Hiyo habari nimeichukua kama ilivyo kwenye gazeti la mwananchi.. error ndogo iliyotokea ni tarehw ya uzinduzi ambapo heading inasema sept 5 badala ya 15.Kichwa cha habari na habari yenyewe ni mbingu na ardhi, kwanini usingetafuta kichwa kinachoendana na hayo maelezo uloandika hapo? Au kila kitu ni kiki?
Huyo dada ana cheo haniKanisa jipya la Anglikana lijulikanalo kama Episcopal Anglican Province Tanzania linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 15 jijini Wilaya ya Kongwa jijini Dodoma.
Kuzinduliwa kwa kanisa hilo kunatajwa kuwapa chaguo waumini wote wa Anglikana kuamua waabudu kanisa lipi kati ya hili jipya na lililopo nchini.
Kuanzishwa kwa kanisa hili kunatajwa kurejesha na kusimamia misingi ya Kanisa la Anglikana kama ilivyokuwa miaka 60 kabla kwa mujibu wao.
Akizungumza na wanahabari, Askofu wa kanisa hilo, Elibariki Kutta amesema kuanzishwa kwa jimbo hilo jipya hakumaanishi kuwa kanisa la Anglikana limemeguka, bali inatanua wigo kwa waumini kuamua wasimame na imani ipi.
“Anglikana haijameguka. Ni moja, ila uhuru wa wewe unataka kuwa na mtazamo gani au njia ipi katika maono yako,” amesema Kutta.
Amesema kuanzishwa kwa kanisa hilo haimaanishi kuwa wameondoka Anglikana lakini wanajaribu kusimama katika misingi ya kanisa mama la Kianglikana.
Nitajie umri wa mariamu wakati anamzaa YesuAmbae Aisha binti wa miaka 9 alikuwa mke wake
Huo kwangu ni ujumbe piaUmeangalia titi tu ujumbe hautaki hata kuusikia
mama Askofu nyonyo ziko nje mbonaKanisa jipya la Anglikana lijulikanalo kama Episcopal Anglican Province Tanzania linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 15 jijini Wilaya ya Kongwa jijini Dodoma.
Kuzinduliwa kwa kanisa hilo kunatajwa kuwapa chaguo waumini wote wa Anglikana kuamua waabudu kanisa lipi kati ya hili jipya na lililopo nchini.
Kuanzishwa kwa kanisa hili kunatajwa kurejesha na kusimamia misingi ya Kanisa la Anglikana kama ilivyokuwa miaka 60 kabla kwa mujibu wao.
Akizungumza na wanahabari, Askofu wa kanisa hilo, Elibariki Kutta amesema kuanzishwa kwa jimbo hilo jipya hakumaanishi kuwa kanisa la Anglikana limemeguka, bali inatanua wigo kwa waumini kuamua wasimame na imani ipi.
“Anglikana haijameguka. Ni moja, ila uhuru wa wewe unataka kuwa na mtazamo gani au njia ipi katika maono yako,” amesema Kutta.
Amesema kuanzishwa kwa kanisa hilo haimaanishi kuwa wameondoka Anglikana lakini wanajaribu kusimama katika misingi ya kanisa mama la Kianglikana.
Aliyekufa anajuaje?Siku ukifa utajua
Hili nalo,mkalitizamemama Askofu nyonyo ziko nje mbona
Ndiyo, ni pamoja na kuruhusu ndoa za jinsia moja, tena ziongoze kanisa.Ina maana Anglican ya zamani imeiacha hiyo misingi.
,😂😂😂😂😂Hili nalo,mkalitizame
Makanisa kama uyoga.Hakuna dini ni Tamaa ya pesa tu.Kanisa jipya la Anglikana lijulikanalo kama Episcopal Anglican Province Tanzania linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 15 jijini Wilaya ya Kongwa jijini Dodoma.
Kuzinduliwa kwa kanisa hilo kunatajwa kuwapa chaguo waumini wote wa Anglikana kuamua waabudu kanisa lipi kati ya hili jipya na lililopo nchini.
Kuanzishwa kwa kanisa hili kunatajwa kurejesha na kusimamia misingi ya Kanisa la Anglikana kama ilivyokuwa miaka 60 kabla kwa mujibu wao.
Akizungumza na wanahabari, Askofu wa kanisa hilo, Elibariki Kutta amesema kuanzishwa kwa jimbo hilo jipya hakumaanishi kuwa kanisa la Anglikana limemeguka, bali inatanua wigo kwa waumini kuamua wasimame na imani ipi.
“Anglikana haijameguka. Ni moja, ila uhuru wa wewe unataka kuwa na mtazamo gani au njia ipi katika maono yako,” amesema Kutta.
Amesema kuanzishwa kwa kanisa hilo haimaanishi kuwa wameondoka Anglikana lakini wanajaribu kusimama katika misingi ya kanisa mama la Kianglikana.
Mwamposa katika Anglicana hapa watakusanya sadaka kwa faida yao wenyeweKanisa jipya la Anglikana lijulikanalo kama Episcopal Anglican Province Tanzania linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 15 jijini Wilaya ya Kongwa jijini Dodoma.
Kuzinduliwa kwa kanisa hilo kunatajwa kuwapa chaguo waumini wote wa Anglikana kuamua waabudu kanisa lipi kati ya hili jipya na lililopo nchini.
Kuanzishwa kwa kanisa hili kunatajwa kurejesha na kusimamia misingi ya Kanisa la Anglikana kama ilivyokuwa miaka 60 kabla kwa mujibu wao.
Akizungumza na wanahabari, Askofu wa kanisa hilo, Elibariki Kutta amesema kuanzishwa kwa jimbo hilo jipya hakumaanishi kuwa kanisa la Anglikana limemeguka, bali inatanua wigo kwa waumini kuamua wasimame na imani ipi.
“Anglikana haijameguka. Ni moja, ila uhuru wa wewe unataka kuwa na mtazamo gani au njia ipi katika maono yako,” amesema Kutta.
Amesema kuanzishwa kwa kanisa hilo haimaanishi kuwa wameondoka Anglikana lakini wanajaribu kusimama katika misingi ya kanisa mama la Kianglikana.
Mbona nikimtizama kwa jicho la kiroho sioni upako wowote kwake zaidi ya kuanzisha Hilo kanisa kwa ajili ya upigaji wa sadaka?Kanisa jipya la Anglikana lijulikanalo kama Episcopal Anglican Province Tanzania linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 15 jijini Wilaya ya Kongwa jijini Dodoma.
Kuzinduliwa kwa kanisa hilo kunatajwa kuwapa chaguo waumini wote wa Anglikana kuamua waabudu kanisa lipi kati ya hili jipya na lililopo nchini.
Kuanzishwa kwa kanisa hili kunatajwa kurejesha na kusimamia misingi ya Kanisa la Anglikana kama ilivyokuwa miaka 60 kabla kwa mujibu wao.
Akizungumza na wanahabari, Askofu wa kanisa hilo, Elibariki Kutta amesema kuanzishwa kwa jimbo hilo jipya hakumaanishi kuwa kanisa la Anglikana limemeguka, bali inatanua wigo kwa waumini kuamua wasimame na imani ipi.
“Anglikana haijameguka. Ni moja, ila uhuru wa wewe unataka kuwa na mtazamo gani au njia ipi katika maono yako,” amesema Kutta.
Amesema kuanzishwa kwa kanisa hilo haimaanishi kuwa wameondoka Anglikana lakini wanajaribu kusimama katika misingi ya kanisa mama la Kianglikana.
Tuko pale pale toka miaka 2000+ na tutakuwepo mpaka kiama.Wakatoliki siku hizi bado tu padri anasamehe dhambi? Na bado Yesu ni Mungu hadi leo?nilikuwa navutiwa sana unapoenda kwa padri huku umeweka mikono kifuani unaanza "Namuungamia Mungu wangu nawe padri wangu tangu majuma sita sijaungama na dhambi zangu ni hizi niliba nazi,nilitukana,nilitapeli simu nk mwishoni padri anaongea kwa mamlaka Mwenyezi Mungu amekusamehe dhambi zako zote nenda kasali baba yetu mara 4 na salamu maria 6
😂 dahKuna siku nikiwa mdogo nilienda kuungama kwa Padre nikamwambia kwa kauli ya kudogosha "niliiba kaembe kadogo, nilichukua chenji ndogo ya 200". Padre akanikaripia kama kaembe kalikuwa kadogo uliiba kwanini, si usingeiba.
Yuko na mchuchu pembeni kifua wazi kiaina.Mbona nikimtizama kwa jicho la kiroho sioni upako wowote kwake zaidi ya kuanzisha Hilo kanisa kwa ajili ya upigaji wa sadaka?
Naona kama kikundi Cha wahuni walioasi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakatoliki siku hizi bado tu padri anasamehe dhambi? Na bado Yesu ni Mungu hadi leo?nilikuwa navutiwa sana unapoenda kwa padri huku umeweka mikono kifuani unaanza "Namuungamia Mungu wangu nawe padri wangu tangu majuma sita sijaungama na dhambi zangu ni hizi niliba nazi,nilitukana,nilitapeli simu nk mwishoni padri anaongea kwa mamlaka Mwenyezi Mungu amekusamehe dhambi zako zote nenda kasali baba yetu mara 4 na salamu maria 6
😄😄 Yaani hapo ni sawa na NABII TITO Bora huyo mwanamke asingemwekaYuko na mchuchu pembeni kifua wazi kiaina.
Hapo ndipo alipofeli askofu wangu. Ni ishara tosha kuwa anayaelewa zaidi ya chini ya gauni.
Huyo demu chuchu kaziacha nje anajiuza??Kanisa jipya la Anglikana lijulikanalo kama Episcopal Anglican Province Tanzania linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 15 jijini Wilaya ya Kongwa jijini Dodoma.
Kuzinduliwa kwa kanisa hilo kunatajwa kuwapa chaguo waumini wote wa Anglikana kuamua waabudu kanisa lipi kati ya hili jipya na lililopo nchini.
Kuanzishwa kwa kanisa hili kunatajwa kurejesha na kusimamia misingi ya Kanisa la Anglikana kama ilivyokuwa miaka 60 kabla kwa mujibu wao.
Akizungumza na wanahabari, Askofu wa kanisa hilo, Elibariki Kutta amesema kuanzishwa kwa jimbo hilo jipya hakumaanishi kuwa kanisa la Anglikana limemeguka, bali inatanua wigo kwa waumini kuamua wasimame na imani ipi.
“Anglikana haijameguka. Ni moja, ila uhuru wa wewe unataka kuwa na mtazamo gani au njia ipi katika maono yako,” amesema Kutta.
Amesema kuanzishwa kwa kanisa hilo haimaanishi kuwa wameondoka Anglikana lakini wanajaribu kusimama katika misingi ya kanisa mama la Kianglikana.