Kanisa kenya limegeuka soko

Kanisa kenya limegeuka soko

Wakati mwingine huwa naogopa na kudhani kanisa lilishanyakuliwa halipo duniani tena imebaki giza tu watu wanajieendea hovyo kwa mambo yao. Mara chupi za upako, mara keki na sasa mikate. Injili feki zimekuwa nyingi mpaka inaogofya
Itabidi ibada tufanyie majumbani kwetu wachungaji asilimia kubwa wameshakengeuka
 
Anaitwa Ngaga ni tapeli kama kina mwamposa,suguye,Mazinge na wengine wanaouzia watu maji mafuta chumvi vitambaa mchanga
 
Kama Mtazamaji kutoka Pembeni naweza kukuuliza si bora hapo ni quid pro quo ya hapo hapo (Nipe Nikupe); Ipi bora hii au ile ya kutoa ili nikupe baadae (au nikuombee kama vile yule anayeombwa ni kiziwi na hasikii sauti nyingine bali ya mwombaji na anaombea watu tu akipewa ya Kaisari)...,
 
Huyu anaitwa Pastor Ng'ang'a, ni yule aliyetupa sadaka madhabahuni na kudai waumini wametoa kidogo
 
Huyu anaitwa Pastor Ng'ang'a, ni yule aliyetupa sadaka madhabahuni na kudai waumini wametoa kidogo
Huyo huyo na hapo kawa ambia sadaka bado hamjatoa hii sio sadaka
 
Back
Top Bottom