Kanisa Katoliki haliwezi kujibiwa kihuni

Duh...
Ile amri ya ndoa ya Y vs Y na X vs X ikikufikia usianze kujitetea na kuwakandia hao unaowaita wenye IQ kubwa.

Ni maoni tu...
 
kwani kanisa la katoliki wao ni nani? wakifanya uhuninwanajibiwa kihuni tu,nani anaogopa kanisa linalosujudu sanamu?
 
Duh...
Ile amri ya ndoa ya Y vs Y na X vs X ikikufikia usianze kujitetea na kuwakandia hao unaowaita wenye IQ kubwa.

Ni maoni tu...
Wewe mawazo yako ni Ushoga tu- Mlete Baba ako ata sasa hivi ! Tumvishe Dera
 
Kule KKKT yule malasusa mmmh hata siwaelewi wa KKKT. tofauti na yule alieondoka
 

Kanisa Moja Takatifu la Mitume lina heshima zake Duniani kote. Lipo Chini ya Papa ambaye ni Kiongozi wa Vatican Nchi ndogo ndani ya Italy na ina Balozi wa Papa Tanzania hivyo tuache kufanya dharau kwenye Imani. Tushughulike na Siasa tuachane na mambo ya Imani si afya kwa mustakabali wa Tanzania yetu.
 
Tuwaonee huruma Albino.Tusiwaue,Tusiwadhuru ,tuwapende tuishi nao kwa amani.
 
Tanzania marais hutoka madhehebu mawili tu hadi sasa, RC na Sunni nje ya hapo sijaona tangu tuwe na uhuru.
 
Cha ajabu sana wanaCCM wanalisema kanisa hadharani hivi Kisha kesho wanakuja kuomba kura.

Kwanza CCM tambueni kanisa Katoliki ndio mama wa makanisa yote ulimwenguni. Kwa Tanzania ndio lenye waamini wengi kuliko madhehebu yote nchini. Ndio yenye muundo thabiti kuliko hata serikali.

Pia kumbuka hakuna taasisi ingine Tanzania yenye wafuasi wengi na walio loyal kwa viongozi wao kama kanisa hili. Ikitokea limeamua kwa dhati kabisa kusimama na Mgombea upinzani laweza kushindwa.

Pia tambua vijana wao wengi waliosoma seminary wapo kwenye baadhi ya vyombo vya Dola na maamuzi. Sasa CCM isiwe tayari kutukama TU. Kumbuka hata katibu mkuu wenu alipita huko seminary.
 
Chukua baraza la mawaziri lote wafungie ndani na mapadre wa jimbo la Dar es salaam tu alafu wape closed exam kupima IQ zao ujionee kituko cha mwaka kwa wateule wa rais.
Unaamini sana kwenye mitihani!!..iq ni nini kwanza, unaweza pima iq ya mtu!?..watu wanapiga goti mbele ya zege na mpingo waliochonga wenyewe na kuliomba,unatoka hadharani na kudai wanna iq kubwa!
 
Unaamini sana kwenye mitihani!!..iq ni nini kwanza, unaweza pima iq ya mtu!?..watu wanapiga goti mbele ya zege na mpingo waliochonga wenyewe na kuliomba,unatoka hadharani na kudai wanna iq kubwa!
Hili bao lingepigwanyeto sasa ndio nimegundua umuhimu wa Condom
 
Jamani Hivi papa anasemaje juu ya ushoga Kama msimamo wa kanisa katorik, anayejua naomba awake hapa waraka
 
Andika maneno kwa usahihi.
Au wewe ni mkimbizi?.
 
Hawa wabudu sanamu watapotea kama walivyo potea kule Brazil

USSR
Wewe mwenyewe sanamu.. familia yako yote,nyumba hata maandishi hata ni masanamu..
 
Kabisa katoliki lilikuwa zamani, hivi sasa kumejaa wahuni tu.

Japo naunga mkono hoja ya baadhi ya wateule kuchukua jukumu kuishambulia TEC, wakati wao wenyewe wamezipata nafasi zao kimizengwe.
Naam muhuni mmojawapo babako alimbaka mamako akapata MIMBA ukazaliwa wewe BUMUNDA ambaye kimsingi una akili za KUVUKIA barabara tu!!!

🤣😅🤣
 
Hili bao lingepigwanyeto sasa ndio nimegundua umuhimu wa Condom
Huwezi kupiga goti mbele ya sanamu la zege ulilotengeneza mwenyewe halafu ukuliomba likutatulie shida zako kisha uje utuambie umesoma sana una iq kubwa
 
Naam muhuni mmojawapo babako alimbaka mamako akapata MIMBA ukazaliwa wewe BUMUNDA ambaye kimsingi una akili za KUVUKIA barabara tu!!!

🤣😅🤣
Bila shaka ushaanza kufirwa, maana papa kaagiza kuwa wakatoliki wote muwe mashoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…