Kanisa jipya la Anglikana laanzishwa Tanzania, Kuzinduliwa Septemba 15

Kichwa cha habari na habari yenyewe ni mbingu na ardhi, kwanini usingetafuta kichwa kinachoendana na hayo maelezo uloandika hapo? Au kila kitu ni kiki?
Hiyo habari nimeichukua kama ilivyo kwenye gazeti la mwananchi.. error ndogo iliyotokea ni tarehw ya uzinduzi ambapo heading inasema sept 5 badala ya 15.
Nimereport kwa Moderator sioni masahihisho yoyote
 
Huyo dada ana cheo hani
 
mama Askofu nyonyo ziko nje mbona
 
Makanisa kama uyoga.Hakuna dini ni Tamaa ya pesa tu.
 
Mwamposa katika Anglicana hapa watakusanya sadaka kwa faida yao wenyewe
 
Mbona nikimtizama kwa jicho la kiroho sioni upako wowote kwake zaidi ya kuanzisha Hilo kanisa kwa ajili ya upigaji wa sadaka?

Naona kama kikundi Cha wahuni walioasi
 
Tuko pale pale toka miaka 2000+ na tutakuwepo mpaka kiama.
Tukuulize wewe mfuasi wa kiboko ya wachawi, bado mko buza?
 
Kuna siku nikiwa mdogo nilienda kuungama kwa Padre nikamwambia kwa kauli ya kudogosha "niliiba kaembe kadogo, nilichukua chenji ndogo ya 200". Padre akanikaripia kama kaembe kalikuwa kadogo uliiba kwanini, si usingeiba.
😂 dah
 
Mbona nikimtizama kwa jicho la kiroho sioni upako wowote kwake zaidi ya kuanzisha Hilo kanisa kwa ajili ya upigaji wa sadaka?

Naona kama kikundi Cha wahuni walioasi
Yuko na mchuchu pembeni kifua wazi kiaina.

Hapo ndipo alipofeli askofu wangu. Ni ishara tosha kuwa anayaelewa zaidi ya chini ya gauni.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yuko na mchuchu pembeni kifua wazi kiaina.

Hapo ndipo alipofeli askofu wangu. Ni ishara tosha kuwa anayaelewa zaidi ya chini ya gauni.
😄😄 Yaani hapo ni sawa na NABII TITO Bora huyo mwanamke asingemweka
 
Huyo demu chuchu kaziacha nje anajiuza??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…