Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
wajinga sana hawanatofauti na walevi wanaojisaidia mitaani haja kubwa usiku ,asubui ukiwaona utasema ni watu kumbe hovyo kabisaAhahh kama ndio nauli utatembea kwa mguu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wajinga sana hawanatofauti na walevi wanaojisaidia mitaani haja kubwa usiku ,asubui ukiwaona utasema ni watu kumbe hovyo kabisaAhahh kama ndio nauli utatembea kwa mguu
Wapo wenye phd lakini wapo hapowajinga sana hawanatofauti na walevi wanaojisaidia mitaani haja kubwa usiku ,asubui ukiwaona utasema ni watu kumbe hovyo kabisa
Mchungaji kenya kaazisha biashara ndani ya kanisa na waumini wana nunua bidhaa hii ni ajabu af jirani ana jisufi yupo na akili mingi kwq hili hapana
Kuna baadhi ya makristo ni majingaHalafu jamaa linacheka
Yesu alikataza kufanya biashara hekaluni na alizimwaga bidhaa chini leo hii wachungaji wamegeuza makanisa kuwa sehemu za kupata utajiri, pepo la utajiri limewapagaa wengi waoKama Mtazamaji kutoka Pembeni naweza kukuuliza si bora hapo ni quid pro quo ya hapo hapo (Nipe Nikupe); Ipi bora hii au ile ya kutoa ili nikupe baadae (au nikuombee kama vile yule anayeombwa ni kiziwi na hasikii sauti nyingine bali ya mwombaji na anaombea watu tu akipewa ya Kaisari)...,
Hahaha***** walai, na anawaambia hakuna chenji 🤣
Halafu kuna cheko moja la dharau kalitoa 😂🤣
Na hao ukiwauliza kuhusu Yesu wanakwambia nini ? Nina uhakika ukiamua hakuna jambo ambalo katika Bible utakosa loophole ya kujitetea.., after all kumwaga bidhaa za watu ilikuwa so unChrist like, they guy who was always supposed to turn the other cheek;Yesu alikataza kufanya biashara hekaluni na alizimwaga bidhaa chini leo hii wachungaji wamegeuza makanisa kuwa sehemu za kupata utajiri, pepo la utajiri limewapagaa wengi wao
Kuna moja anawauzia makaratasi, kayachanachana vipande akaanza kuyauza 😂😂Ila huyu kawazidi wenzie maarifa
Ila hivi ni akili yao kweliKuna moja anawauzia makaratasi, kayachanachana vipande akaanza kuyauza 😂😂
Kuna michezo inachezwa MzeeIla hivi ni akili yao kweli
Ahah mimi uni kamatiKuna michezo inachezwa Mzee
KabisaBiashara zinapigwa kwa ujanja kama Mwamposa.
Extrovert OKW BOBAN SUNZU hamis77 Grahams Zulu man mshamba_hachekwi Saint Anno II The Icebreaker mtumishi wenu mume muona jioni hii
Huyo mpya duhView attachment 3189499
Ndo huyu hapa anayemfinya kuku😂
Shilingi 1,000 ya Kenya ni zaidi ya shilingi 25,000 hivi za Tanzania roughlyExtrovert OKW BOBAN SUNZU hamis77 Grahams Zulu man mshamba_hachekwi Saint Anno II The Icebreaker mtumishi wenu mume muona jioni hii