekima pia
Basi asikatazwe mtu yeyote, kila mtu afanye anavyojisikia kadri ya imani yake.Misikiti iko kwenye making ya watu unaonaje hapo. Hata mimi sipendi makelele lakini tufanyeje! Muislamu kumkataza adhana utasababisha maandamano.
Pumbafuuu weweWalolokole ni kero kwa jamii
Kuna maeneo ya ibada na kuna maeneo ya makazi. Unapokuwa kwenye makazi lazima uendane na ustaarabu wa hilo eneoNani anapima hicho kiasi na hekima?
Kiasi kwa mwingine ni masaa matatu na kwa mwingine ni dakika 10 n.k
Adhana sio kila muda na haizidi hata dakika 10. Acha kufananisha hao mambo ya hao wahuni wa kilokole na adhanaVumilia tu kama unavyovumilia adhana
Mimi ni mkristo ila ninakataa hiyo hoja yako ya kipumbavuHata sisi saa 11 alfajiri, saa saba mchana, saa 10 jioni na saa mbili usiku tunapata shida sana kutoka msikitini na hii ni kila siku mwaka mzima