Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha Padre Rwegoshora kufuatia tuhuma za kuhusika mauaji ya Asimwe Novath

Sasa kwa taarifa hii, wale wote waliokuwa wakitetea na kukanusha kwa kubana pua zao kuwa Rwegoshora si padre wa kanisa Katoliki, watazificha wapi sura zao, au wataingia tu mitini kama ilivyo desturi kwa watu waongo na wazandiki?
Watanzania wengi huwa tunatoa maamuzi kishabiki. Hatuna kabisa tabia ya kuangalia mambo kwa ukweli wake bali tunaongozwa na hisia za mhusika ana uhusiano gani na mimi au jamii yangu au chama changu au kabila langu. Kiongozi wa dini kufanya hili ni jambo la ajabu na aibu lakini siyo dini yake au kanisa lake limefanya
 
Padre kufikia hatua hiyo ina maana kuna shida kwenye udahili wa hawa viongozi wa KANISA, watu wanaingia upadre bila wito bali shida za familia zao ndio zinawapeleka kanisani kwa imani ya maisha mazuri.
Udahili gani? Hawa wanaofanya uzinzi na wake za watu tena ambao wamewafungisha ndoa huwaoni wamejaa huku mtaani? Kuna ambaye siku za nyuma alitapeliwa na mganga wa kienyeji. Sijui ile kesi iliishia wapi?
 
Kwanini unadhani ni lazima wajue? Hili siyo la kweli.
 
Sasa kwa taarifa hii, wale wote waliokuwa wakitetea na kukanusha kwa kubana pua zao kuwa Rwegoshora si padre wa kanisa Katoliki, watazificha wapi sura zao, au wataingia tu mitini kama ilivyo desturi kwa watu waongo na wazandiki?
Wekeni ushahidi wa gazeti hilo na barua ya askofu.
 
Huyu Fr nilishakutana naye huku Dar kama miezi SITA iliyopita na akajitambulisha kwetu (Mimi na wengine kwamba ni padri wa Jimbo la Bukoba). Huku alidai alikuwa yuko likizo kwa ndugu yake, lakini mimi sikuamini kama yuko kwenye huduma. Wakati huo alikuwa amevaa ndala zimechoka na zina vumbi sana na pia alikuwa hata kama ni asubuhi anaoneka a kama amelewa. Niliwaambia wenzangu kwamba, kama ni padri huenda amesimamishwa. Na picha yake ni kama hii. Anyway, labda alisharudi kundini, lakini kwa jinsi alivyokuwa kipindi hicho kwa kweli sidhani kama alikuwa akihudumu. Hata nywele zenyewe alikuwa kama hajawahi kuchana kwa siku kadhaa.
 
Wewe unavyoamini padre mshirikina ni huyu pekee?

Sehemu gani nimesema ni yeye peke yake? Nimeuliza swali ambalo nataka kupata majibu au kuelimishwa. Imetokeaje walezi wa seminary mpaka kupewa upadre wasilione tatizo alikokuwa nalo huyu padre? Inawezekana wako wengi, inawezekana wako wachache.
Kanisani, kuna hata mashetani katika mfumo wa uruhani(Freemasons wakiwemo). Only God knows, nani ni halisi na nani ni tapeli. Ila maandiko yanasema wapo mbwa mwitu waliojificha katika ngozi ya kondoo. Yes, hata Tanzania wapo pia.
 

Ipo shida kubwa kwenye maandalizi ya hawa mapadri. Na siku hizi wanatumia sana Liberation theology. ilitumiwa mno Centra and Southern America after second Vatical council, kuhalalisha blending ya ukomunist na ukristu. Ukristu hauko compatible na ukomunisti hata siku moja
 
Oh ndiyo maana watu walisema ni mlevi fulani tu.
 
Hapana. Tatizo haliko huko maana hata mimi nimepitia hayo malezi miaka 9 na kufanya utume miaka 5. Ingawa chuo nilichosoma nilisoma pia liberation theology na pia contextual theology, lakini kwa uzoefu wangu formation Iko vizuri ila sasa kwa chuo nilichosoma mimi ilikuwa "very academic" na cross-cultural. Nilisoma chuo ambacho tulikuwa tunasoma wanafunzi kutoka mataifa 27 duniani na watu tofautitofauti - na kutoka nyanja mbalimbali na jinsia tofauti.
 
Hongera Baba Askofu Mwijage
 
Kuna wale waliokua wanaleta taarifa za uongo sijui ni mraibu alisoma na paroko msaidizi , waje humu.
Askofu Jimbo katoliki Babati njoo huku na ujinga wako

Au na wewe Unafannya biashara za viungo vya Albino?

Njoo huku Askofu mwenzio anajua MTU wake kuwa alikuwa padre Jimbo lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…