Mr fantastic_
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 377
- 502
Yeah same to me nipo hivyo💯Sie wengine tumeishia kwenda kusali tu , mengine mbele kwa mbele,,,ukisema ujifanye muumini mzuri unaanza kukaangwa tokea kwenye jumuiya
Katoliki bwana.Uje penda kuzungumzia mambo ya Parokia yako na Paroko wako na viongozi wako uliowachagua.
Kila mtu ana parokia yake na jimbo lake. Hivyo jambo likifanyika kwenye parokia au kigango chako usianze kulihusisha kanisa zima Katoliki.
Kila Jimbo, Parokia au kigango kila utaratibu wake na uongozi wake.
Na unao Uhuru kamili wa kutoa maoni, mapendekezo, ushauri lipi baya halifai au lipi jema liendelee kupitia jumuiya yako, mikutano ya Kigango au Parokia yako ambapo wajumbe wa mikutano hiyo wanatokana na jumuiya.
Ila kama huwa husali jumuiya au kushiriki masuala yote ya kanisa unavizia matukio tuu, ubatizo, kipaimara, komunyo au ndoa na misiba hakika wacha mnyooshwee kisawa sawa.
Ofisini heri umkute mwenye uelewa.wengine wanapokea maagizo hawana IQOfisi zipo Kaka, katoe maoni
Hakuna mchango unaletw mbele ya waumini paroko asijuwe.Roma ni taasisi, sio kama makanisa ya pentekoste.. Kuna Ofisi za walei, kuna Baba paroko kumuona na kumpa taarifa za malalamiko ni ruksa
.KUU NIMEKUTAAA HAYA MALALAMIKO JUMUIYAA LEOO NAHISI MNABEMBELEZANA. NAFANYA WATU WASIPELEKE WATOTO. KUSALI WANAFANYA SEHEMU YAM ITAJIMnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamua waumini michango hadi wanachukia dini.
Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena wanakamuliwa wazazi kupitia harambee tena siyo tu kuwahusisha wanaume katoliki na wanawake katoliki bali wanaitwa watoto wanapangwa mbele na kuitwa kila mzazi aje kumgombowa mtoto, halitoshi mama aliyesuka vizuri anapelekewa kikapu.
Acheni kuwadhalilisha wazazi kama alibakiwa na buku 2 hatimaye anashindwa hata kukodi boda. Michango ya ujenzi ina utaratibu wake haya mengine ni unyanyasaji.
Pita hoja.Nenda kwa walokole. Unataka wao wakale msikitini?
Sawa namna ya uratibu ndiyo tatizo.Makanisa huendeshwa kwa sadaka,zaka, matoleo, michango.
Mungu hashushi pesa
Unachoandikaaa unasahauu kinakujumba na wewe unaehudhuria jumuiyaaa. Ninekyta malalamiko jumuiy..msifanye mitaji watotoo wetuuu mnatafuta dhambiUje penda kuzungumzia mambo ya Parokia yako na Paroko wako na viongozi wako uliowachagua.
Kila mtu ana parokia yake na jimbo lake. Hivyo jambo likifanyika kwenye parokia au kigango chako usianze kulihusisha kanisa zima Katoliki.
Kila Jimbo, Parokia au kigango kila utaratibu wake na uongozi wake.
Na unao Uhuru kamili wa kutoa maoni, mapendekezo, ushauri lipi baya halifai au lipi jema liendelee kupitia jumuiya yako, mikutano ya Kigango au Parokia yako ambapo wajumbe wa mikutano hiyo wanatokana na jumuiya.
Ila kama huwa husali jumuiya au kushiriki masuala yote ya kanisa unavizia matukio tuu, ubatizo, kipaimara, komunyo au ndoa na misiba hakika wacha mnyooshwee kisawa sawa.
Mingine inazungushwa. Mi ni Mroma naelewa sana hizi changamoto. Si tulipigwa msalaba wa bati laki 8. Paroko kaja kujua msalaba umepandishwa Usiku wa mananeHakuna mchango unaletw mbele ya waumini paroko asijuwe.
Sasa waumini unyonge ni mwisho.tuwe tunashauri twende hivi hili ndiyo kwa sasa na hili hapana kwa sasa.Mingine inazungushwa. Mi ni Mroma naelewa sana hizi changamoto. Si tulipigwa msalaba wa bati laki 8. Paroko kaja kujua msalaba umepandishwa Usiku wa manane
Kwa hiyo kanisa lenu ufukara na kupretend maisha ni sifa.. hizi dini bana ndiomaana mnazidi kuwa machizi, hao wachungaji wanawaibia mamilion ya pesa kupitia michango ya pesa zenu, huku wakijifanya wanaishi maisha mnayoishi ninyi.Ndio mmiliki wa shule ya sekondari ya Alfa.
Ukweli anaishi kifukara na pengine ni moja wapo wa mapadre wachache wanao ishi viapo na nadhiri zao kikamilifu.
Padre wa kanisa katoliki anaweka nadhiri na kiapo cha Ufukara, useja na utii.
Wengi wa mapadre ufukara hawajaweza kuwa waaminifu kwa hilo.
Hasa wale wanaohesabu sadaka na mweka hazina jaman hawa watu wanapiga sadaka hatar tumeshafukuza mmoja aibu tele na kanisan haji tenaKatoliki bwana.
Zamani walikuwa wanatia sadaka randomly ila wakabadili gia angani wakalazimisha sadaka wananyanyuka benchi kwa benchi ili wakwepaji sadaka waaibike.
Ila kuna watu kwenye hizi dini wanapiga hela ndefu kupitia ulaghai wa kumtolea Mungu.
Safi sanaMie nilishajikata J2 naenda kusali tu,,,,kuna mama jirani yangu alinionaga kanisani siku akaanza habari za wewe upo jumuiya yetu nilichofanya hadi leo hataki kunisikia
Zinajengwa Kila siku?we ni katibu wa parokia nini?Tunaomba usi-generalize tafadhali! Kanisa Katoliki linajielewa! Kwa akina Mwamposa mkiagizwa kuku mweupe mnapeleka bila kuhoji! Wacha hizo mkuu! Sasa unataka nani aje akujengee Parokia yako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sie wengine tumeishia kwenda kusali tu , mengine mbele kwa mbele,,,ukisema ujifanye muumini mzuri unaanza kukaangwa tokea kwenye jumuiya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiBora nyie sis Hk kwetu tunasadaka inaitwa kujimaliza…… watu tunajimaliza bila kupend
Wee extro sasa bahasha unakaa nazo za nn na hurudishi parokiani? Em toa mchango bhana.Nimehesabu bahasha nilizonazo toka mwaka jana zinafika 15. Hio ni michango ambayo sijaitoa kabisa.