Kanisa Katoliki haliwezi kujibiwa kihuni

Kanisa Katoliki haliwezi kujibiwa kihuni

Wahuni😳 Wahuni labda kwenye ukoo wenu na huko unaposali wewe! Kanisa Katoliki toka Lianzishwe 33 AD mpaka Leo alijawai kubadilika na pia alijawai gawanyika ,Kanisa Katoliki aliogopi serikali ya aina yeyote ile- ata Baba ako awamwogopi kama unavyomwogopa wewe. Na pia akuna kilaza. kama Ulivyo ukoo wenu. Kuna Mtawala wa nchi fulani kutokana na ukali wa askofu wa jimbo lake alimtengenezea Zengwe kuwa sio raia wa nchi ile..... Ibada ya Mazishi ya kiongozi huyo Askofu alieambiwa sio Raia ndo aliongoza. Katoliki lina Mapadre Wasomi na Wabobezi kwenye sekta zote including Political science. Pandre yeyote wa kikatoliki lazima awe na Degree 2 kabla ya kupewa Daraja la updare. Na Awana shobo kwama wachungaji wako wanaolamba miguu ya wana siasa.Pia Kanisa limeshadeal na Wanasiasa zaidi ya miaka 1500. Na Historia imejaa adithi nyingi tu za Watawala waliojaribu kupambana na Kanisa Katoliki na akuna ata mmoja alieweza lishinda. Yana Mwisho
Duh...
Ile amri ya ndoa ya Y vs Y na X vs X ikikufikia usianze kujitetea na kuwakandia hao unaowaita wenye IQ kubwa.

Ni maoni tu...
 
Serikali ya awamu ya 4 ilijaribu kulitikisa KANISA na kulitaka liwe linapeleka nyaraka zake serikalini ili zipitiwe kabla ya kuzisoma kwa waumini wake. Nakumbuka kupitia kwa Cardinal Pengo KANISA liliwajibu kwamba ni vema waache kuandika nyaraka kuliko kuandika kitu ambacho kimeandaliwa na serikali kwa manufaa ya watawala.

Sasa naona Kuna Kila dalili za kuanzisha chokochoko dhidi ya KANISA KATOLIKI. Hao ambao wanaotumia vyeo vyao kulijibu KANISA KATOLIKI ni vema wakafahamu kwamba Lile baraza la TEC limejaa wasome, wenye uelewa mpana kwenye Mambo ya kidini na kidunia. Huyo ambaye amejitoa kufahamu na kuanzia kulishambulia KANISA ni vema aakafaham kwamba siku zake kwenye nafasi aliyonayo zinahesabiwa.
kwani kanisa la katoliki wao ni nani? wakifanya uhuninwanajibiwa kihuni tu,nani anaogopa kanisa linalosujudu sanamu?
 
Duh...
Ile amri ya ndoa ya Y vs Y na X vs X ikikufikia usianze kujitetea na kuwakandia hao unaowaita wenye IQ kubwa.

Ni maoni tu...
Wewe mawazo yako ni Ushoga tu- Mlete Baba ako ata sasa hivi ! Tumvishe Dera
 
Serikali ya awamu ya 4 ilijaribu kulitikisa KANISA na kulitaka liwe linapeleka nyaraka zake serikalini ili zipitiwe kabla ya kuzisoma kwa waumini wake. Nakumbuka kupitia kwa Cardinal Pengo KANISA liliwajibu kwamba ni vema waache kuandika nyaraka kuliko kuandika kitu ambacho kimeandaliwa na serikali kwa manufaa ya watawala.

Sasa naona Kuna Kila dalili za kuanzisha chokochoko dhidi ya KANISA KATOLIKI. Hao ambao wanaotumia vyeo vyao kulijibu KANISA KATOLIKI ni vema wakafahamu kwamba Lile baraza la TEC limejaa wasome, wenye uelewa mpana kwenye Mambo ya kidini na kidunia. Huyo ambaye amejitoa kufahamu na kuanzia kulishambulia KANISA ni vema aakafaham kwamba siku zake kwenye nafasi aliyonayo zinahesabiwa.
Kule KKKT yule malasusa mmmh hata siwaelewi wa KKKT. tofauti na yule alieondoka
 
Wapumbavu wasiolijua Kanisa Katoliki wanaweza kupinga hoja hii, lakini ukweli ni kwamba, Kanisa Katoliki ni zaidi ya hata ya watawala wetu hawa.
Mimi kwa sababu nalijua Kanisa Katoliki na nguvu yake Tanzania na Duniani, naunga mkono hoja.
Kulisema vibaya Kanisa Katoliki ni sawa kabisa na kucheza na moto wa nyuklia.
Hawa wakisema, Kiongozi fulani hatumtaki, ataondoka tu atake asitake.
Ebu niishie hapa, nisije nikamwaga mchele kwenye kuku wengi.

Wapumbavu wasiolijua Kanisa Katoliki wanaweza kupinga hoja hii, lakini ukweli ni kwamba, Kanisa Katoliki ni zaidi ya hata ya watawala wetu hawa.
Mimi kwa sababu nalijua Kanisa Katoliki na nguvu yake Tanzania na Duniani, naunga mkono hoja.
Kulisema vibaya Kanisa Katoliki ni sawa kabisa na kucheza na moto wa nyuklia.
Hawa wakisema, Kiongozi fulani hatumtaki, ataondoka tu atake asitake.
Ebu niishie hapa, nisije nikamwaga mchele kwenye kuku wengi.
Kanisa Moja Takatifu la Mitume lina heshima zake Duniani kote. Lipo Chini ya Papa ambaye ni Kiongozi wa Vatican Nchi ndogo ndani ya Italy na ina Balozi wa Papa Tanzania hivyo tuache kufanya dharau kwenye Imani. Tushughulike na Siasa tuachane na mambo ya Imani si afya kwa mustakabali wa Tanzania yetu.
 
Serikali ya awamu ya 4 ilijaribu kulitikisa KANISA na kulitaka liwe linapeleka nyaraka zake serikalini ili zipitiwe kabla ya kuzisoma kwa waumini wake. Nakumbuka kupitia kwa Cardinal Pengo KANISA liliwajibu kwamba ni vema waache kuandika nyaraka kuliko kuandika kitu ambacho kimeandaliwa na serikali kwa manufaa ya watawala.

Sasa naona Kuna Kila dalili za kuanzisha chokochoko dhidi ya KANISA KATOLIKI. Hao ambao wanaotumia vyeo vyao kulijibu KANISA KATOLIKI ni vema wakafahamu kwamba Lile baraza la TEC limejaa wasome, wenye uelewa mpana kwenye Mambo ya kidini na kidunia. Huyo ambaye amejitoa kufahamu na kuanzia kulishambulia KANISA ni vema aakafaham kwamba siku zake kwenye nafasi aliyonayo zinahesabi
Tuwaonee huruma Albino.Tusiwaue,Tusiwadhuru ,tuwapende tuishi nao kwa amani.
 
Japo wanatafuta lime light ya uraisi wa 2030. Kwa kutaka attention ya wa Tanzania, sidhani kama RC inaheshimia na watanzania miaka 20 nyuma, hawataweza kurubinu watanzania tena haraka haraka kupata kitu cha uraisi, hizo zote ni kampaini za uraisi ila zitagknga mwamba.
Tanzania marais hutoka madhehebu mawili tu hadi sasa, RC na Sunni nje ya hapo sijaona tangu tuwe na uhuru.
 
Cha ajabu sana wanaCCM wanalisema kanisa hadharani hivi Kisha kesho wanakuja kuomba kura.

Kwanza CCM tambueni kanisa Katoliki ndio mama wa makanisa yote ulimwenguni. Kwa Tanzania ndio lenye waamini wengi kuliko madhehebu yote nchini. Ndio yenye muundo thabiti kuliko hata serikali.

Pia kumbuka hakuna taasisi ingine Tanzania yenye wafuasi wengi na walio loyal kwa viongozi wao kama kanisa hili. Ikitokea limeamua kwa dhati kabisa kusimama na Mgombea upinzani laweza kushindwa.

Pia tambua vijana wao wengi waliosoma seminary wapo kwenye baadhi ya vyombo vya Dola na maamuzi. Sasa CCM isiwe tayari kutukama TU. Kumbuka hata katibu mkuu wenu alipita huko seminary.
 
Chukua baraza la mawaziri lote wafungie ndani na mapadre wa jimbo la Dar es salaam tu alafu wape closed exam kupima IQ zao ujionee kituko cha mwaka kwa wateule wa rais.
Unaamini sana kwenye mitihani!!..iq ni nini kwanza, unaweza pima iq ya mtu!?..watu wanapiga goti mbele ya zege na mpingo waliochonga wenyewe na kuliomba,unatoka hadharani na kudai wanna iq kubwa!
 
Unaamini sana kwenye mitihani!!..iq ni nini kwanza, unaweza pima iq ya mtu!?..watu wanapiga goti mbele ya zege na mpingo waliochonga wenyewe na kuliomba,unatoka hadharani na kudai wanna iq kubwa!
Hili bao lingepigwanyeto sasa ndio nimegundua umuhimu wa Condom
 
Jamani Hivi papa anasemaje juu ya ushoga Kama msimamo wa kanisa katorik, anayejua naomba awake hapa waraka
 
Uongozi wa Tanzania unataka moyo wa uvumilivu sana.

Uongozi wa Tanzania unataka shabaha .

Vinglnevyo zama hizi za social media kila mitu anaweza jiandikia upuuzi wake kwa mantiki ya kuchochea udini.

TEC gani hiyo iliyowahi pongiwa na serikali.

If anything TEC hawamu ya nne kwa uelewa wao Dr.Slaa anataka kuwatumia wao na imani ya wakristo Tanzania kwa maslahi ya siasa za vyama wakajitenga na maamuzi ya vyama vya siasa.

Baada ya hapo askofu uchwara (Gwajima) akamtukana sana muhasham Kardinal Pengo na kumvunjia heshima hadharani kwa maneno ya hovyo.

Maslkini ya mungu Kardinali Pengo, akasema yeye kasamehe hayo matusi woachane na huyo muhuni.

Sisi wengine tuliokuwa tunamshabikia Magufuli aina maana alikuwa perfect. Shida kubwa ya Tanzania ni fikra za wananchi wake.

Someone has to sort this nonsense, yaani mtu anaweza amka na kuandika ujiinga tu wa kutunga kutoka kichwani. He has no, sense of guilty na kuna mamia ya watu wanaweza amini upuuzi wake.

Someone has to sort this nonsense in Tanzania.

Mimi nashindwa kuelewa mtu ambae kasoma na kuelimika, na hustle zake za maisha ni halali halaf akuelewa vita vya Nagufuli.

Magufuli apendwi bure na nchi zingine kwenye bara la Africa ni kwa sababu wanaelewa matatizo ya nchi zetu na Magufuli alikuwa mstari wa mbele kujaribu kuyapunguza nchini kwake.

Yaani unakuta jitu linadhani lina haki ya kuamka na kutunga uongo au kujiandikia vitu kutoka kichwani kwake; halafu liachwe.

The sort of majority of people JF inayowapa tuzo kama wanachama bora ukitoa mmoja the rest hawana technical skills zozote zaidi ya kuchangia ujinga na kupewa likes luluki na wajinga wenzao.

That’s just setting your standards too low and then thinking the entire earth is full of stupid people as you.
Andika maneno kwa usahihi.
Au wewe ni mkimbizi?.
 
Kabisa katoliki lilikuwa zamani, hivi sasa kumejaa wahuni tu.

Japo naunga mkono hoja ya baadhi ya wateule kuchukua jukumu kuishambulia TEC, wakati wao wenyewe wamezipata nafasi zao kimizengwe.
Naam muhuni mmojawapo babako alimbaka mamako akapata MIMBA ukazaliwa wewe BUMUNDA ambaye kimsingi una akili za KUVUKIA barabara tu!!!

🤣😅🤣
 
Hili bao lingepigwanyeto sasa ndio nimegundua umuhimu wa Condom
Huwezi kupiga goti mbele ya sanamu la zege ulilotengeneza mwenyewe halafu ukuliomba likutatulie shida zako kisha uje utuambie umesoma sana una iq kubwa
 
Naam muhuni mmojawapo babako alimbaka mamako akapata MIMBA ukazaliwa wewe BUMUNDA ambaye kimsingi una akili za KUVUKIA barabara tu!!!

🤣😅🤣
Bila shaka ushaanza kufirwa, maana papa kaagiza kuwa wakatoliki wote muwe mashoga.
Screenshot_20240922-152240.png
 
Back
Top Bottom