Kanisa Katoliki haliwezi kujibiwa kihuni

Kanisa Katoliki haliwezi kujibiwa kihuni

Kabisa katoliki lilikuwa zamani, hivi sasa kumejaa wahuni tu.

Japo naunga mkono hoja ya baadhi ya wateule kuchukua jukumu kuishambulia TEC, wakati wao wenyewe wamezipata nafasi zao kimizengwe.
Tena Wahuni kweli kweli- na Ukiwa zinguwa wanakuzinguwa
 

Attachments

  • IMG_6967.png
    IMG_6967.png
    116.6 KB · Views: 2
  • IMG_6952.jpeg
    IMG_6952.jpeg
    318.9 KB · Views: 2
Kabisa katoliki lilikuwa zamani, hivi sasa kumejaa wahuni tu.

Japo naunga mkono hoja ya baadhi ya wateule kuchukua jukumu kuishambulia TEC, wakati wao wenyewe wamezipata nafasi zao kimizengwe.
Alafu Awajasoma sana kama Baba ako na wewe mwenyewe😁
 

Attachments

  • IMG_6953.jpeg
    IMG_6953.jpeg
    101.7 KB · Views: 3
  • IMG_6955.jpeg
    IMG_6955.jpeg
    178.9 KB · Views: 2
  • IMG_6954.jpeg
    IMG_6954.jpeg
    116.5 KB · Views: 2
  • IMG_6958.jpeg
    IMG_6958.jpeg
    92.2 KB · Views: 2
Kasema nini? Hilo naona limenipita.
Lakini kwa namna yoyote ile Bashite hafai kuwa kiongozi wa ngazi yoyote ile. Muuaji ni shetani, na wanadamu hawastahili kuongozwa na shetani. Wananchi waliopangiwa kuongozwa na Bashite, wajione kama ni watu waliopatwa na ajali.
Mbona mbowe ni mwenyekiti wa chama wakati watu wenye uelewa tunajua yaliyowatokea Chacha Wangwe na tundu lisu ni matokeo ya kazi yake?
 
Kabisa katoliki lilikuwa zamani, hivi sasa kumejaa wahuni tu.

Japo naunga mkono hoja ya baadhi ya wateule kuchukua jukumu kuishambulia TEC, wakati wao wenyewe wamezipata nafasi zao kimizengwe.
Duuh
 
Serikali ya awamu ya 4 ilijaribu kulitikisa KANISA na kulitaka liwe linapeleka nyaraka zake serikalini ili zipitiwe kabla ya kuzisoma kwa waumini wake. Nakumbuka kupitia kwa Cardinal Pengo KANISA liliwajibu kwamba ni vema waache kuandika nyaraka kuliko kuandika kitu ambacho kimeandaliwa na serikali kwa manufaa ya watawala.

Sasa naona Kuna Kila dalili za kuanzisha chokochoko dhidi ya KANISA KATOLIKI. Hao ambao wanaotumia vyeo vyao kulijibu KANISA KATOLIKI ni vema wakafahamu kwamba Lile baraza la TEC limejaa wasome, wenye uelewa mpana kwenye Mambo ya kidini na kidunia. Huyo ambaye amejitoa kufahamu na kuanzia kulishambulia KANISA ni vema aakafaham kwamba siku zake kwenye nafasi aliyonayo zinahesabiwa.
Kanisa katoliki HALINA MORAL AUTHORITY kuionya serikali kwa namna yoyote ile, kwa sababu zifuatazo:
1. Kanisa katoliki limejaa ukiukaji mkubwa saba wa HAKI ZA BINADAMU.
2. Limejaa DHURUMA nyingi mpaka watu wake wanajinyonga.
3. Limejaa utapeli na WIZI wa kukusanya pesa toka kwa waumini wake kwa michango mingi, bila report ya mapato na matumizi.
4. Limejaa WIZI na matumizi MABAYA ya pesa toka kwa wafadhiri, ambazo hutumika kuwajengea mahawala zao nyumba.
5. Limejaa USHOGA.Wanasema waseja wasiooa, kumbe mashoga tu.
6. Limejaa ubakaji kwa wanawake na wanaume.
7. Limejaa dhuruma kwa watoto kwa kuwaharibu, KUWALAWITI. HII NI DHAMBI NA DHURUMA KUBWA SANA.
8. Limejaa ukwepaji na matumizi mabaya ya misamaha ya kodi.
9. Wanasema waseja, lakini uhalisia wengi wameoa KWA SIRI na wanafamilia/watoto.
10. Limejaa UDIKTETA, hakuna demokrasia ndani ya kanisa katoliki.
SWALI: Je watu wapuuzi,matapeli na waongo kama hawa wanaweza kuinyoshea kidole serikali?
The answer is absolutely NO NO!
NB: Waache mchezo wa kuandika NYARAKA ZENYE KUITUHUMU SERIKALI. Wajikite kusafisha makandokando na upuuzi wao. Serikali ni ya watanzania wote, siyo ya wakatoliki tu.
 
Kwetu hatutangazi maombi au kisomo, ni kimya kimya tu na yanakukuta
 
Serikali ya awamu ya 4 ilijaribu kulitikisa KANISA na kulitaka liwe linapeleka nyaraka zake serikalini ili zipitiwe kabla ya kuzisoma kwa waumini wake. Nakumbuka kupitia kwa Cardinal Pengo KANISA liliwajibu kwamba ni vema waache kuandika nyaraka kuliko kuandika kitu ambacho kimeandaliwa na serikali kwa manufaa ya watawala.

Sasa naona Kuna Kila dalili za kuanzisha chokochoko dhidi ya KANISA KATOLIKI. Hao ambao wanaotumia vyeo vyao kulijibu KANISA KATOLIKI ni vema wakafahamu kwamba Lile baraza la TEC limejaa wasome, wenye uelewa mpana kwenye Mambo ya kidini na kidunia. Huyo ambaye amejitoa kufahamu na kuanzia kulishambulia KANISA ni vema aakafaham kwamba siku zake kwenye nafasi aliyonayo zinahesabiwa.
Bashite ameanzisha vita kwenye mkutano wa Mwamposya dhidi ya RC kule Arusha
Kawaida anatangulizwa kutikisa adui ".wao"
 
Serikali ya awamu ya 4 ilijaribu kulitikisa KANISA na kulitaka liwe linapeleka nyaraka zake serikalini ili zipitiwe kabla ya kuzisoma kwa waumini wake. Nakumbuka kupitia kwa Cardinal Pengo KANISA liliwajibu kwamba ni vema waache kuandika nyaraka kuliko kuandika kitu ambacho kimeandaliwa na serikali kwa manufaa ya watawala.

Sasa naona Kuna Kila dalili za kuanzisha chokochoko dhidi ya KANISA KATOLIKI. Hao ambao wanaotumia vyeo vyao kulijibu KANISA KATOLIKI ni vema wakafahamu kwamba Lile baraza la TEC limejaa wasome, wenye uelewa mwanadamu kwenye Mambo ya kidini na kidunia. Huyo ambaye amejitoa kufahamu na kuanzia kulishambulia KANISA ni vema aakafaham kwamba siku zake kwenye nafasi aliyonayo zinahesabiwa.
Sawasawa ✔️
 
Hata hujui kuwa uchaguzi 2015 kanisa lilifanya kazi kubwa sana, na padrii slaa ilibidi arudi nyumbani kuongezaa nguvu,
Mwaka 2030 maandalizi ya Rais yameanza.
Mtoto mdogo huwezi kujua mambo haya.
Japo wanatafuta lime light ya uraisi wa 2030. Kwa kutaka attention ya wa Tanzania, sidhani kama RC inaheshimia na watanzania miaka 20 nyuma, hawataweza kurubinu watanzania tena haraka haraka kupata kitu cha uraisi, hizo zote ni kampaini za uraisi ila zitagknga mwamba.
 
Hivi jamaa hata movie ya godfather hajaangalia
Wahuni walivyo engineer immobilaire
 
Wapumbavu wasiolijua Kanisa Katoliki wanaweza kupinga hoja hii, lakini ukweli ni kwamba, Kanisa Katoliki ni zaidi ya hata ya watawala wetu hawa.
Mimi kwa sababu nalijua Kanisa Katoliki na nguvu yake Tanzania na Duniani, naunga mkono hoja.
Kulisema vibaya Kanisa Katoliki ni sawa kabisa na kucheza na moto wa nyuklia.
Hawa wakisema, Kiongozi fulani hatumtaki, ataondoka tu atake asitake.
Ebu niishie hapa, nisije nikamwaga mchele kwenye kuku wengi.
 
Back
Top Bottom