Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Episcopal ni Wakatoliki kabisa.....set up ya makanisa Yao hamna tofauti na RCHigh Church ni kama Katoliki
Umeangalia titi tu ujumbe hautaki hata kuusikiaHuyo dada pembeni titi wazi ana cheo gani?
Hata Anglican high Church wanafanana kila kitu na Katoliki tofauti ndogo iko kwenye Sala ya Baba Yetu na Salamu Maria tuHii Episcopal ni Wakatoliki kabisa.....set up ya makanisa Yao hamna tofauti na RC
Yesu ndie kasema kwenye kisa cha maskini Lazaro na tajiriAcha vitisho vya kitoto, nani alikufa akaja kukueleza aliona nini baada ya kufa, au unasikilizia blahblah za vitisho baada ya kufa
Kwanini kanisa limepoteza asili yake? Je hilo lililoanzia Israel wakisali vipi?Kanisa lilianzia Israel. Waroma wakaona ni kitu cha kufaa sana kuwashika watu, wakaanzisha kanisa lao na kuingiza tamaduni zao. Waingereza nao wakaona kwanini washikwe masikio na Waitaliano, wakaanzisha nao, Anglicana. Wa Ulaya mashariki nao wakaanzisha uroma wao, Uothordox. Imeanda hivyo watu wakifuatilia power na pesa hadi tumefikia kuwa na kanisa la Nabii Dominick, Kiboko ya Wachawi.
Hata darasani baadhi ya wanafunzi wanachelewa kuelewa, cha msingi ni kwenda kanisani kumsikiliza baba yake Meja, ( asikofu kutta)Yani haya mimi sijamuelewa
Christianity left Israel as a family, Went to Rome-Italy as a religion, Went to England as Politics, Ended in Africa as a business.Kanisa lilianzia Israel. Waroma wakaona ni kitu cha kufaa sana kuwashika watu, wakaanzisha kanisa lao na kuingiza tamaduni zao. Waingereza nao wakaona kwanini washikwe masikio na Waitaliano, wakaanzisha nao, Anglicana. Wa Ulaya mashariki nao wakaanzisha uroma wao, Uothordox. Imeanda hivyo watu wakifuatilia power na pesa hadi tumefikia kuwa na kanisa la Nabii Dominick, Kiboko ya Wachawi.
Mzee mbona hausomeki sometimes unakuwaga mkristohakuna apasaye kuabudiwa kwahaki ni Allah na Mohammad ni mtume wake
hakuna apasaye kuabudiwa kwahaki ni Allah na Mohammad ni mtume wak
Itabidi tuangalie wakina Petro, Paulo et al walikuwa wanasali vipi.Kwanini kanisa limepoteza asili yake? Je hilo lililoanzia Israel wakisali vipi?
Dada kaiva 🔥🔥🔥Huyo dada pembeni titi wazi ana cheo gani?
hakuna apasaye kuabudiwa kwahaki ni Allah na Mohammad ni mtume wake
Toa fujo zako basii..hakuna apasaye kuabudiwa kwahaki ni Allah na Mohammad ni mtume wake