Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
- Thread starter
- #21
Sawa ila huu unyanyasaji.Tuchangie hata kidogo sio mbaya pale tunapokuwa nacho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila huu unyanyasaji.Tuchangie hata kidogo sio mbaya pale tunapokuwa nacho
Nimehesabu bahasha nilizonazo toka mwaka jana zinafika 15. Hio ni michango ambayo sijaitoa kabisa.Sie wengine tumeishia kwenda kusali tu , mengine mbele kwa mbele,,,ukisema ujifanye muumini mzuri unaanza kukaangwa tokea kwenye jumuiya
Unajuwa unapotaka mtu atowe weka utaratibu.si hovyohovyo mbona penye utaratibu c shidaNdio uhalisia na hata utoaji wa sadaka siku hizi sio mkubwa watu wanatoa 500 au mwingine hatoi kabisa
Umeme maji Kodi wafanyakazi renovation mbalimbali lazima michango ihusishe ubunifu
Iwe kwa utaratibu na awamu.si kukurupukaZamani wazungu walikua wanahudumia kila kitu, sahivi misaada imepungua gap la wazungu inabidi waumini walizibe
Haya mambo usizungumze tu kama muumini wa Mwamposa au nabii wanaoota kama uyoga siku hizi.Uje penda kuzungumzia mambo ya Parokia yako na Paroko wako na viongozi wako uliowachagua.
Kila mtu ana parokia yake na jimbo lake. Hivyo jambo likifanyika kwenye parokia au kigango chako usianze kulihusisha kanisa zima Katoliki.
Kila Jimbo, Parokia au kigango kila utaratibu wake na uongozi wake.
Na unao Uhuru kamili wa kutoa maoni, mapendekezo, ushauri lipi baya halifai au lipi jema liendelee kupitia jumuiya yako, mikutano ya Kigango au Parokia yako ambapo wajumbe wa mikutano hiyo wanatokana na jumuiya.
Ila kama huwa husali jumuiya au kushiriki masuala yote ya kanisa unavizia matukio tuu, ubatizo, kipaimara, komunyo au ndoa na misiba hakika wacha mnyooshwee kisawa sawa.
Hehe njaa haina awamu....Iwe kwa utaratibu na awamu.si kukurupuka
Mie nilishajikata J2 naenda kusali tu,,,,kuna mama jirani yangu alinionaga kanisani siku akaanza habari za wewe upo jumuiya yetu nilichofanya hadi leo hataki kunisikiaNimehesabu bahasha nilizonazo toka mwaka jana zinafika 15. Hio ni michango ambayo sijaitoa kabisa.
Changia Kanisa lako Comrade. Kanisa litajengwa na sisi wenyewe.Mnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamuwa waumini michango hadi wanachukia dini.Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena wanakamuliwa wazazi kupitia harambee tena siyo tu kuwahusisha wanaume katoliki na wanawake katoliki bali wanaitwa watoto wanapangwa mbele na kuitwa kila mzazi aje kumgombowa mtoto,halitoshi mama aliyesuka vizuri anapelekewa kikapu.Acheni kuwadhalilisha wazazi kama alibakiwa na buku2 hatimaye anashindwa hata kukodi boda.Michango ya ujenzi inautaratibu wake haya mengine ni unyanyasaji.
Nimehesabu bahasha nilizonazo toka mwaka jana zinafika 15. Hio ni michango ambayo sijailipia. Hii dini hapana kama ni huko kuogopwa kutengwa tu basi wanitenge nikifa.Sie wengine tumeishia kwenda kusali tu , mengine mbele kwa mbele,,,ukisema ujifanye muumini mzuri unaanza kukaangwa tokea kwenye jumuiya
Karibuni Sana.au hama ng’ambo ya pili huko upate na fursa ya kuongeza wake.
Hahah kikubwa maisha yako unaishi vipi na wanaokuzunguka baas ,ukitaka mengi utaishia kuishi kwa woga tu,,,,mie nishakubaliana na hali tutengwe tuNimehesabu bahasha nilizonazo toka mwaka jana zinafika 15. Hio ni michango ambayo sijailipia. Hii dini hapana kama ni huko kuogopwa kutengwa tu basi wanitenge nikifa.
Mkuu nyie ndio mnapaswa kuwa mstali wa mbele kuleta mabadiliko kwa kuanzia kule kwenye jumuia ili kupunguza hizi njia za kiswahili Swahili kupata mapato itasaidia sanaUnajuwa unapotaka mtu atowe weka utaratibu.si hovyohovyo mbona penye utaratibu c shida
Tujitahidi hakuna namna sisi ndio tunawajibu wa kujenga huduma zetuSawa ila huu unyanyasaji.
Nakaa nao hadi ibada ya watoto ikiisha naondoka nao mazee....Halafu unasepa?
Wapo ndugu yangu kuna huyu padre mwitaliano anaye hudumu Morogoro anaishi kifukara kwa uhalisia japo milioni milioni hizi kwake ni kama miaHizi dini biashara tu sikuhz,
Zamani watumishi wa Mungu walikua wanaishi kifukara lkn sikuhizi nao wanataka kwenda na trends za maisha ndo maana michango juu
Usanii tu huyo si ndo yule mwenye ile shule wanamuita faza pekupeku,,,,,,anaishije kifukara wakati ana shirika linamuhudumia,,,,mafukara wapo ila sio hawaWapo ndugu yangu kuna huyu padre mwitaliano anaye hudumu Morogoro anaishi kifukara kwa uhalisia japo milioni milioni hizi kwake ni kama mia View attachment 3006791