Naona wewe ni mpumbavu:
Sasa Bwana Mungu wa Majeshi anakwenda kukunyuka kisawasawa, usipotubu uovu wako na kuuacha.
Kum 28:7 BWANA atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.".
WEWE UNAYEJIWEKA ADUI WANGU, UNA UBAVU GANI WEWE WA KUPAMBANA NA MUNGU MKUU?
Isa 54:17 "Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema BWANA.:,
Ayu 14:1 huna ubavu wa kuishi unavyotaka kwa kuwa Mungu amesema siku zako za kuishi si nyingi.
"Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi,",
Ebr 9:27-28 "Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;:
WEWE ULIYEMCHAWI, SIKIA SAUTI YA MUNGU MKUU. hakika utakufa katika uchawi wako tena mara moja, na baada ya kufa ni hukumu, utakutana na Mungu unayemtukana hapa leo.
SASA KWA UCHAWI WAKO HUO UNAOKUPA ROHO MBAYA ZA KISHETANI, HAKIKA YAKE HAUNA MAISHA MAREFU KWA KUWA MUNGU AMEKWISHA KUKUHUKUMU
Kutoka 22:18 “Usimwache mwanamke mchawi aishi:
:Sikuombei ufe, ila nasema tubu uchawi wako na uuache, usipoacha utakufa na utakufa hakika, na utambue siku zako za kuishi si nyingi"
Uliyasikia sheh Y.h,y yaliyomkuta?
1. Kwangu mimi unajisumbuua bure, kwa mimi ninayo mamlaka. sasa nimerejesha kila hila zako, uchawi wako, silaha zako, maneno na laana zako unazonikusudia zikurudie wewe na ziwe juu ya kichwa chako. Mabaya ulioykusudia juu yangu nayarejesha kwako KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE HAI MILELE.
2. Huyu Mungu wangu unayemtukana , Mungu mkuu n amwenye nguvu amenithibitishia kwamba sitakufa kwa uchawi wako. Zaburi 118:17 Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya BWANA.
3. Sitakufa kwa uchawi wako, bali nitalala katika wakati mkamilifu alionipangia Bwana
Wafilipi 1:21-27 Kwangu, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida zaidi kwa kuwa nitakwenda kukaa na Bwana wangu, katika utu usioharibika.
WEWE UTAKAPOKUFA UNAKWENDA WAPI?
Mwanzo 12:3 Mimi Mungu wangu, ameniahidi kwamba : "nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; "
UJUMBE WA MUNGU MKUU KWAKO, MUNGU UNAYEMTUKANA LEO NI HUU :-
MUNGU ANAKUITA UMPOKEE YESU KRISTO, AWE BWANA NA MWOKOZI WAKO, UTUBU DHAMBI ZAKO NA UZIACHE, USAMEHEWE MAOVU YAKO, UWE KIUMBE KICHWA NAWE UZIRITHI AHADI ZA MUNGU. LAKINI UKIKATAA NA KUENDELEA NA UASI WAKO KUFA NA UTAKUFA MAANA BWANA MUNGU AMESEMA.
UTAANGAMIA SI KWA FURAHA YA MUNGU. MUNGU HAFURAHII KUFA KWAKE MTU MWOVU:
Ezekieli 18:21-32
“Kama mtu mwovu akiachana na dhambi zake zote alizotenda, kama akishika kanuni zangu zote, akatenda yaliyo ya haki na sawa, huyo hakika ataishi, hatakufa. Makosa yake yote aliyofanya hayatakumbukwa; kwa sababu ya uadilifu wake ataishi. Je, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, nafurahia kufa kwake mtu mwovu? La hasha! Mimi napendelea aachane na njia zake mbaya apate kuishi.
ISAYA 1: 18 - 20 Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu. 19Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi; 20bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa cha BWANA kimenena haya.