Kanisa Katoliki latoa waraka mpya unaiotwa 'Dignitas Infinita' likipinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa Mimba

Mashoga wanabarikiwa kwa maana gani?
Jibu hapo kama una akili.
Hilo swali muilize papa wako ndie alisema wabarikiwe.
Hakuna shoga anapaswa kubarikiwa. Anatakiwa atubu, aache ushoga Ndipo anaweza barikiwa.
 
Nilitegemea ukosoe majibu yangu kwa hoja, badala yke unaleta mipasho tu.
Mbona muuliza swali alinielewa nilichosema?
 
Hivi ni kwa nini wahamiaji haramu Mfano hawa wanaokamatwa wakiwa wanakwenda au wanapita tuu nchini kwetu kwenda kujitafutia maisha mahali pengine na wala sio nchini mwetu kwa nini tusiwaache kwa sababu sisi haituhusu na wala haituathiri chochote kupita kwao hapa tuache jukumu hili huko wanakokwenda wakaelewana
 
da!! ukioga uani wakati tanesco wamezima umeme,alaf ghafla umeme ukarudi!!!! inakuaje hapo kwa mfano!!!
 
Reactions: 511
Nilitegemea ukosoe majibu yangu kwa hoja, badala yke unaleta mipasho tu.
Mbona muuliza swali alinielewa nilichosema?
Sio mipasho ni hoja na pia ni ukweli mshirika wa kanisa katoliki ambaye ni biden ni mfuasi wa ushoga, kama kanisa mnapaswa kumkanya arudi kundini.

Na pia marekani ni wachochezi katika vita hilo liko wazi kila mtu anajua. Nchi nyingi zimeharibiwa kwa vita kwa uchochezi wa marekani na kiongozi wenu wa kanisa katoliki amekuwa kimya muda wote wala hakemei.

Hii ni hoja na ukweli tosha, wewe ndio unataka kuingiza mipasho.

Huu waraka ni mzuri na unapaswa utekelezwe kwa vitendo hiyo ndio maana yangu. Kwa sasa vitendo kwenye hivyo vipengele viwili nilivyoonesha ni sifuri.
 
Ulinikosoa kuwa nimekaririshwa tu Biblia siijui, nikataka unikosoe kwa hoja.

Kitu ambacho hukijui kunihusu ni kwamba sijawahi na wala sitakuja kuwa muumini wa Roman catholic.

Huyo niliemkosoa ukani-quote ni kwa vile alitetea maamuzi ya papa kuruhusu mashoga kubarikiwa. Na akadai tamko liko kibiblia ndio maana nikataka anipe andiko. Akajibu mimi na yeye hatujui Biblia, nikamjibu yeye ndie hajui ila mimi naijua vizuri ndio maana nikadiriki kumwambia hakuna hilo andiko.

Post zilizofata alikubali kwamba kweli hakuna andiko.
 
Basi babaako aliupambania ukristo.
 
Kwenye kupandikiza mimba umepotosha sasa sijui kwa maslahi ya nani. Ungesema linakataza kupandikiza mimba kw niaba lakin wewe umeonyesha kana kwamba kanisa linapinga kupandikiza mimba kwa ujumla wake hata kama ni kwa wana ndoa ambao wanafanya kwa ajili yao wenyewe na sio kwa kubeba mimba kwa niamba ya mtu mwingine.

Sent from my itel S13 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu acha kusikiliza masheikh wa buguruni na huko kijiwe samli ndio wanawapa hizo pumba kupitia cds zao huko uswahilini..
Pia acha kuwasilikiza wachungaji wa kisabato ambao wapo depressed itakusaidia.
 
JESUITS ILUMINANT FREEMASONS etc.
Ushetani wao ni upi? Tofautisha secret societies na ushetani. Chambo kuwa siri haikifanyi kiwe cha kishetani. Hao Illuminati ilikua armed/intelligence Wing ya kanisa na ilishakua disbanded miaka zaidi ya 300 sasa. Hao jesuites mbona ni order tu kama Constantine n.k. wala haimaanishi ni shetani.
 
jambo usilolijua n sawa na usku wa giza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…