Ni wakati sasa wa Kanisa Katoliki kwenda level nyingine na kuachana na kufanya mambo ambayo kila mtu anaweza kuyafanya vizuri.
Kanisa linapaswa kujikita kutoa special education na sio tena universal education ambayo sasa inatolewa na taasisi nyingi tu nchini.
Kwa kuwa Kanisa lengo lake sio kupata faida ya fedha, basi Kanisa liwekeze kwenye shule na vyuo vikuu maaalumu kwa ajili ya elimu maalumu.
Kanisa lijikite zaidi ku-establish centers of excellence. Huo ndio wito wa Kanisa, kujipambanua na Ulimwengu.
Kanisa linapaswa kujikita kutoa special education na sio tena universal education ambayo sasa inatolewa na taasisi nyingi tu nchini.
Kwa kuwa Kanisa lengo lake sio kupata faida ya fedha, basi Kanisa liwekeze kwenye shule na vyuo vikuu maaalumu kwa ajili ya elimu maalumu.
Kanisa lijikite zaidi ku-establish centers of excellence. Huo ndio wito wa Kanisa, kujipambanua na Ulimwengu.