Kanisa Katoliki latoa waraka mpya unaiotwa 'Dignitas Infinita' likipinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa Mimba

kwa hiyo Vatican wanataka kusema ushoga na usagaji ni mpango wa Mungu
 
Sawa.
 
Sisi tunashikilia kauli yake ya kwanza ndio sahihi . Tunahitaji maelezo kwanini mwanzo alisema wapenzi wa jinsia moja wabarikiwe?
 
jambo usilolijua n sawa na usku wa giza
Acheni propaganda ni sawa na useme TISS ni mashetani kisa ni taasisi ya kisiri!!

Jesuites ni order kabisa na ipo kama tu Benedictine, Francisca etc na haina connection yoyote na ushetani.
 
Sisi tunashikilia kauli yake ya kwanza ndio sahihi . Tunahitaji maelezo kwanini mwanzo alisema wapenzi wa jinsia moja wabarikiwe?
Kubarikiwa means kuombewa baraka ibadani na alisema uwe muuaji, mzinzi, shoga n.k haikunyimi haki ya kuombewa. Ni sawa na Yesu alivyosema kahaba sio tu asiadhibiwe ila yeye alijichanganya naye!!

Meaning maombi ni kwa wenye dhambi sio watakatifu!! Ni ajabu kanisa kufukuza wenye dhambi ilihali wanapaswa kuwaombea ili wabadilike.
 
Tujaribu kuacha mihemko kwa kuipambania taasisi [Roman Catholic]tusiyoijua vizuri,tuijadili taasisi na uongozi wake bila kuwaingiza waumini wa dhehebu la Catholic.
Ufunio wa Yohana 2;13/16;10 na 17;18 imenyoosha maelezo kuwa Vatican ndipo kilipo kiti cha enzi cha Shetani [hatuwezi kuyapinga maandiko]Imeelezewa humu harakati za Rumi kutaka kutawala dunia zilianza zaman [tangu kuzaliwa kwa Yesu Kristo]na zinaendelea hadi sasa.Shetani ndiye anayeratibu mipango na mikakati yote akiitumia Roman Catholic chini ya upapa[papa wote wanalijua hilo kuwa wao ni mawakala wa Ibilisi.Machafuko yote yanayoendelea duniani mf.vita,ugaidi,mmong'onyoko wa maadili[ushoga,usagaji,usawa wa kijinsia 50/50 n.k.]magonjwa ya mlipuko mf.corona,ebola,mafua ya nguruwe,mafua ya ndege n.k. ,mauaji mbalimbali yaliyotokea na yanayoendelea mf.ya kimbari Rwanda,DRC Congo n.k.,mifumuko ya bei kwenye mataifa mbalimbali pamoja na umasikini wa makusudi n mengine mengi,yote hayo yanaratibiwa na taasisi hii ya Roman Catholic chini ya mawakala wao waliopo kwenye kila taifa ulimwenguni , na sasa wana kauli mbiu yao ya MABADILIKO YA TABIA NCHI ambayo imebeba ajenda za kuhitimisha mpango wao hadi kufikia mwaka 2030[Google UN agenda 2021-2030 Goals]. Mikakati yote imelenga jambo/kusudi moja tu ambalo ni ibada kwa Shetani.
Tujizoeshe kuwa wadadisi wa kujua ukweli kwa kusoma vitabu [Biblia n.k]ili tuelimishane kwa hoja,na sio kwa mihemko na matusi.
 
Kwahiyo wanaume wawili wakienda kanisani wanataka baraka za kuishi pamoja padre au askofu anaruhusiwa kuwabariki wakaishi pamoja?
 
Kwahiyo wanaume wawili wakienda kanisani wanataka baraka za kuishi pamoja padre au askofu anaruhusiwa kuwabariki wakaishi pamoja?
Wapi walisema wabariki NDOA? Kubarikiwa ni ile kuombewa na kiongozi wa dini kwa ajili ya shughuli zako n.k.

Ni sawa na wezi mbona wanasali kanisani? Je kuna siku kanisa limewahi kataa kuombea mtu kisa ni mwizi? Ingekua hivyo why Yesu aliandamana na zakayo na yule kahaba?

Maombi ni ya wenye dhambi wakiwemo wezi, ndoa za jinsia moja pia wazinzi kama wewe!!
 
Acha kuleta maneno mengi nimekuuliza wanaume wawili wenye mahusiano ya kingono wakienda kwa padre kuomba wabarikiwe watakataliwa?
 
😂 Na baada ya KIFO cha Yesu hakuna mwenye dhambi tena maana dhambi zote alizichukua pale Msalabana, namaanisha hakuna binadamu mwenye dhambi baada ya KIFO cha Yesu

Daniel 9 : 22-25
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…