Kanisa jipya la Anglikana laanzishwa Tanzania, Kuzinduliwa Septemba 15

Kanisa lilianzia Israel. Waroma wakaona ni kitu cha kufaa sana kuwashika watu, wakaanzisha kanisa lao na kuingiza tamaduni zao. Waingereza nao wakaona kwanini washikwe masikio na Waitaliano, wakaanzisha nao, Anglicana. Wa Ulaya mashariki nao wakaanzisha uroma wao, Uothordox. Imeanda hivyo watu wakifuatilia power na pesa hadi tumefikia kuwa na kanisa la Nabii Dominick, Kiboko ya Wachawi.
 
Kwanini kanisa limepoteza asili yake? Je hilo lililoanzia Israel wakisali vipi?
 
Siku hizi kuwa askofu rahisi sana. Vaa mavazi ya Kiaskofu, nenda kwenye vyombo vya habari na kujitangaza kwamba wewe ni Askofu wa Kanisa lako na usisahau kumpa cheo mwenza wako kuhakikisha sadaka haipotei.
 
Christianity left Israel as a family, Went to Rome-Italy as a religion, Went to England as Politics, Ended in Africa as a business.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…