Kanisa jipya la Anglikana laanzishwa Tanzania, Kuzinduliwa Septemba 15

Kanisa jipya la Anglikana laanzishwa Tanzania, Kuzinduliwa Septemba 15

Wakatoliki siku hizi bado tu padri anasamehe dhambi? Na bado Yesu ni Mungu hadi leo?nilikuwa navutiwa sana unapoenda kwa padri huku umeweka mikono kifuani unaanza "Namuungamia Mungu wangu nawe padri wangu tangu majuma sita sijaungama na dhambi zangu ni hizi niliba nazi,nilitukana,nilitapeli simu nk mwishoni padri anaongea kwa mamlaka Mwenyezi Mungu amekusamehe dhambi zako zote nenda kasali baba yetu mara 4 na salamu maria 6
Kumbe unaelewa ila umeamua kujitoa ufahamu.
 
Wakatoliki siku hizi bado tu padri anasamehe dhambi? Na bado Yesu ni Mungu hadi leo?nilikuwa navutiwa sana unapoenda kwa padri huku umeweka mikono kifuani unaanza "Namuungamia Mungu wangu nawe padri wangu tangu majuma sita sijaungama na dhambi zangu ni hizi niliba nazi,nilitukana,nilitapeli simu nk mwishoni padri anaongea kwa mamlaka Mwenyezi Mungu amekusamehe dhambi zako zote nenda kasali baba yetu mara 4 na salamu maria 6
Bado tupo hivyo hivyo na hatujagawanyika
 
Wakatoliki siku hizi bado tu padri anasamehe dhambi? Na bado Yesu ni Mungu hadi leo?nilikuwa navutiwa sana unapoenda kwa padri huku umeweka mikono kifuani unaanza "Namuungamia Mungu wangu nawe padri wangu tangu majuma sita sijaungama na dhambi zangu ni hizi niliba nazi,nilitukana,nilitapeli simu nk mwishoni padri anaongea kwa mamlaka Mwenyezi Mungu amekusamehe dhambi zako zote nenda kasali baba yetu mara 4 na salamu maria 6

..mimi sio Mkatoliki, lakini nadhani kuungama dhambi kwa dhati ni jambo kubwa sana kiimani.

..watu wanakwenda kinyume na mafundisho ya dini tena, na tena, na tena, wakisubiri kuwajibishwa watakapokwenda mbele za MUNGU.
 
Kanisa jipya la Anglikana lijulikanalo kama Episcopal Anglican Province Tanzania linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 15 jijini Wilaya ya Kongwa jijini Dodoma.

Kuzinduliwa kwa kanisa hilo kunatajwa kuwapa chaguo waumini wote wa Anglikana kuamua waabudu kanisa lipi kati ya hili jipya na lililopo nchini.

Kuanzishwa kwa kanisa hili kunatajwa kurejesha na kusimamia misingi ya Kanisa la Anglikana kama ilivyokuwa miaka 60 kabla kwa mujibu wao.

Akizungumza na wanahabari, Askofu wa kanisa hilo, Elibariki Kutta amesema kuanzishwa kwa jimbo hilo jipya hakumaanishi kuwa kanisa la Anglikana limemeguka, bali inatanua wigo kwa waumini kuamua wasimame na imani ipi.

“Anglikana haijameguka. Ni moja, ila uhuru wa wewe unataka kuwa na mtazamo gani au njia ipi katika maono yako,” amesema Kutta.

Amesema kuanzishwa kwa kanisa hilo haimaanishi kuwa wameondoka Anglikana lakini wanajaribu kusimama katika misingi ya kanisa mama la Kianglikana.

Kongwa haipo kwenye jiji la dodoma ni halmashàuri inayojitegemea
 
Hakuna jipya, wewe kariri kuwa "ukristu ni biashara". Wewe jiulize kuwa lile kanisa alilosema Yesu ni lipi? Mimi silioni, ni mauzauza tu.
 
Kanisa jipya la Anglikana lijulikanalo kama Episcopal Anglican Province Tanzania linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 15 jijini Wilaya ya Kongwa jijini Dodoma.

Kuzinduliwa kwa kanisa hilo kunatajwa kuwapa chaguo waumini wote wa Anglikana kuamua waabudu kanisa lipi kati ya hili jipya na lililopo nchini.

Kuanzishwa kwa kanisa hili kunatajwa kurejesha na kusimamia misingi ya Kanisa la Anglikana kama ilivyokuwa miaka 60 kabla kwa mujibu wao.

Akizungumza na wanahabari, Askofu wa kanisa hilo, Elibariki Kutta amesema kuanzishwa kwa jimbo hilo jipya hakumaanishi kuwa kanisa la Anglikana limemeguka, bali inatanua wigo kwa waumini kuamua wasimame na imani ipi.

“Anglikana haijameguka. Ni moja, ila uhuru wa wewe unataka kuwa na mtazamo gani au njia ipi katika maono yako,” amesema Kutta.

Amesema kuanzishwa kwa kanisa hilo haimaanishi kuwa wameondoka Anglikana lakini wanajaribu kusimama katika misingi ya kanisa mama la Kianglikana.

Kichwa cha habari na habari yenyewe ni mbingu na ardhi, kwanini usingetafuta kichwa kinachoendana na hayo maelezo uloandika hapo? Au kila kitu ni kiki?
 
Back
Top Bottom