Kanisa jipya la Anglikana laanzishwa Tanzania, Kuzinduliwa Septemba 15

Kama vile ni dizaini za NABII Tito tofauti dhehebu tu😄
 
Maana halisi ya Protestant..Protest..
 
Huo mshangazi na hizo nyonyo nje nje ili iweje? Anaionesha hadhira ipi?

-Kaveli-
 
Mbona sasa ndo mgawanyiko huo..wanasema sio mgawanyiko bali mtu achague imani ipi ndani ya dhehebu moja imani tofauti...how
 
..mimi sio Mkatoliki, lakini nadhani kuungama dhambi kwa dhati ni jambo kubwa sana kiimani.

..watu wanakwenda kinyume na mafundisho ya dini tena, na tena, na tena, wakisubiri kuwajibishwa watakapokwenda mbele za MUNGU.
Kisaikolojia...kuungama kunasaidia kupunguza mzigo wa majanga tunayobeba sbb unapata sehem ambayo utayaongea na hayafiki Kwa ndugu jamaa na marafiki wakaanza kukusolola!

Ndio Ile mnaambiwagwa tafuta mtu unayemuamini ongeza naye matatizo Yako, ila Sasa baada ya siku unayasikia mtaa wa Saba.

Bora kwenda Kwa padre yakheee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…