Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwa nini kanisa linaacha kuchapa kazi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wa TEC baba Askofu Nyaisonga ambaye pia ni askofu wa Dayosisi ya Mbeya amesema katika kupambana na maambukizi ya Covid 19 wanasitisha Huduma za sakramenti ya ubatizo na ile ya Ndoa.
Baba askofu amesema Huduma hizo zitarejea tena kama kawaida pale ugonjwa huo utakapokuwa umedhibitiwa.
Baba askofu amesema hayo wakati wa ibada za Pasaka jijini Mbeya.
Source ITV habari!
Sent using Jamii Forums mobile app