Bora tu waseme ukweliTunajua Raila ana matatizo ya kupumua.
Hata sala kwa Mungu zinakuwa very focused.
Kama kuna anayeficha lolote huo utakuwa ni ule mwendelezo wa ujuha unaoakisiwa vilivyo na hao mabwana wa hapi tandika.
Huko Vatican kwao ambako serikali yao ilichukua hatua mapema kabisa nako kuna vifo vya hao watumishi. Hilo kanisa limeamua kujitanabaisha wazi wazi lipo kwa ajili ya nini.Nimefuatilia hotuba ya Dk Kitima katibu wa TEC, ni padri na kiongozi wa dini- kasisi.
Analalama kuwa masisita na mapadri wamefariki kwa ugonjwa unaohusiana na Covid 19. Madhara ya ya changamoto za kupumua.
Ni kama Dk Kitima analaumu kuwa serikali haikuchukua hatua hatua stahiki ndio maana masisita na mapadri wamefariki.
Je, Tec haikujua kuwa mapadri na masisita wana muingilianano na mapadri,masisita,na waumini wenzao wa kimataifa? Mfano Italia kwa Papa ni moja ya nchi zilizoathirika kikubwa ba Covid 19. Je, kanisa katoliki halikupaswa kuchuku tahadhali kuepuka wageni wa nje?
Mapdri na masisita wanaokutana na wageni toka ndani na nje ya nchi walotegemea serikali iwalinde? Mungu sio hirizi.
Idugunde of Igunga
Imani zimekuwa za bandia. Wanashutumu serikali kutochukua hatua kama ulimwengu mwingine unavyofanya. Miongoni mwa hizo hatua ni kuvaa barakoa. Yeye mwenyewe anawasilisha tamko akiwa hajavaa barakoa. Imani hizi [emoji848][emoji848][emoji848]Nani kakuambia ukiisha kuwa padre haufi?(Ayubu 14:1) Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi sio nyingi)acha kusingizia corona siku zake za kuishi zimefika ameondoka.Mbona yeye Kitima hajafa na corona!wakati anaongea hana hata baracoa?
ajsondoka kiulainiiiiJiwe ameshindwa kabisa kuukubali ukweli.
Mama D si jiwe alisema haipo? Eti ni janja ya wazungu tu hiyo!!Ni ajabu kulaumiana kwa vifo vya watawa huku historia ya Rome 2020 ikijulikana. Kwangu mimi kila mtu anatakiwa kuchukua tahadhari, kula vizuri, mazoezi na kumwomba Mungu sana
🤠 🤠ajsondoka kiulainiiii
Mama D si jiwe alisema haipo? Eti ni janja ya wazungu tu hiyo!!