Kanisa Katoliki latoa waraka mpya unaiotwa 'Dignitas Infinita' likipinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa Mimba

Kanisa Katoliki latoa waraka mpya unaiotwa 'Dignitas Infinita' likipinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa Mimba

Siku ya leo Kanisa Katoliki kupitia idara ya habari ya Vatican limetoa waraka mpya unaoitwa "Dignitas Infinita" Miongoni mwa mambo yanayozungumziwa kwenye waraka huo Uliosainiwa na Papa ni pamoja na Msimamo wa Kanisa katoliki katika Kupinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa Mimba.

Katika waraka huo wenye Point 66, umevavaduliwa kama ifuatavyo

USHOGA NA KUBADILI JINSIA
Point ya 60 katika Waraka huu inapinga hali ya ushoga au kubadili jinsi. Kanisa likisisitiza mtu kuheshimu jinsi alivyoumbwa tangu anazaliwa, hivyo kuheshimu mpangilio wa asili wa mwili wa binadamu tangu anazaliwa. Kanisa linapinga kitendo chochote cha ubadilishaji jinsia kinyume na asili ya mwanadamu ukiachilia mbali wale waliozaliwa wakiwa na shida ya maumbile ambapo Daktari atathibitisha hilo.
Too late
 
Ile statement ipo biblical kaka, hakuna mwenye dhambi hata mmoja anaye paswa kufungiwa mlango na kanisa, kilichomleta Yesu duniani sio kwa yoyote aliye mwema ila kwa wote walio na dhambi ambao dhamiri zao zinawadai kufanya toba na marejeo kw Mungu muumba wao.
Andiko gani linasema wapenzi wa jinsia moja wabarikiwe kanisani?

Nakubali hakuna mwenye dhambi anapaswa kufungiwa mlango, na natambua Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi.

1.Lakini kuna tofauti hapo, Yesu alimfata Zakayo mtoza ushuru (alikuwa mwenye dhambi maana aliwadhurumu watu mali zao), akampa injili hatimae Zakayo akaacha dhambi (akaacha kudhurumu na akarudisha mali za aliowadhurumu mara 4 zaidi)

2.Yesu alipoletewa mwanamke aliefumaniwa akifanya uzinzi (dhambi), alimsamehe na kumwagiza asitende dhambi tena.

Swali langu kwako, Papa aliposema wapenzi wa jinsia moja wabarikiwe je kuwabariki kungewafanya waache dhambi zao (kufanya mapenzi ya jinsia moja) au wakibarikiwa maana yake aendelee kufanya dhambi (kuendeleza mapenzi ya jinsia moja)?
Hakuna shaka papa na uongozi wa vatikani ulipata msaada na mwongozo wa ki Mungu kabla ya kutoa kauli ile.
Kama walipata uongozi wa Mungu kubariki wapenzi wa jinsia moja
1. Kwanini watu wa sodoma na gomora walichomwa?
2. Kwa nini kauli imebadilika sasa, je Mungu amegundua alikosea kuruhusu jambo alilolikataza mwenyewe?
 
Ushujaa gani mkuu?
Tafsiri ya Shujaa sio Yule anayejificha kwenye mapambano lah..

Shujaa ni yule anayeingia kwenye mapambano hata kama mwanzoni aliona kaharibu, bhasi bado hurudi hadharani na kusema nilikosea huo hauitwi unafiki Unaitwa ushujaa...

Ila ukiona mtu hata baada ya kukosea anaendelea kushikiria Msimamo wa Kijinga mchunguze sana huyo Mtu anaunafiki na majuto moyoni mwake..
 
Tafsiri ya Shujaa sio Yule anayejificha kwenye mapambano lah..

Shujaa ni yule anayeingia kwenye mapambano hata kama mwanzoni aliona kaharibu, bhasi bado hurudi hadharani na kusema nilikosea huo hauitwi unafiki Unaitwa ushujaa...

Ila ukiona mtu hata baada ya kukosea anaendelea kushikiria Msimamo wa Kijinga mchunguze sana huyo Mtu anaunafiki na majuto moyoni mwake..
Sahihi.
 
Andiko gani linasema wapenzi wa jinsia moja wabarikiwe kanisani?

Nakubali hakuna mwenye dhambi anapaswa kufungiwa mlango, na natambua Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi.

1.Lakini kuna tofauti hapo, Yesu alimfata Zakayo mtoza ushuru (alikuwa mwenye dhambi maana aliwadhurumu watu mali zao), akampa injili hatimae Zakayo akaacha dhambi (akaacha kudhurumu na akarudisha mali za aliowadhurumu mara 4 zaidi)

2.Yesu alipoletewa mwanamke aliefumaniwa akifanya uzinzi (dhambi), alimsamehe na kumwagiza asitende dhambi tena.

Swali langu kwako, Papa aliposema wapenzi wa jinsia moja wabarikiwe je kuwabariki kungewafanya waache dhambi zao (kufanya mapenzi ya jinsia moja) au wakibarikiwa maana yake aendelee kufanya dhambi (kuendeleza mapenzi ya jinsia moja)?

Kama walipata uongozi wa Mungu kubariki wapenzi wa jinsia moja
1. Kwanini watu wa sodoma na gomora walichomwa?
2. Kwa nini kauli imebadilika sasa, je Mungu amegundua alikosea kuruhusu jambo alilolikataza mwenyewe?
Ndugu yangu si wewe wa la si mimi au mingoni mwetu wengi ambao tunaifahamu Biblia kwa asili yake kiukamilifu.
Hatuna kingi katika ufahamu kuzidi wanazuoni au wanateolojia na wanafalsafa waliopo pale Vatican.
Msimamo wa kanisa kwa leo haujitimishi leo tu bali kesho na kesho kutwa na mtondogoo.
 
Swali langu kwako, Papa aliposema wapenzi wa jinsia moja wabarikiwe je kuwabariki kungewafanya waache dhambi zao (kufanya mapenzi ya jinsia moja) au wakibarikiwa maana yake aendelee kufanya dhambi (kuendeleza mapenzi ya jinsia moja)?
USHOGA NA KUBADILI JINSIA
Point ya 60 katika Waraka huu inapinga hali ya ushoga au kubadili jinsi. Kanisa likisisitiza mtu kuheshimu jinsi alivyoumbwa tangu anazaliwa, hivyo kuheshimu mpangilio wa asili wa mwili wa binadamu tangu anazaliwa. Kanisa linapinga kitendo chochote cha ubadilishaji jinsia kinyume na asili ya mwanadamu ukiachilia mbali wale waliozaliwa wakiwa na shida ya maumbile ambapo Daktari atathibitisha hilo.
👆
Huo ndio msimamamo wa kanisi kuhusu hilo ulilouliza!
 
Ndugu yangu si wewe wa la si mimi au mingoni mwetu wengi ambao tunaifahamu Biblia kwa asili yake kiukamilifu.
Hatuna kingi katika ufahamu kuzidi wanazuoni au wanateolojia na wanafalsafa waliopo pale Vatican.
Msimamo wa kanisa kwa leo haujitimishi leo tu bali kesho na kesho kutwa na mtondogoo.
With due respect.
Naifahamu biblia nje ndani. I'm a theologian for 20 yrs now

Wewe umesema agizo liko biblically, nimetaka andiko unasema si mimi wala wewe tuanoijua bilbia. Nakuhakikishia wewe ndie hujui Biblia.

Mimi sijawahi fungwa na dini, nimesoma kuhusu ukristo, uislam, butha, uyahudi nk.
Nakuhakikishia tena hujui Biblia, usipotoshe watu kwa maneno matupu.
 
USHOGA NA KUBADILI JINSIA
Point ya 60 katika Waraka huu inapinga hali ya ushoga au kubadili jinsi. Kanisa likisisitiza mtu kuheshimu jinsi alivyoumbwa tangu anazaliwa, hivyo kuheshimu mpangilio wa asili wa mwili wa binadamu tangu anazaliwa. Kanisa linapinga kitendo chochote cha ubadilishaji jinsia kinyume na asili ya mwanadamu ukiachilia mbali wale waliozaliwa wakiwa na shida ya maumbile ambapo Daktari atathibitisha hilo.
👆
Huo ndio msimamamo wa kanisi kuhusu hilo ulilouliza!
Swali langu halijibiwi na huo waraka.
Huna jibu mkuu, kukaa kimya nalo ni jibu kuwa hujui kuliko kuzidi kujianika.
 
With due respect.
Naifahamu biblia nje ndani. I'm a theologian for 20 yrs now

Wewe umesema agizo liko biblically, nimetaka andiko unasema si mimi wala wewe tuanoijua bilbia. Nakuhakikishia wewe ndie hujui Biblia.

Mimi sijawahi fungwa na dini, nimesoma kuhusu ukristo, uislam, butha, uyahudi nk.
Nakuhakikishia tena hujui Biblia, usipotoshe watu kwa maneno matupu.
Naam naweza kuwa siijui Biblia ndugu yangu, maana Biblia ni kama kioo, kila anaekitazama anajiona yeye, ndio maana kila leo anatokea huyu anatafsiri hivi na yule anatafsiri vile!
Hebu tupe darasa kidogo mkuu kuhusu Biblia ufanuvyo wewe sio sawa na wengine tulivyo jaliwa kufahamu.
 
Naam naweza kuwa siijui Biblia ndugu yangu, maana Biblia ni kama kioo, kila anaekitazama anajiona yeye, ndio maana kila leo anatokea huyu anatafsiri hivi na yule anatafsiri vile!
Hebu tupe darasa kidogo mkuu kuhusu Biblia ufanuvyo wewe sio sawa na wengine tulivyo jaliwa kufahamu.
Ukisoma vitabu vyote 72 kwenye biblia yako, hakuna sehemu Mungu wala nabii wala mtume kasema WAPENZI WA JINSIA MOJA WABARIKIWE.
Ulivyosema tamko lipo kibiblia ulidanganya.

Unataka darasa kuhusu nini?
Kuwa specific
 
Back
Top Bottom