KERO Kanisa hili linanikera; nifanyeje?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ndo walivyo ukimshauri anahisi we una pepo na anaweza hata kukuchukia kabisa
 
Ndo walivyo ukimshauri anahisi we una pepo na anaweza hata kukuchukia kabisa
Inashangaza sana mtu siku nzima anaipotezea kanisani, bora hata iwe ni jpili basi, wiki nzima kila siku kanisani alafu bado atalalamika umasikini. Na huko kanisani wanahitaji hela sio vinginevyo.
 
Kama umepanga hapo hama na kama kwako, wauzie hlo eneo, baadhi ya makanisa Tz ni mtaji wa kisiasa ndugu.
 
Na bado
Hadi Yesu arudi
 
mungu wa wakristo ni kiziwi,bila mikelele hasikii abadani
 
Vumilia tu kama unavyovumilia adhana
Mkuu adhana ni dakika 2 kwa 5. Na ni asbhi saa 11 alfajiri Maombi ya walokole ni usiku wa manane hadi masaa 5 kwa 8, mbona haviendani acha chuki mkuu utazeeka kabla ya wakati wako
 
zile kelele za sakumi mbona tunavumilia tuvumiliane tu tufike.mbinguni salama
 
2004 nilipanga nyumba moja sinza mbele kuna bar ndani kelele mpaka asbh nyuma ukumbi wa sherehe balaaa uliza wapangaji mmoja akanza kuweka kwaya mpaka asbh akaja wa dini inginr akanza kuweka mahubiri mpaka asbh nkaona tunapoelekea nawsza uzazi ukawa changamoto nkahamia sehemu nkacha kodi ya miezi miwili.....

Nilipohamiaa gafla kaja jamaa kafungua kanisaa mziki mwanzo mwisho mpaka asbh nkaona hii vita n kuvumliana else utazunguka dar nzima
 
Nunua spika kubwa na wewe fungulia Qurani kila saa,

Tena itaoendeza kukiwa na watu wengi, unaweza quran nonstop volume mpaka mwisho halafu inaondoka

Wanasema dawa ya bishoo ni kuwa bishoo zaidi yake, hii hamna namba


Hata kama wewe ni mkiristo, jaribu utanipa majibu, 1 day (maximum 2)
 
Nimesoma comment zote bado sijapata jibu la namna gani wanatumia mabomba? Mabomba ndio nini?
 
Anzia kwa mjumbe wa shina, nenda serikali ya mtaaa watakupa utaratibu wa kufata kisheria..
Hatuna mjumbe wa shina. Mamlaka ya serikali yanaanzia ama serikali za mitaa kwa mijini na kwa vijijini yanaanzia serikali za vitongoji halafu serkali za vijiji ndo mambo mengine yanaendelea huko juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…